dadapesa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 366
- 659
Dah jaman, umejua kutusuprise kamanda wetu,ulituambia lakini hatukutilia maanan kuwa utakuwa busy soon kumbe ubusy wenyewe ndioo huu. Pumzika kwa amani ndugu yetu ,tutaonana baadaeNataka iishe haraka maana nitakuwa busy soon.