Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Our friend Mr leadermoe left us 😭😭😭😭
Ooh my God
 
Our friend Mr leadermoe left us [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu leadermoe umeondoka mdogo wangu mapema hivi ?
Mbona hatukumalizia kile tulipanga kukutana ? [emoji24] , Rafiki mbona ni siku chache tulizojuana tukaahidiana mengi ?

Nenda salama ndugu , sisi tuko nyuma yako , nitakukumbuka kwa mengi yaliyo mazuri hukusita kunipa moyo kwenye magumu yangu ila yaliyo mabaya haukujali ukubwa wangu zaidi yakunielza kuwa inabidi nibadilike .

Kweli muda ni wake Allah , kila uliponisistiza kufanya kile nilichokuahidi kukueleza nilisema pata nafuu kwanza nitakueleza ila hukusita kuniomba ila nilisema pata nafuu sikujua ya mbele kaka [emoji24]
Ninayo mengi kuhusu wewe ila nisiyoweza kuyaweka hapa ila tambua nitaukumbuka mchango na mawazo yako kwangu , ni wewe ulihitaji kukutana nami kwenye nchi za watu yote ikiwa nikuufanikisha uzee wetu ulio na kheri na fanaka kwa vizazi na ndugu zetu .

Adhab ya 'akhi ' ana warayik 'ana asf li'ana tahadathna kthyran wakhatana kthyran lakina ali'amr iam 'astatie wadeah huna , lagad kunt mithl lakh bialdul mu

Bialtaakid sanaeud iilahy naman fi makan jayid ya saghirat.
 
Inaonekana hata shule ilikuwa mvivu wa kusoma [emoji16]mbona kaelezea jamani
Nimeuliza hili swali kwakua ktk alidai ameokoka naktk ukristo hakuna sheria ya kua nawake wawili kwahyo ndio manaa nikawa nasubiria hapo amewezaje kupavuka??
 
Back
Top Bottom