Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Jinsi nnavyoona Tanzania tunavyokwenda, zinakaangwa mbuyu wachwe wenye meno wazitafune.
Nchi inaingizwa kwenye vita ya kidini na watu wanashangilia.
Vita ya kidini ni ngumu sana kutokea tz, usiikuze kihivyo wkt tz watu wameishi kwa dini an makabila mchanganyiko for all those years bila vita ya kidini