Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

nawapigaga mademu kama wew.

Kwani hutaki de libolo
Young man,you need a father figure like me to help you.You seem to be in some sort of a teenegerhood.Unabishia ukweli kwa kukaza misuli ya kiuno.Ukiambiwa ukweli unapaswa kutulia.Unaaibisha wahaya wenzio.Wewe ni kijana mjinga tu.Huwa unaandika miujinga.Sasa ukiachwa,for the benefit of your own,utakuwa lijinga.Umekuwa "muhonge"(kihehe hicho maana yake lijinga linaloongea au kuuishi upumbaff bila kurekebishwa na kudhani ndiyo maisha)na wana JF wanakuangalia tu kwa sababu wanadhani utabadilika.Chukua chuma hicho!Kengelubete wewe!
 

umeamdika mashudu tu.

Unajiona upo kweny kundi la high intellectuals kumbe wewe ni Maandazi tu.

Hovyoooo wewe.
nakushaur toka hapo sebuleni kwa dada yako unamtesa kwa kukata viuno kwa mumewe ili ule ushibe Jinga Jinga ww

Its just another day with the same shit again in JF
 
Na leo nitaifanya siku yako iwe mbaya kama umebakwa.Mimi huwa sipendi vijana wajinga kama wewe muendelee kuwa wajinga.JF members huwa wanakuangalia ujinga wako na kukuacha.Mimi siwezi.Acha kuandika ujinga bishontongo wewe!
 

Boss Tumia space na paragraph.

#YNwA
 
Chai
 
Jamani msifike huko kikubwa kusameheana na kusonga mbele!
Wewe sambulugu ni wa kike? Wanaume ni "we unasemaje" mwamba anajibu "ms*ng* tu wew huniambii kitu" jamaa wa "we unasemaje" anarusha ngumi inampata mwamba usoni anapata uchungu wa kurudisha mapigo zinagongwa ngumi. Kusameheana na kurushiana maneno bila vitendo tunawaachia akina mwajuma
 
Medecin
 
HAHAHAH... Nimecheka sana, hivi kweli mpaka zama hizi bado kuna watu wanawaza kupigana. Jamii Forum ni Home of Great Thinkers, nimeshangaa kuona kumbe kuna watu wengine wanakutana huku na kuyajenga kuwa wakapigane ili tu waishie kujua nani anamweza ngumi mwenzake. Shida kweli ipo hapa, Tanzania maendeleo bado sana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…