MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

utajiri wa ndago upo sana..

mm kipindi nakua kuna mzee mmoja hv ni mchaga..jina lake linafanana na mwanamuziki mmoja hvi ambae wameshirikiana sana na chege chigunda kutoa pini nyingi kali(ana majigambo sana)

huyu mzee alikuwa na uwezo wa kawaida sana miaka hiyo ya late 90's...ghafla akaja kuzishika hela nyingi hatari na mpk sa hv yupo vzr sana..ana sheli c chini ya 4 nnazozijua

aliporomosha mjengo mmoja wa maana sana na baadae akajenga Sheli hapo hapo kwenye mjengo wake ukiwa unaenda MOSHI BAR(Ingawa kwa sasa hakai hapo)

Familia yake yote imeparanganyika..za chin chin ni kwamba alimtoa mama ake kafara(alimchizisha)
 
😳😳😳 Mama?
 
Kiufupi nimekuelewa,coz mm ni mkazi wa. Bunda nimefuatilia hii story ni kweri
 
Jamaa Hana familia kwa Sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…