Kuna waarabu walipewa viwanja vya mnazi mmoja miaka hiyo. Wakiwa wamezungushia uzio wa mabati kabla ya kuanza ujenzi, wananchi wenye hasira wakavamia eneo na kubomoa uzio wakimtaka aliyewagawia akawape eneo kwao Zanzibar.hata mkataba wa Loliondo uliingiwa kipindi Cha Mwinyi