Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Kwahio ile ya wafinland inaendelea hapa [emoji848][emoji848][emoji848]???
Ile ilikuwa kipande tu. Niliikatisha ili nimalizie kuiandaa
Hii historia ya familia yangu tangu 1939-2023. Bado niko 1994

Finland inaendele hapa kwa details zaidi, kumbuka mwisho kule nili summarize. (finland, munich,...... )
 
Ile ilikuwa kipande tu. Niliikatisha ili nimalizie kuiandaa
Hii historia ya familia yangu tangu 1939-2023. Bado niko 1994

FFinland inaendele hapa kwa details zaidi, kumbuka mwisho kule nili summarize. (finland, munich,...... )
Sawa mkuu hii nimeweka nukta kwenye shamba la migomba ulipoona gari.

Enjoy your evening guys 🚶🏻‍♀️
Ntarudi
 
,Nakadori pita na hapa
 
Kijana, kabla hujaenda mbali tafadhali hariri story yako ili kuleta maana.

Mkoa 'Disguised' wilaya 'Disguised' Kijiji 'Disguised'.

Sasa wametoka sehemu moja kwenda nyingine, kunakosa utofauti. Walau weka majina ya sehemu ya kubuni.
Stori ni nzuri sana ila mwandishi lichukulie hili wazo kwa mtazamo chanya,weka majina japo ya kubuni kuliko kuweka neno "X" ni ushauri tu!
 
Slow down.
 
Wee nimecheka mnooo...hatari sana sisy hiyo haijirudii..unatakiwa upitie vipindi vyote vya mpito halafu age hii unatuliaaa unaangalia tuu kwa mbalii 😆 😆 😆 😆
Ulienjoy sana sisy nimewaza tuu chips mayai kwa boarding ilikua ni dhahabu hahahah...hayo mabarafu sasa haha
 

Kweli Kabisa sis kweli siku hazigandi hatimae nasie leo tunawapiga biti mabinti olee wao niwakute na wanaume mtanitambua yanii nitawapasua ivo vichwa😁😁😂!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…