Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

GT,

..at first nilibabaika na nikaona serikali inajitumbukiza ktk masuala ya kidini.

..lakini baada ya kutulia na kutafakari nadhani hii MOU haina matatizo.

..hata mataifa makubwa kama MAREKANI yana ushirikiano kati ya SERIKALI na FAITH BASED organisations.

..sidhani kama hiyo MOU inaelekeza serikali ktk kusaidia Kanisa ktk shughuli zake za kiroho.

..kwa mazingira yetu Tanzania serikali inapaswa kushirikiana na mashirika ya kidini ktk urahisishaji wa utoaji wa huduma za kijamii kama elimu, afya, maji,mazingira etc.

..kama taasisi ya kidini imejenga hospitali na inatoa madawa na chakula sioni ubaya wa serikali kuwasaidia ktk kutoa waganga na wauguzi na kuwalipa mishahara. ushirikiano wa minajili hiyo nadhani ndiyo unaoelekezwa na MOU hiyo.

..pia tangu kusainiwa kwa MOU hiyo sijaona dalili zozote zile za serikali kuipendelea dini moja dhidi ya nyingine.

..tumeshuhudia serikali ikifadhili mkutano wa Bakwata, ikitoa majengo kwa chuo cha Kiislamu, na kusaidia kutatua ile sakata ya mahujaji kukwama kwenda hijja. pia tumeona serikali ikirudisha shule za kanisa zilizokuwa zimetaifishwa, tumeona viongozi wakuu wakishiriki fundraising za ujenzi wa shule za kanisa etc etc. vilevile kiongozi wa mabohora ametembelea nchini na kupokewa kwa heshima zinazostahili.

..badala ya kukaa pembeni na kulalamika labda madhehebu mengine nayo yachukue initiative na kusaini MOU na serikali kama ambavyo makanisa yamefanya. lakini with or without MOU sidhani kama serikali ina nia ya kubagua madhehebu yoyote ya dini.
Je hizo dini nyingine au madhehebu mengine yanazo miundombinu kama ya hao walalamikiwa? Je wanayo hospitali kama Bugando au KCMC? Je wanavyo vyuo vikuu kama Tumaini au SAUT au ST Johns?

Mara nyingine kuzidi kulumbana nao ni kuwapa umaarufu wasiokuwa nao. Wao utasikia kwenye kujiunga na Al Shabab, Kupokea tende za msaada na kutaka Mahakama ya Kadhi na mashindano ya kuhifadhi Quran tu. Hawajui mambo ya msingi ambayo jamii inahitaji
 
Sina maelezo mengi
Huyu jamaa nampenda sana maada zake hasa linapoguswa maslahi ya upande wake.
Hasa lile swala la kwanini wakiristo wasile masokoni Zanzibar ametoa maada nzito.
Bima ya Afya nako uses emergency
Mkataba wa bandari nako ni moto
Maandiko yake yanaweza kutumika ktk literature review hata ngazi ya PHD
Haki yake apewe. Sijui kama account yake inatumiwa na user zaidi ya mmoja?Any way
Twende kwenye maada

MOU nakamuona yupo kimya sana. Haligusi wala kulinusa


Maana Mou inasaidia kujenga shule za wakiristo na Hospital. Shule hizo licha ya kutoa huduma za elimu ndani kunaingizwa imani
Kwamfano mtoto akitaka kula anafundishwa amtaje baba mwana ambapo kwa upande wa uislam haifai ndio maana waislam wanaojielewa hawawapeleki shule hizo.

Swali kwanin Martin yupo kimya?
Mod angalau uzi huu uache kama unavyoziacha nyengine za bakora za Zanzibar mwezi mtukufu wa Ramadhani
Tupe ilmu kidogo hili swala la MOU ili tupate ilmu kama unavyochambua Bima ya Afya

Cc
Meya mstaafu wa Ubungo bon Yayi popote ulipo
Naomba nakala ya MoU nijue makubaliano yalikuwa katika nyanja zipi
 
View attachment 2722258

Sitaki kuamini hili lakini uvumi huu umeeneea sana kiasi cha kwamba umenifanya niwe na shauku kutaka kujua yaliyojiri kwenye kusign hiyo memorandum maana naona kwa taarifa nilizokuwa nazo malalamishi ni kuwa serikali imeipa CCT na TEC nguvu kubwa ajabu na matokeo yake leo watu watu wanaanza kulalama kwa nini serikali haiipi nguvu hizo NGO zingine kama walivopewa na serikali.

Na under this memorandum seriali inatoa nafasi za kazi kwa Church candidates kwenye chuo chake cha Teachers Training College

Mfano kuna kipengele kinasema hivi:



Hakuna ubaya hata kidogo kwa serikali kusign hii memorandum lakini nataka kujiuliza je ni sawa serikali kufanya agreements kama hizi na taasisi za kidnini? na Je imefanya gareement kama hii na taasisi za Kisslam au wahindu au ni Kanisa tu ndio walifanya nao?

Je, hamuoni hapo mambo ya bilateral negotiations wakaachiwa wataalam wa mambo hayo?
Hindu Mandal
 
Back
Top Bottom