Mkataba wa Bandari: Mbunge Aida Khenani akiri kupelekwa Dubai, lakini mpaka wanarudi hakujua walikwenda kufanya nini

Wewe mpuuzi umewahi kufika loliondo? Kule mlikomuuzia mwarabu? Mpaka cm zinasema karibu falme za kiarabu ndani ya Tanzania unafikiri unaweza kuingia kama unavyoingia chooni kwako? Mnauza uridhi wa vizazi alafu unajiona msomi huko shule ndivyo mlivyoenda kusomea kuuza nchi?
 
Kuna shida gani kutafuta umaarufu kusema ukweli? Usilamishe aseme lini ukweli wake. Kaamua kusema leo mbele ya waandishi wa habari kuliko bungeni kwa wahuni.
 
Ila mheshimiwa Angekuwa amefanya vizuri kama angetusanua kabla ya kwenda Dubai.
 
PPRA wanasemaje?
 
Sipingi huja ya mbunge lkn Kuna shida nyingine naiona kwa sisi wa bongo.
Hivi mbunge atoke Tanzania hadi Dubai hajui alienda kufanya nn? Hatupo serious kiasi hiki kweli?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nami ninashangaa kidogo kwa wewe kuuliza swali kama hilo.

Hivi kweli wewe uliona u'seriousness' wa aina yoyote mule ndani ya Bunge; ukianzia kwa Speaker mwenyewe na hata Mawaziri, akina Nnauye waliochangia?

Hebu jaribu kuwa mkweli wa nafsi yako mwenyewe juu ya hili, badala ya kuhoji umakini wa mbunge, tena aliyepewa fursa tu ya kwenda matembezi nje ya nchi.

Katika hali ya kawaida, hivi kweli pasingekuwepo na maandalizi ya kina sana kwa hao wabunge kabla ya safari yao hiyo?
Kuna mbunge yeyote, aliyeeleza ni kwa namna gani waliandaliwa kabla ya safari yao muhimu kama hii? Walipewa seminar yoyote juu ya watakayotarajia kuyaona katika hiyo safari?
 
Ila mheshimiwa Angekuwa amefanya vizuri kama angetusanua kabla ya kwenda Dubai.
Angesanua vipi na hakukua serikali imeingia mkataba na Dubai? Wao wanaenda ziara nyingi nje ya nchi, hivyo hakuona shida
 
Bunge lipo uchi wa mnyama. Serikali imejaa rushwa. mbuzi wamekula mkeka.
 
Hujamuelewa msukuma,hizo ni political game na ame-win ....umeona wakisema tena maneno ya GANG ??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mnafiki mkubwa, muongo mzandiki, hivi kweli utoke hapa upelekwe hadi dubai hujui unaenda kufanya nini?, kawadanganye huko huko nkasi sio kutuletea uharo hapa,
Wewe pinga kwa kuwa ni haki yako, ila usitudanganye eti ulikuwa hujui unaendea nini? Tapeli mkubwa mla rushwa mkubwa kwadanganye washamba wenzako huko
Na pengine uhamiaji wakuchunguze na wasiwasi si mtanzania wewe, kwa nini unatetea wakenya kwa juhudi hivi ?
 
Hii ni rushua tu
TAKUKURU mpo?
 
Ubatili wake uko wapi?
Una kazi ndugu kumpinga kila mtu juzi ukaanzisha uzi ukimkosoa lissu.
Kwenye huu uzi kila anayepinga issue ya bandari unamkosoa sijui mwenzetu umelipwa shilingi ngapi.
Labda nikuchangamshe bichwa lako ulishwawahi kusikia kuwepo zabuni shindani ya kusimamia bandari hadi hiyo DPW ikapatikana
 
Ila mheshimiwa Angekuwa amefanya vizuri kama angetusanua kabla ya kwenda Dubai.
Angesanua vipi na hakukua serikali imeingia mkataba na Dubai? Wao wanaenda ziara nyingi nje ya nchi, hivyo hakuona shida
Ila kabla ya safari si wanaambiwa sababu ya safari?
 
Hata mimi ningeenda bila kujiuliza mara mbili, begi langu huyoooooo 😁 😁 😁 😁 , tatizo lipo kama wabunge WOTE walienda huku wakiwa hawajui wameenda kufanya nini...lol
 
Wazanzibari 3 wameshirikiana kutumia madaraka yao hapa Tanganyika kuiuza bandari yetu, hili hatutalikubali, watanganyika tuamke, ni kheri uwe na shamba linalotoa gunia 6 za mahindi lakini libakie kuwa la kwako kuliko kuliuza kisha uwe unapewa gunia 12, huo utakuwa ni ujinga.
 
Hata mimi ningeenda bila kujiuliza mara mbili, begi langu huyoooooo 😁 😁 😁 😁 , tatizo lipo kama wabunge WOTE walienda huku wakiwa hawajui wameenda kufanya nini...lol
wabunge walioiba kura wana uchungu gani na Tanganyika ndugu.
 
Aisee, ndio maana Samia anajificha kwa aibu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…