Mkataba wa IPTL uliingiwa mwaka 1994 Rais akiwa Mzee Mwinyi

Mkataba wa IPTL uliingiwa mwaka 1994 Rais akiwa Mzee Mwinyi

Sasa mbona Nyerere huwa anasifiwa sana kama alishindwa kwa vitu vidogo kama hivyo?
Lazima upate mambo yote ya Nyerere in a big picture then u uangalie aliyo feli. Utagundua kuwa kwa kiasi kikubwa alifanikiwa. Nyerere alifanikiwa kujenga taifa lenye umoja na mshikamano, taifa lenye amani, lugha ya Kiswahili, ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, elimu bure hadi chuo kikuu, viwanda etc

Suala la uchumi alifeli miaka ya baada ya Vita vya Kagera dhidi ya Iddi Amin. Na hapo ndipo A H Mwinyi alipojipatia ujiko
 
Kumbe ndiyo maana kila wakipata chance wanauza ili wamalize kabisa kula leo. Loliondo, IPTL bandari....hapo nimekusoma🫱🏽‍🫲🏾🫱🏽‍🫲🏾🫱🏽‍🫲🏾
Tena bado hujanisoma viziuri, soma:

Sasa hivi watu wanakula kiulaini, Kimataifa.

Ulishajiuliza ATCL ilifikaje Uholanzi ikakamatwe?
 
Tena bado hujanisoma viziuri, soma:

Sasa hivi watu wanakula kiulaini, Kimataifa.

Ulishajiuliza ATCL ilifikaje Uholanzi ikakamatwe?
Aisee mna mbinu. Kwa hiyo kesi ya mchongo inatengenezwa then mawakili wa mchongo then mnashindwa then JMT inalipa. Kumbe inakuwa imewalipa majamaa wamejibanza kwenye kiofisi hapo mitaa ya Salamander.....hatari sana kwa kweli...watakuwa wabara hao wanamtesa Mama
 
Aisee mna mbinu. Kwa hiyo kesi ya mchongo inatengenezwa then mawakili wa mchongo then mnashindwa then JMT inalipa. Kumbe inakuwa imewalipa majamaa wamejibanza kwenye kiofisi hapo mitaa ya Salamander.....hatari sana kwa kweli...watakuwa wabara hao wanamtesa Mama

Mitihani ya kuotea majibu inawaharibia sana uwezo wa kufikiri vijana wengi. Wenye ahueni ni wale wa madrassa tu, hawana mitihani ya kuotea.
 
Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.

Rais Mwinyi ni Mzanzibar.

cc johnthebaptist
Kumbe ni ileile ya upigaj nikajua NCCR MAGEUZI ndio walituingiza chaka!! Hivi kuna namna yoyote mtu Amasimama na kukaza fuvu kua CCM imeliletea faida Taifa zaid ya hasara?
 
Back
Top Bottom