Asemee hayo kwenye bunge lipi, hilo lenye spika anayejifanya mwalimu mkuu?Kwenye hayo aliyokatishwa akiwa anaongea hakuna sehemu aliposema mwanasheria mkuu hakushirikishwa? Kwa nini tuamini maneno yake saivi?
Tupe huo utofauti wa mwanasheria mkuu wa serikali na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali?Nami nikuulize aliyepeleka majina ya COVID-19 bungeni ni nani?
Mwanasheria mkuu wa Sirikali na Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Sirikali ni vitu viwili tofauti.
Upewe udhibitisho ww kama nani?Tupe uthibitisho
Hii ni Aibu kwa nchi yetu.Mbunge wa Nkasi ameviambia vyombo vya habari Mwanasheria mkuu wa Serikali hadi MKATABA wa milele wa bandari ya Tanganyika na waarabu unaletwa bungeni kesho yake hakuwa na taarifa.
"...hilo jambo lililetwa kwa uharaka wa ajabu na nikuhakikishie ndugu WAANDISHI hadi jioni ya kuamkia kesho ya MKATABA ule kuletwa bungeni AG hakuwa na taarifa yeyote!"
Mbunge Aida Khenani.
Mwanasheria mkuu wa serikali hajahusishwaUbatili wake uko wapi?
Umeelewa swali?Asemee hayo kwenye bunge lipi, hilo lenye spika anayejifanya mwalimu mkuu?
Labda hujamsikiliza mpaka mwisho...Amenisikitisha sana huyo mbunge na hiyo statement yake, yaani hakujua hata malengo ya safari yeye amekurupuka tu kufurahia shopping ya Dubai? Loh!
Tupe uthibitishoMwanasheria mkuu wa serikali hajahusishwa
Muda wa kuchangia bungeni hauzidi dakika 10, fahamu tu kuwa miongozo na intervetion ya spika ilizidi dakika 5, katika mazingira hayo anawezaje kuchangia kila kitu?Kwenye kupinga kuna sehemu alisema mwanasheria mkuu hakushirikishwa?
Angetamka mda upi kama alitatizwa mda wote?!Kwenye kupinga kuna sehemu alisema mwanasheria mkuu hakushirikishwa?
Hakuona umuhimu wa kuzungumza hili kama jambo la kwanza? Akaishia kucheza clip za mbowe??Muda wa kuchangia bungeni hauzidi dakika 10, fahamu tu kuwa miongozo na intervetion ya spika ilizidi dakika 5, katika mazingira hayo anawezaje kuchangia kila kitu?
Hakuona haja ya kulisema hili kama jambo la mwanzo?Angetamka mda upi kama alitatizwa mda wote?!
Haya, kasema sasa!
Ww ungekuwa unatumia akili yako ungejitosa kutetea huu uhuni hapa mitandaoni?Hakuona umuhimu wa kuzungumza hili kama jambo la kwanza? Akaishia kucheza clip za mbowe??
Nyie watu rahisi sana mtu kuwashika akili
Natetea uhuni gani?Ww ungekuwa unatumia akili yako ungejitosa kutetea huu uhuni hapa mitandaoni?
That's correct..Baada ya Hii ziara ilitakiwa wapelekwe Wataalamu wetu wa bandari wajue huo mfumo na uanze mchakato wa kuupata. Tunacho Chuo cha Bandari kiwezeshwe kututengenezee Wataalamu wakuwezesha efficiency!
Kwa hiyo wewe ndo msemaji wa Samia siku hizi?huu mkataba ni BATILI
naona hata samia mwenyewe anajuta ubatili huo wa mkataba kuwafikia wananchi nadhani hakutegemea alijua waTanganyika ni walewale kumbe wamebadilika.
Haijakaa vizuri according to who? Yaaani nyie msiojua hata mambo ya bandari na hali ya nchi ndo msitishe jambo kubwa kwa maslahi ya Taifa ?That's correct..
But all in all, hii kitu (DP World) haijakaa vizuri Kwa CCM na Rais Samia in particular..
Hii kitu inamchafua na kumvunjia heshima. Ni Bora akawa bold na kulisitisha kwanza mpaka haya yanayolalamikiwa yarekebishwe..
Uwekezaji toka nje ni mzuri sana. Lakini si kwa namna hii ya ki - DP World..!
Thanx