Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Tanzania ujinga mwingi sana! Unakuta hii comment ni ya degree holder kabisa [emoji23]. Unajua hata kama huna akili tumia hata hizo ndogo zilizopo usiache kutumia kabisa.
Sio siri tena!
Sasa hivi makanisani ibada imekuwa ni bandari tu.....
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Kichwa kikubwa kubeba akili kisoda haya ndio matokeo yake yaani pumba tupu
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
Kwa sasa hata rais akiuvunja mkataba na kuomba msamaha kiutu uzima, maana yake ni kwamba nchi itapigwa faini kubwa, si chini ya dola za Kimarekani milioni 100, kwa sababu anakuwa anavunja mkataba uliopitishwa na bunge.

Ila inawezekana gharama hizo ni ndogo zaidi uilinganisha na kuuvunja mkataba baadaye.

Ni ujinga kwa jinsi yoyote utakavyouangalia mkataba huu
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Waraka umeonyesha ubovu wa mkataba. Vifungu kwa kwa vifungu. Sioni sehemu walipolalamikia imani yoyote bali ubovu wa mkataba.

Je uislamu ndiyo ubovu wenyewe au ......

Je mtawala asikosolewe hata kama amepotoka kisa imani yake ?!.
 
Umeandika ujinga mtupu.

Kwani umeishia darasa la ngapi?

Na madrassa umemaliza
Elimu ipi unaulizia hii ya wakoloni kutoka Ulaya, tena kwa lugha za kikoloni?
Hiyo niligonga gonga kidogo si haba.
BA business and finance.
MSc Oil and gas management
Kisha nikabadilika kabisa nikagonga
BSc Medical science
Nikapiga BSc Diagnostic radiography
Huku madrasa nina kiwango cha thanawi yaani elimu ya sekondari.
Kuhusu kuandika ujinga naomba tukubaliane kutokukubaliana.
Wakoloni wana msemo wao "Common sense is not common"
Mtazamo wako na wangu hauwezi kuwa sawa
 
Sio siri tena!
Sasa hv makanisani ibada imekuwa ni bandari tu.....
Tena haitakiwi kuwa makanisani tu, inastahili kuwa misikitini, mahekaluni, kwenye mabaa, mabarabani, na kila mahali, mjadala uwe ni bandari. Hili ni jambo kubwa sana. Nchi kuporwa rasilimali zake kwa ulaghai, siyo jambo dogo
.
 
Mkataba huu urudiwe kwa kuwa huu ni Sumu sio haramu tu ni Sumu katika aspect zote,kiusalama,kiuchumi,kibiashara na kila kitu.
Hatupingi uwekezaji,tunakataa mikataba fiche yenye kuleta hasara kwa nchi na utumwa kwa taifa la kesho.
Vipengele vya mkataba viwekwe wazima,vijadiliwe na Kisha virekebishwe tusonge mbele.
Haraka ya Nini kwenye huu mkataba,kama kuchelewa tumeshachelewa saaana kama nchi,lakini haraka zetu ni kujiweka kwenye tanuri la moto wa gesi,kama Taifa.
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
20230821_080250.jpg
 
Wapi kachukiwa mwislam hapa ukitaja mkataba mbovu umekuwa ndini au umepinga wislam wehu nini?
Huu mchezo hautaji hasira.
Kunitusi hakutafanya nibadili mtazamo wangu, ni uhuru wa kutoa maoni tu.
Mimi kwa maoni yangu ni udini tu
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
Masheikh wako wamekujaza takataka kichwani na wewe unabeba tu.

Nyinyi wafuasi wa Mudi mnashida sana vichwani mwenu
 
Bandali zetu haziuzwi kama mwataka kuuza kauzeni za kizimkazi na kisiwandui hizi za bara haziuzwiii noooooo
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
Na mama Tibaijuka nae wepo miongoni mwa wakupongezwa.
 
Masheikh wako wamekujaza takataka kichwani na wewe unabeba tu.

Nyinyi wafuasi wa Mudi mnashida sana vichwani mwenu
Hii hapa pia inathibitisha chuki na udini wa wapinga mkataba.
Dhihaka, kejeli na dharau dhidi ya mjumbe wa Mungu hapa umeleta ili nami niwe kama wewe nimkosee heshima Yesu, lakini mimi huko sifiki maana namuheshimu.
Ila kwenye hili suala la mkataba, nadhani kwa kiasi kikubwa wapingaji wanaendeshwa na mihemko ya kidini na chuki dhidi ya waislam na uislam kwa ujumla period
 
Back
Top Bottom