Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Mkataba wa Bandari: Anayekiri makosa na kuomba msamaha asamehewe kisha twende pamoja

Mkataba hauna tofauti sana na mikataba yetu karibu yote na wakoloni na mabepari kutoka ulaya, ama mikataba yetu na wageni wengine, na hii ni kutokana na uzoefu nilinao wa mikataba ya mafuta na gesi na madini duniani ambayo ni moja ya taaluma zangu
Nina mshikaji wangu kasoma masters in law (oil and gas) Scotland Aberdeen ila ana mawazo ya kinyimbi kama yakwako mpaka huruma.Fikiri nje ya box, escape the matrix broh
 
Ninyi kwenu ni sawa, alimradi tu anayepora awe wa imani yenu? Sisi tutaendelea kuzuia uporwaji wa rasilimali za nchi bila ya kuangalia wanaoupigia debe ni wa dini gani. Hatutaangalia ni Mbarawa au Mkumbo, ni Wasira au Johari.

Mporaji ni mporaji, awe mkristo, muislam, hana dini, mwanaume au mwanamke, jina lake linabakia moja tu, kuwa huyo ni adui wa Taifa.letu la leo na la.kesho.
lets call them by there names are thiefs
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
Hao wabunge waambie waache unafiki,kuitwa ktk chama Kwa wabunge linapokuja jambo kubwa Hilo lipo kila wakati na Wala sio mara ya kwanza,pili wote walikubali na kujadili na kuupitisha
 
Kwa sasa hata rais akiuvunja mkataba na kuomba msamaha kiutu uzima, maana yake ni kwamba nchi itapigwa faini kubwa, si chini ya dola za Kimarekani milioni 100, kwa sababu anakuwa anavunja mkataba uliopitishwa na bunge.

Ila inawezekana gharama hizo ni ndogo zaidi uilinganisha na kuuvunja mkataba baadaye.

Ni ujinga kwa jinsi yoyote utakavyouangalia mkataba huu
Huo Mkataba hawauvunji na wala hawatouvunja hiyo Bandari ndio hivo tena tayari imeenda
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
Uhai ndio huu.
Kupewa rushwa kuiuza Bandari yetu.
Gemu bado bichi hili!
 
Kwa mandishi yako hayo hizo Bandari wapewe tu hao Dp world tena zote mpaka Bandari kavu
Umeona balaa hilo, yaani hawa ndugu zetu wa damu ni wadini sana, ukitofautiana nao kimawazo tu ndio hivyo wanashindwa kujizua chuki zao.
Na huu mkataba wanapinga kwa udini tu hamna jengine
 
Na mimi nichukue fursa hii kukutambua kama Fala, jinga na pumbavu. Nchi inagawiwa bure kama njugu wewe unashangilia. Punguani kabisa.
Duhhhh.
Asante mzee wa mtaguso.
Ila chuki haijengi, punguzeni udini, waislam ni ndugu zenu kabisa wa damu
 
Usiende kwa hisia bali weka fikra zako huru.

Ni nani anayewachukia waislam? Sisi wengine familia zetu ni za mchanganyiko, waislam na wakristo. Japo kwa kiasi fulani misimamo ya sisi wakristo na waislam, katika imani, ipo tofauti.

Nakumbuka kwnye ukoo wetu, wapo waliobadili dini na kuwa waislam, hasa kutokana na masuala ya kuoana. Waliobadili toka ukristo kwenda uislam, kwa sababu walikuwa ni watu wazima, hawakutengwa na jamaa zao wa karibu. Lakini wao wao, baadhi waliposema wanataka kutoka kwenye uislam na kuwa wakristo, ilikuwa tafrani sana, wengine mpaka kuwatamkia watoto wao kuwa wangeingia kwenye ukristo, wangewaua. Na wakaanza kuwachukia baadhi ya ndugu kuwa wanaamini ndiyo waliowashawishi watoto wao kutofuata dini za wazazi wao, na kuamua kuwa wakristo.

Kwa ujumla, inaonekana waislam ni too sensitive. Kukitokea kitu chochote, fikra za mwanzo kabisa wanalipeleka kwenye fikra za kidini. Hata akafanyiwa jambo fulani, labda siyo la kufurahisha nafsi yake, kama jambo hilo limefanywa na mkristo, cha kwanza anaanza kufikiria jambo hilo limefanywa dhidi yake kwa sababu yeye ni muislam.
Nami nakupa mfano , chunguza mikoa ya waislam mwambao wa pwani mara nyingi wakiristo wanapata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwa wenyeji wao.
Tofauti na mikoa ya bara kwa wakiristo waislam wanachukuliwa kama wakimbizi na hawapati ushirikiano.
Waislamu ni watu wakarimu, wenye utu na sio wabaguzi ndio maana wakiristo wamejaa hapa Dar es Salaam mpaka wengi wao washasahau kama ni mji wa waislam.
Lakini huko bara kwa wakiristo ni chuki tu
 
Nami nakupa mfano , chunguza mikoa ya waislam mwambao wa pwani mara nyingi wakiristo wanapata ushirikiano mkubwa sana kutoka kwa wenyeji wao.
Tofauti na mikoa ya bara kwa wakiristo waislam wanachukuliwa kama wakimbizi na hawapati ushirikiano.
Waislamu ni watu wakarimu, wenye utu na sio wabaguzi ndio maana wakiristo wamejaa hapa Dar es Salaam mpaka wengi wao washasahau kama ni mji wa waislam.
Lakini huko bara kwa wakiristo ni chuki tu
Nimewahi kushuhudia makanisa yakichomwa moto na watu waliojiita ni waislam. Hilo lilitokea Dar na Zanzibar. Lakini sijawahi kusikia kama kuna msikiti uliwahi kuchomwa moto na wanaojiita wakristo.

Nimewahi kushuhudia biblia zikichanwa hadharani na watu ambao wanajiita waislam.

Bucha za nguruwe na maduka ya pombe, yamewahi kuvamiwa na kuvunjwa na watu waliodai ni waislam.

Mwinyi akiwa Rais, alikemea sana tabia hiyo. Akasema mtu akitaka kula nyama ya nguruwe ni ruksa. Akitaka kula nyama ya nyoka ni ruksa. Na ndipo alipopewa jina la Ruksa.

Nasema kuwa hayo yalifanywa na watu waliojiita ni waislam. Siamini kama ni uislam ndio unaoagiza hayo. Rais Mwinyi ni muislam. Kuna.mashekhe walikemea sana mambo hayo, ni waislam.

Mimi nimeishi mikoa yote yote ya pwani. Nimeishi mikoa ya bara. Sijawahi kuona wala kusikia huko bara eti kuna mtu alibaguliwa kwa sababu ya uislam. Huo ubaguzi unafanywa kwenye nini, na unafanywa kwa namna gani?

Kule Katoro, Geita, ni watu waliotoka msikitini ndio waliomwua mchungaji. Sikusikia kuwa kuna shekhe aliuawa na watu waliotoka kanisani.
 
Elimu ipi unaulizia hii ya wakoloni kutoka Ulaya, tena kwa lugha za kikoloni?
Hiyo niligonga gonga kidogo si haba.
BA business and finance.
MSc Oil and gas management
Kisha nikabadilika kabisa nikagonga
BSc Medical science
Nikapiga BSc Diagnostic radiography
Huku madrasa nina kiwango cha thanawi yaani elimu ya sekondari.
Kuhusu kuandika ujinga naomba tukubaliane kutokukubaliana.
Wakoloni wana msemo wao "Common sense is not common"
Mtazamo wako na wangu hauwezi kuwa sawa
Kwa maelezo yako haya (kama ni kweli), na ule mchango wako pale juu, basi naomba nihitimishe kwa kuandika kwamba wewe binafsi ndiye mwenye chuki dhidi ya Ukristo.
Pole sana sana.
 
Yapata mwezi mmoja uliopita, nikiwa Dodoma nilikutana na watu kadhaa, miongoni mwao ni wabunge wawili, mmojawapo aliwahi kuwa Naibu Waziri hapo awali. Hii ni kabla ya hukumu ya mahakama, ni kabla ya waovu kuwakamata watu walioamua kusimama mbele kupigania rasilimali bandari zetu, na ni kabla ya waraka wa Wahashamu Baba Maaskofu. Wabunge hawa walisema wazi kuwa kwa kweli mkataba wa DP haukupelekwa bungeni kwaajili ya kujadiliwa bali ulipelekwa ili ionekane umepitishwa na Bunge, na kwamba ilijulikana kuwa ni mkataba mbaya ndiyo maana walizuiwa kuujadili.

Wabunge hawa wakaeleza kuwa kabla ya mkataba huo kusomwa Bungeni, walitakiwa kuhudhuria kikao cha chama ambako walipewa maelekezo kuwa wanatakiwa kuupitisha. Wakaeleza kuwa hata wabunge walioongea, ni wale waliopangwa kuusifia. Na wanahisi Mdee kupewa nafasi ya kuongea, na kisha kuukosoa huenda Spika hakutegemea kama angefanya hivyo.

Wabunge hawa walionekana kutopendezwa na kile kilichotokea, lakini ni kama watu wanaoona kuwa ni lazima kuwa wanafiki ili maisha yaende.

Kama wabunge wangekuwa wanajitambua, wasingekubali kuburuzwa kwa namna hiyo. Naamini, hata ile namna ya hawa watu walivyopatikana (baadhi kutangazwa bila ya kuchaguliwa, na wengine kwa wizi wa kura), na hulka ya unafiki iliyojengeka ndani ya CCM na hata ndani ya bunge lenyewe, hakuna anayekuwa na ujasiri wa kupinga kitu ambacho nafsi yake haikubaliane naye, na mamlaka zilizowapa huwa ubunge, zinataka.

Kwa hapa tulipofika, ni busara sana kwa wale ambao nafsi zao zinawasuta kutokana na uhusika wao kwenye mkataba ule wa hovyo kabisa, kuuvua uwoga na kuuvaa ujasiri, na kutamka wazi kuwa walikosea na hawakutimiza wajibu wao. Waombe msamaha, nina imani Watanzania watawasamehe, tutasonga mbele pamoja. Hiyo haitajalisha kama anayeomba msamaha kama ni mbunge, ni polisi, ni mwanahabari, ni waziri au kiongozi wa chama.

Kwa Rais Samia, kutangaza tu kuufuta huu mkataba, atakuwa ameomba msamaha kiutuuzima, hata asipotoa kauli ya kuomba msamaha.

Taifa letu ni muhimu kuliko chochote anachoweza kukipata, iwe ni rushwa binafsi au ya kitaasisi. Na tujue kuwa hakuna Taifa pasipo umoja, amani na maelewano.

Baadhi wamekwishaanza kuifuata njia hii. Mbunge wa Bunda, yeye amesema wazi kuwa wala hata kuusoma huo mkataba hakuusoma kwa vile hata lugha iliyotumika, hana ujuzi nayo. Watu wa namna hiyo siyo wa kuwabeza, bali tuwapongeze kwa kujitokeza na kuunena ukweli. Mbunge wa Nkasi, yeye alisema wazi kuwa walikokotwa na kuambiwa wanaenda Dubai, hata hawakuambiwa wanaenda kufanya nini. Kumbe ilikuwa kuipa syndicate uhalali.

Najua ugumu upo zaidi kwa wale wanaotajwa kuhongwa pesa taslim, magari na nyumba. Hawa wana hofu kubwa. Maana kukana hadharani kunaweza kuchukuliwa na waliowahonga kuwa waliwatapeli kwa kuchukua pesa na kuwadanganya kuwa watahakikisha kwa vyovyote mkataba unapitishwa.

Mkataba ni wa hovyo, ni haramu na haufai kwa jamii yoyote. Uharamu wake umenenwa na watu wengi, tena wabobezi sana. Kama kuna yeyote ambaye mpaka leo haoni uhovyo wa mkataba huo basi rushwa aliyopewa, siyo tu itakawa imepofusha akili yake, bali rushwa aliyoila imeua na kuteketeza kabisa akili, dhamira na nafsi yake.

Hongereni ma asanteni Wahashamu Maaskofu, hongera na shukrani sana Madeleka, Mwambukusi, Mdude, Slaa kwa kujitoa sadaka kwaajili ya Watanzania. Asanteni sana TLS, Prof. Shivji, Mzee Butiku na Mzee Warioba, kwa maana hamkupindisha maneno ili kuoulizwa manukato uozo.

Ukweli na wema vinaweza kuchelewa, lakini mwishoni lazima ushindi upatikane.
Well said mkuu. Nimependa sana uchambuzi na maoni ya utulivu kabisa. Hawa viongozi wasidhani hii nchi ni yao peke yao, ni ya watanzania kwa ujumla. Ni wakati sahihi wa wananchi kutambua kuwa hatuna Bunge, tunaye Mungu peke yake anayetupigania..

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Acha chuki na udini, sisi wote ni ndugu, kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida
Umesema kweli, mimi nachukia udini na sitaacha kuchukia udini. Maana mkileta udini kwenye mambo muhimu ya nchi mnajaribu kutugawa na hatutagawanyika kamwe. Wote waislam kwa wakristo na dini zingine na hata wasio na dini wameukataa mkataba batili wa dpw.
 
Acha chuki na udini, sisi wote ni ndugu, kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida
Umesema kweli, mimi nachukia udini na sitaacha kuchukia udini. Maana mkileta udini kwenye mambo muhimu ya nchi mnajaribu kutugawa na hatutagawanyika kamwe. Wote waislam kwa wakristo na dini zingine na hata wasio na dini wameukataa mkataba batili wa dpw.
 
Wakiristo wana chuki sana dhidi ya waislam, waraka wa maaskofu na wapingaji wa Mkataba wanaendeshwa na udini tu hamna jengine.
IBARA ya 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema, iwapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari, inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa Mali zake? Ujinga huu ubaki CCM na Dubai.
 
Tunaunga mkono uwekezaji,ila maoni ya wananchi yazingatiwe mkataba whatsoever makubaliano vipengele vyake virekebishwe kabla ya kukubaliwa na wananchi ndio Bunge lilidhie hiyo ndio hoja ya Dk Shoo kwa kifupi literally kabisa ametoa maoni sawa na msimamo wa TEC vinginevyo haungi mkono huo mkataba,zingatia mkataba sio uwekezaji.
 
Back
Top Bottom