Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
π€£π€£π€£πππ
Acha waliozoea wakunywe tuπππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£π€£π€£πππ
ππSipat picha ilikuwaje kunawatu wanazipiga balaa Kuna boss wangu yeye alikuwa anakunywa km kishushio Cha chakula yaaniππππ€£π€£π€£
Acha waliozoea wakunywe tuπππππ
Ile ilijengwa na mchina 1975. Hii ya mturuki ni kizazi kipyaSafi sana chief picha ya train ikitoka kwenye handaki imenikumbusha 2021 nilipanda hiyo chuma toka makambako ifakara.
Reli ya mwendo kasi inayojengwa kipande cha Kilosa uelekeo wa Dodoma pia kuna hizo tunel za kutosha. Sema hizo anazojenga mturuki kipande hiyo zimeboreshwa, kule juu ya handaki kwa ndani kuna taa mwanga wa kuzidi.
So far story iko vyedi ila mwamba unaonekana muhenga [emoji23][emoji23]
Ha ha wazee hivi humu ndani tunao wakongwe balaa 83- 84 mbali sana hongereni muelendelee kujitunza.Mfaranyaki... !!
Niliwahi kupata jimbo hapo miaka ya 83-84! Ilikuwa ni balaa na nusu!
Serengeti na energy [emoji298]. Pole sanaKweli Kabisa cuzoo akee!
Siku nyingine tena haohao mawifi nilienda nao Pub fulani wakanifundisha kunywaa waliniambia eti nichanganye Serengeti lite na energy zile zakopo kuwa sitalewa Nakumbuka hio Siku nilikunywa Serengeti lite 3 na energy mbili ila kukojoa kojoa sasa mkojo unabana kila dakika pombe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!! Gily
ππππ kuna Watu wasopokunywa siku mbili wanaumwaππππ!ππSipat picha ilikuwaje kunawatu wanazipiga balaa Kuna boss wangu yeye alikuwa anakunywa km kishushio Cha chakula yaaniπππ
Barabara ilikuwa vumbi tu, tena hata ile ya kwenda tunduru mpaka mtwara vumbi mbaya.Ngoja kwanza hivi kipindi unasoma songea boys ile barabara ya songea Njombe ilikuwa na lami?
Anyway songea napafahamu na kuna baadhi ya maeneo uliyotaja nayaelewa mzee. Big up sana chief. Mara ya mwisho kwenda ilikuwa mwaka jana mwezi Oktoba.
Ndio cuzoo akee walinambia nkimix haileweshi sana shida ikawa kukojoa kojoa mkojo unabana kila mudaSerengeti ma energy [emoji298]. Pole sana
Yanii ni wanapenda starehee mnoooo!! Wenyewe huwa wananinunulia vipedo vi top vimini pensi mtu nishazoea zangu minguo ya vitengeππππ!Hao mawifi sio watu wazuri[emoji1787][emoji1787]
Uweeeee sisyyy...labda unambie ulikua A level hahaahha ila kama ni o level alikua mkubwa sana..hao enzi zetu o level mtu akiwa na mchumba form 5 au 6 tunaita vidato..hahahSis Kalpana sisi kwenye joint mass tulikua tunacompete na wasichana wa kilakala tunagombania boys wa mzumbe na wengine wanatoka na wanachuo wao( mzumbe) Ila mi nilikua na mwamba wa SUA 2 nd Year ππ!
Na Walevi wanapenda na kilamtu mtu awe anakunywa ukitaka kuamini muombe elf 20 hawez kukupa ila yukoradh akununulie pombe za elf 50πππππππ kuna Watu wasopokunywa siku mbili wanaumwaππππ!
Mi hapana labda naonjaonja wine zisizo na kilevi kuweka akili sawaπππ
Hapo londoni ndio kulikuwa na mitambo ya tanesco.leadermoe
Ulipotaja Lizaboni, nimekumbuka kitongoji kingine kinachoitwa Londoni...
Wangoni majina haya ya miji ya Ulaya waliyapendea nini?
Anyway, zaidi Songea Club na Majimaji hall, kulikuwepo na NBC Club.... club ya kwanza kwanza kupiga boogie hapo Songea.
Ni Kweli Kabisa yaki unakuta wamechafua meza kwa kujazaa vinywaji ndio raha yao!!Na Walevi wanapenda na kilamtu mtu awe anakunywa ukitaka kuamini muombe elf 20 hawez kukupa ila yukoradh akununulie pombe za elf 50πππ
Advance hio sis mi form 5 ye 2nd year !! Outing day ni kwa mwamba tu ππ! Ananinunulia chips mayai mishikaki na soda nakula tukimaliza Nakumbuka alikua ananikanda na mabarafu mwili mzima ananifuta vizuri kisha anaenda kuniogesha π€ππππ !Uweeeee sisyyy...labda unambie ulikua A level hahaahha ila kama ni o level alikua mkubwa sana..hao enzi zetu o level mtu akiwa na mchumba form 5 au 6 tunaita vidato..hahah
Tobaaaaa cousin wa mtu anafanyiwa hivyo kweli [emoji23][emoji23]Advance hio sis mi form 5 ye 2nd year !! Outing day ni kwa mwamba tu [emoji23][emoji23]! Ananinunulia chips nakula tukimaliza Nakumbuka alikua ananikanda na mabarafu mwili mzima ananifuta vizuri kisha anaenda kuniogesha [emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] !
Life la boarding bana!!
Yani Hawa watu ni shida ππNi Kweli Kabisa yaki unakuta wamechafua meza kwa kujazaa vinywaji ndio raha yao!!
ππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈππ»ββοΈπ€£π€£π€£Ujana maji ya moto cousinππ!Tobaaaaa cousin wa mtu anafanyiwa hivyo kweli [emoji23][emoji23]