Lazima upate mambo yote ya Nyerere in a big picture then u uangalie aliyo feli. Utagundua kuwa kwa kiasi kikubwa alifanikiwa. Nyerere alifanikiwa kujenga taifa lenye umoja na mshikamano, taifa lenye amani, lugha ya Kiswahili, ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, elimu bure hadi chuo kikuu, viwanda etcSasa mbona Nyerere huwa anasifiwa sana kama alishindwa kwa vitu vidogo kama hivyo?
Tena bado hujanisoma viziuri, soma:Kumbe ndiyo maana kila wakipata chance wanauza ili wamalize kabisa kula leo. Loliondo, IPTL bandari....hapo nimekusoma🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾🫱🏽🫲🏾
Aisee mna mbinu. Kwa hiyo kesi ya mchongo inatengenezwa then mawakili wa mchongo then mnashindwa then JMT inalipa. Kumbe inakuwa imewalipa majamaa wamejibanza kwenye kiofisi hapo mitaa ya Salamander.....hatari sana kwa kweli...watakuwa wabara hao wanamtesa MamaTena bado hujanisoma viziuri, soma:
Sasa hivi watu wanakula kiulaini, Kimataifa.
Ulishajiuliza ATCL ilifikaje Uholanzi ikakamatwe?
Most Overrated President wa nchi hii,Sasa mbona Nyerere huwa anasifiwa sana kama alishindwa kwa vitu vidogo kama hivyo?
Aisee mna mbinu. Kwa hiyo kesi ya mchongo inatengenezwa then mawakili wa mchongo then mnashindwa then JMT inalipa. Kumbe inakuwa imewalipa majamaa wamejibanza kwenye kiofisi hapo mitaa ya Salamander.....hatari sana kwa kweli...watakuwa wabara hao wanamtesa Mama
Wana macho lakini hayaoni, wana masikio lakini hayasikii.Most Overrated President wa nchi hii,
Na ndio raisi aliefeli kuliko wote
Na wewe ndiye kiongozi mkuu wa kuhamasisha "vita ya kidini" unayoiona.Jinsi nnavyoona Tanzania tunavyokwenda, zinakaangwa mbuyu wachwe wenye meno wazitafune.
Nchi inaingizwa kwenye vita ya kidini na watu wanashangilia.
Na wale maaskofu na makasisi wanaojazana kwenye mikutano ya kisiasa kuliko wanasiasa wenyewe, wanahamasishwa na nani, au wanahamasisha nini?Na wewe ndiye kiongozi mkuu wa kuhamasisha "vita ya kidini" unayoiona.
Kumbe ni ileile ya upigaj nikajua NCCR MAGEUZI ndio walituingiza chaka!! Hivi kuna namna yoyote mtu Amasimama na kukaza fuvu kua CCM imeliletea faida Taifa zaid ya hasara?Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Rais Mwingi ni Mndengereko na kwao ni Mkuranga hakuwahi kuwa MzanzibarNawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
huyo mwanae aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga pia.Sifa ya kuwa Rais wa Zanzibar ni lazima uwe raia wa Zanzibar. Mzee Mwinyi aliwahi kuwa rais wa Zanzibar na Mwanae pia ni Rais huko Zanzibar kwa sasa
HakikaTuwe tunasoma katikati ya mistari
Usihofu, atairudisha tobo, oh sorry, tundu lissu afakapoingia madarakani 2025. Wala msihemke sana na udini yenuLoliondo nayo iliuzwa na nani ?
Hivi ule wa kuimega Loliondo na kuwauzia Waarabu ilikuwa mwaka gani?Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Mwinyi aliwauzia Wajomba zaoLoliondo nayo iliuzwa na nani ?
Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist