welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
ila wana mbwembwe kuliko wachagaπππ
Tritel
Wahaya ni mabilionea kitambo sana na hawanaga mbambamba kama Wachagga ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila wana mbwembwe kuliko wachagaπππ
Tritel
Wahaya ni mabilionea kitambo sana na hawanaga mbambamba kama Wachagga ππ
Mzanzibarhata mkataba wa Loliondo uliingiwa kipindi Cha Mwinyi
Fedha za EPA hazikuibwa kwa lengo la kwenda kufanya biashara (unless unithibitishie), kwa hiyo sijui biashara zao.Jibu hili swali
Jiulize waswahili wote waliochukua fedha za EPA wanafanya biashara gani leo hii na wamebaki na fedha kiasi gani.
Kwanza thibitisha ukilaza wangu kwa data za kuonesha wahindi waliokuja miaka 200 ndiyo hao wanaoshikilia uchumi.
Pili , thibitisha walioiba fedha za EPA na Rostam, yeye amekuwa billionaire anayetambulika kimataifa wakati wao hawana biashara yoyote.
Hapa hakuna habari za wivu, ni hoja za ukombozi wa mtu mweusi ambaye ndiye mwenye nchi na Afrika kwa ujumla.
Ni lazima mtu mweusi aione dunia kama mahali bora kwa kuishi hasa hasa akiwa nyumbani kwake alipopewa na Mungu.
lebabu11 jibu la swali lako hapo juu hilo hapo chini limeletwa na JaginaJibu hili swali
Jiulize waswahili wote waliochukua fedha za EPA wanafanya biashara gani leo hii na wamebaki na fedha kiasi gani.
Naomba nikupuuze kwa hili au tukubaliane kutokubaliana. Umeanza kuniita kilaza mkubwa, nitakufa kwa wivu. Sasa nikukutana na mtu mwenye reaction ya namna hii, sipendi sana kuendeleza mjadala naye,ni bora zaidi kumpuuza tusonge mbele.
Nakubaliana na wewe. Huna hoja. Case closedNaomba nikupuuze kwa hili au tukubaliane kutokubaliana. Umeanza kuniita kilaza mkubwa, nitakufa kwa wivu. Sasa nikukutana na mtu mwenye reaction ya namna hii, sipendi sana kuendeleza mjadala naye,ni bora zaidi kumpuuza tusonge mbele.
Mwinyi ni mzanzibari? Hapana aiseeNawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Hao waone hivyo hivyo na suti za mitumba, vichwani hamna vitu.
Wallahi huyu kijana Shafi amesema kweli kabisa, kama hauna Uislam basi hauna akili. Utavaaje suti huku kuchamba mavi huelewi? Wana ustaarabu wa paka, kunya mavi kujipaka. Hapo sasa:
Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Mzee siku hizi ana lilozari kuuuubwa na haonekani popote zaidi ya kanisani.πππ
Tritel
Wahaya ni mabilionea kitambo sana na hawanaga mbambamba kama Wachagga ππ
Hapa ilikua bara na visiwani, dini/ imani imefikaje tena?Usisahau mikataba iliyotokana na sheria mpya ya mwaka 2018 inatutowa mpaka udenda wa mwisho huko ICSID, hivi tunavyoandika hapa kesi zinaongezeka.
Waliotunga sheria hiyo wapo, kabudi na genge lake, mbona hamuwaambii wakaitetee? Au ndiyo wa imani yenu hawakosei?
Ndiyo nakwambia sasa Mzee Mwinyi ni wa huku bara kama hujui hata kama aliwahi kuwa Rais wa kule bado ni wa huku, nakuongezea mwingine Mzee Karume Rais wa kwanza wa kule, ni Myao kwa kabila na kazaliwa huku bara ila kawa Rais kuleSifa ya kuwa Rais wa Zanzibar ni lazima uwe raia wa Zanzibar. Mzee Mwinyi aliwahi kuwa rais wa Zanzibar na Mwanae pia ni Rais huko Zanzibar kwa sasa