stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,884
- 4,479
Hahaa katika kabila ambalo wazee wangu waliniambia nisiolewe ni wakurya sijui kwanini waliniambia vile?Huu ni ukweli kabisa kama hana wake wawili basi ana mchepuko na umemzalia...hii inasababishwa na nature ya wakurya ya kupenda kuwa na watoto wengi siku hizi imepungua kwa walioenda shule au kukaa mjini
Jamii yetu ya kikurya kama huna hela na familia yaani mke na watoto utadharaulika hadi na watoto wadogo wa mtaani,kijiji kizima kitakusema sana ni jamii inayoamini mwanaume lazima apambaneKwahiyo vijana wanataka kuheshimiwa na kuishi mazuri lakini ya mkato!
Hahahah kama umeolewa bahati yako ila kama bado unaweza anguka kwenye mtego...wakurya wa sasa ni very caring and calm husbands ila asili bado ipo akiwaka hasiraHahaa katika kabila ambalo wazee wangu waliniambia nisiolewe ni wakurya sijui kwanini waliniambia vile?
We acha tu, umaskini hapana asee[emoji25]Inatisha.... Ila umaskini nao mchungu wakuu basi tu.
Mkuu huyo Sarah si yupo pale sombetini, anapochoma hindi?Nitakupa PM ukitaka sio hapa vijana mnaweza kuanza kumtolea mbovu kule
Heee kiruuu[emoji134][emoji849]...Sasa kama umezitafuta na umezikosa?Jamii yetu ya kikurya kama huna hela na familia yaani mke na watoto utadharaulika hadi na watoto wadogo wa mtaani,kijiji kizima kitakusema sana ni jamii inayoamini mwanaume lazima apambane
Tukifika 40 mambo bado hayaeleweki twende Diana.We acha tu, umaskini hapana asee[emoji25]
Kuna mkurya hapa ofisini ana kigugumizi, halafu anapenda chiu balaaHahahah kama umeolewa bahati yako ila kama bado unaweza anguka kwenye mtego...wakurya wa sasa ni very caring and calm husbands ila asili bado ipo akiwaka hasira
Aaah wapi, mi ntatoboa hata kabla ya 30, naona mwanga kabisa..Tukifika 40 mambo bado hayaeleweki twende Diana.
Poa Mkuu naisubiriNitakupa PM ukitaka sio hapa vijana mnaweza kuanza kumtolea mbovu kule
Ila wakurya wakorofi sio watu wa mchezo KIONGOZI....wale wa bush wenyewe ukikutana nao ni zaidi ya mmasai.Hahahah kama umeolewa bahati yako ila kama bado unaweza anguka kwenye mtego...wakurya wa sasa ni very caring and calm husbands ila asili bado ipo akiwaka hasira
Hata mimi.ππAaah wapi, mi ntatoboa hata kabla ya 30, naona mwanga kabisa..
Utajiri wa kingese siutaki mkuu[emoji16]
Heheh mkurya ni mkurya tu,wa mjini hawali kichuri wamepoa ila mchokoze ni moto...ila wakurya wa kijijini wengi ni wakorofi sana na wanapenda ugomvi kuliko chochote afu bila sababuIla wakurya wakorofi sio watu wa mchezo KIONGOZI....wale wa bush wenyewe ukikutana nao ni zaidi ya mmasai.
Bora Hawa wa town
YesWangari Maathai...hivi ulimpeleka @Omoghamba kwa mganga?
Uko active, dk0 ushalike na kujibu?
Mkuu nipeleke kwa mganga nataka nikampige limbwata Diana Spencer...Hata mimi.ππ
Ndio maana nikasema ikitokea 40 imefika halafu bado.
Tata mura, Amang'ana ghaserikileHeheh mkurya ni mkurya tu,wa mjini hawali kichuri wamepoa ila mchokoze ni moto...ila wakurya wa kijijini wengi ni wakorofi sana na wanapenda ugomvi kuliko chochote afu bila sababu