Part Four: Maisha ya ujana
1990 - 1993
Nilienda Songea kwa mara ya pili tena, kwa ajili ya masomo ya secondary.
Nilipelekwa ku-report pale Songea boys aka box 2, nilianza form one pale, nikikaa bweni la ujamaa.
Maisha ya boarding school ni shida sana. Kule nguvu yako ndio pona yako. Ukiwa mnyonge utaonewa na kila mtu. Harakati za ugali na mchuzi wa maharage, yaani mpaka ukutane na maharage ndani ya bakuri una bahati, hayazidi 10.
Kipindi cha kula wali, tunachanga hela anapewa mpishi wa shule, hapo tuna uhakika wa kupata wali sado nzima (ni mchango) .
Sikuwa mtundu wala mkorofi, nilichofanya ni kujipendekeza kwa mbabe mmoja pale skonga, nikawa kila jumapili lazima nimletee sabuni au mafuta, siku zingine chakula cha nje ya shule. Nikawa ma ulinzi wa uhakika.
Siku moja kuna form 4 watatu walitaka kunipigisha simu chooni. (unainama kwenye tundu la choo cha shimo, unaongea na ndugu zako nyumbani, kuwasimulia maisha ya shule jamaa wanakulinda hapo).
Bahati zuri rafiki yangu aliniona, akamshtua mlinzi wangu kabla hatujafika chooni. Siku ile ilikuwa hatari, zilipigwa hapo, maana wale form 4 walikuwa watatu na jamaa peke yake, ila aliwakalisha. Tangu hapo nikawa naogopwa, maana wameshajua nina mtetezi.
Jamaa alikuwa na tabia ukiingia kwenye kumi na nane zake anakuwinda usiku ukiwa peke yako, anamalizana na wewe.
Nilipofika form 3 nilienda mchepuo wa biashara. Pale shule nilikuwa mkali kiasi wa Book keeping na Commerce darasani kwangu.
Nilikuwa mkimya sana tena sana. Tena nimetoka maisha ya raha kwenda kuishi kama tuko jeshini kulinisumbua sana mwanzoni. Mtu akinikwaza naweza nisimjibu hata kama ni mwalimu, nilikuwa bado sijajua kuwa boss hanuniwi.
Darasa zima nilikuwa mkimya namba 1, baadhi ya wenzangu waliniogopa sio kwa ubabe ila ukimya wangu, sikuwa na socialize nao.
Wengi wakawa wanasema mtu mkimya ukipigana nae anaweza kukuua, lakini sikuwa mgonvi, nilikuwa muepusha shari, hata kama nakuweza na kupotezea tu.
…..
Maisha ya shule yalikuwa mazuri baada ya kuzoea mazingira na kuanza kujichanganya.
Ilikuwa kila jumapili naenda kwa kaka. Kipindi hicho kaka alikuwa amepata nyumba pale kota za polisi maarufu kama 'line police' jirani na geti la samco(nahisi ni jina hilo) .
Alininunulia baiskeli ya gia kipindi hicho ndio zinaanza kuonekana mtaani. nikawa naitumia kila ninapo enda kwake, nikiondoka inafungiwa.
(Watoto wa kihindi ndio walikuwa nazo sana.)
Nikaanza kuuzoea mji, nikawa nazunguka zunguka mara line police, matarawe, msamala, mahenge 'maji maji memorial museum' bomba mbili, mfaranyaki, misufini, majengo, ruvuma, mateka, rizaboni, kiburang'oma, Ruhuwiko, Ruvuma day, nk
……….
Nikiwa kidato cha tatu nikainginzwa kwenye michakato ya wasichana. Nilikuwa na 'room mate' mwanangu sana anaitwa Mbawala, alikuwa ni mwenyeji wa mbinga. Akawa ndie 'tour guider wangu kunionyesha mahindi yaliyokomaa na yale teketeke '.
(alikuwa sekondari ila ana phd ya kujua wasichana, ananiambia huyu ametumika sana, huyu bado mang'anyu)
Alikuwa anapenda sana mabinti. Huyu jamaa alikuwa hachagui awe mmama, mdada, lishangazi, yeye anapita nao tu. Mimi hata paja sijawahi ona kipindi hicho. Lakini mwamba anajua mpaka chunvini, akirudi story ni hizo tu bwenini.
Nahisi aliesema
.. mngoni mpe hela atakufikishia ila mkeo…,
alikutana na watu kama Mbawala. (wangoni ni shemeji zangu, lazima niwatanie[emoji3])
Tukaanza 'route' za' matogolo teachers college' kufata wasichama ila wana chuo walikuwa wakubwa, chimbo la maana ni 'songea girl', kuna watoto wabichi. Unamlia chunvi na ndimu ili upate radha.
(kama mahindi ya kuchoma ya dar[emoji16])
Katika hiyo michakato nilipata mpenzi sponsored by Mbawala , Jamaa alinitongozea wasichana 3, nikiwa bado nashanga shangaa akawala wawili. Hapendi ujinga yule mwamba. Nikabaki na mdigo mmoja hivi anaitwa Jasmin.
Alikuwa binti wa kidato cha nne, alikuwa na hips na makalio makubwa. Akivaa sketi ya rinda box, tena fupi, lazima ugeuke mkipishana hata kama ndio umetoka kuungama.
(Maumbo wa wasicha yanawaponza sana kwa wanaume wakwale, wengi wao wanaliwa kabla ya kukomaa sababu ya shapes zao)
Mtoto alikuwa mzuri sana , ngozi nyeupe na nyororo.
Waliosoma ' boarding school' wanalijua hili, mabinti wanakuwa na moto sana wa kufanya ngono, muda wote wana genye. Ila na mimba nazo kipindi hicho msipokuwa makini ni kugusa tu imo.
Jasmin alikuwa amechangamka sana, ana aibu kiasi, sauti nyororo. Tulianza rasmi mapenzi ya kutumiana kadi kila jumapili.
Tulikuwa tunakutana pale kanisa la romani karibu na stand kuu kipindi hicho, tunaishia kupiga story pekee, na tukipata nafasi tuna dendeka basi. (nasikia stendi imehamia msamala).
Ukiotea denda unaikumbuka wiki nzima, mimi nilikuwa sina mambo mengi, nikipewa denda na nikashika titi basi, huko baharini sina habari nako.
(kwanza sikuwa najua kuogelea nisije zama bure.)
Alikuwa na counter book limejaa mistari ya nyimbo za mapenzi za kizungu, na picha za wasanii.
Mara kwa mara tuli badilishana barua za mapenzi, mwenzangu alikuwa mkali wa nyimbo za mapenzi.
Tulikuwa tukitoka hapo kanisani tunasindikizana mpaka shuleni kwao, kisha naenda box 2.
Kuna umbali mrefu hapo ila mbele ya binti unaweza toka posta mpaka kimara kwa mguu na huchoki.
Kuna siku nilimpa denda na kiss za hatari uchochoroni, kumbe nimegusa sensitive part yake, kidogo tufumwe. Wiki iliyofata nikapewa barua nikaambiwa nikaisomee shuleni.
Mtoto alitoa ya moyoni siku ile, nahisi ni moja ya barua iliyosomwa mara nyingi ndani ya wiki moja, kabla ya 'prepo' naanza na barua ya Jasmin.
(mtoto alikuwa na hamu, mwamba sijui lolote.) .
Moja ya dedication iliyoambatana na barua [emoji116]
Song: 'How Sweet It Is
(To Be Loved by You)
Singer: James Taylor
Released: 1975,
Album: Gorilla
Genre: Folk,
Songwriters: Lamont Dozier / Brian Holland /Edward Holland
How sweet it is to be loved by you
How sweet it is to be loved by you
I needed the shelter of someone's arms
And there you were
I needed someone to understand my ups and downs
And there you were
With sweet love and devotion
Deeply touching my emotion
I want to stop and thank you, baby
I wanna stop and thank you baby, yes I do
How sweet it is to be loved by you
Feels so fine
How sweet it is to be loved by you
I close my eyes at night
Wondering where would I be without you in my life
Everything I did was just a bore
Everywhere I went it seems I'd been there before
But you brighten up for me all of my days
With a love so sweet in so many ways
I wanna stop and thank you, baby
I just wanna stop and thank you baby, oh yes
How sweet it is to be loved by you
It's like sugar sometimes
How sweet it is to be loved by you
You were better to me than I was to myself
For me, there's you and there ain't nobody else
I wanna stop and thank you, baby
I just wanna stop and thank you baby, oh now
How sweet it is to be loved by you
How sweet it is to be loved by you
How sweet it is to be loved by you
It's like jelly, baby, oh now
How sweet it is to be loved by you, oh now
How sweet it is to be loved by you
Just like honey to the bee baby, yeah now
Na, na, na, to be loved by you
Wakali wa hizi kazi nazani mnajua hali unayokuwa nayo ukisoma barua yenye ujumbe kama huo. Tena inatoka kwa mtu unaempenda.
Lazima tabasamu likuponyoke bila kupenda, tena unaweza kuongezea na kicheko hafifu kama vile chizi kaona jalala jipya.
'to myself i was like I'm ni paradise already'
……….
**********
Next Tomorrow
View attachment 2553963View attachment 2553969View attachment 2553973View attachment 2553974View attachment 2553975View attachment 2553976