Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Jinsi nnavyoona Tanzania tunavyokwenda, zinakaangwa mbuyu wachwe wenye meno wazitafune.
Nchi inaingizwa kwenye vita ya kidini na watu wanashangilia.
Mzanzibari wa Mkuranga.Mwinyi alikuwa Mzanzibar. Kwani kuna ubaya hilo likisemwa?
Ongeza na ule wa Loliondo rais akiwa Mzee Mwinyi mzanzibariNawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Fikiria akija Rais mwenye akili atakubali kuendelea na huu uharo wa Dp world?Usisahau mikataba iliyotokana na sheria mpya ya mwaka 2018 inatutowa mpaka udenda wa mwisho huko ICSID, hivi tunavyoandika hapa kesi zinaongezeka.
Waliotunga sheria hiyo wapo, kabudi na genge lake, mbona hamuwaambii wakaitetee? Au ndiyo wa imani yenu hawakosei?
Mwinyi mtu wa mkuranga pwani TanganyikaMwinyi alikuwa Mzanzibar. Kwani kuna ubaya hilo likisemwa?
Kwa Nini mliwatoa kwenye nafasi zao za kuweza kutetea maamuzi yaliyoridhiwa na Bunge?Kwani kuna ubaya wakitajwa kina kabudi na kesi zinazoendelea sasa hivi?
Ni sahihi kabsa, na Nyerere aliyakubali hayo mabadiliko kupitia Mwinyi na sio kupitia yeye mwenyew, pengine hakuaka kuwa mnafiki kama viongoz wa leo...Lazima upate mambo yote ya Nyerere in a big picture then u uangalie aliyo feli. Utagundua kuwa kwa kiasi kikubwa alifanikiwa. Nyerere alifanikiwa kujenga taifa lenye umoja na mshikamano, taifa lenye amani, lugha ya Kiswahili, ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, elimu bure hadi chuo kikuu, viwanda etc
Suala la uchumi alifeli miaka ya baada ya Vita vya Kagera dhidi ya Iddi Amin. Na hapo ndipo A H Mwinyi alipojipatia ujiko
Una umri gani!?.. Hussein mwinyi mwenyewe alikua mbunge wa mkuranga,akahamishiwa zenji kwa sababu 'maalum'.. akasema nilikua mbunge ubabani Sasa nagombea umamani,Tena mzeee mwinyi kiasili ni mnyamwezi,mwenyewe kaeleza alihamia zenji akiwa na umri ganiHizi ni hisia tu. Hazina ukweli. Hakuna ushahidi wa dhahiri kuhusu hili. Mbona hatuoni hao ndugu zake wa Mkuranga?
Changamoto kubwa ni umoja huo kutotumika kuendeleza watu wake kiuchumi baadaye.Lazima upate mambo yote ya Nyerere in a big picture then u uangalie aliyo feli. Utagundua kuwa kwa kiasi kikubwa alifanikiwa. Nyerere alifanikiwa kujenga taifa lenye umoja na mshikamano, taifa lenye amani, lugha ya Kiswahili, ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika, elimu bure hadi chuo kikuu, viwanda etc
Suala la uchumi alifeli miaka ya baada ya Vita vya Kagera dhidi ya Iddi Amin. Na hapo ndipo A H Mwinyi alipojipatia ujiko
Pia nawakumbusha mkataba wa loliondo uliingiwa 1992 rais akiwa mzee Mwinyi. Mwinyi ni mzanzibari.Nawakumbusha tu kuwa mkataba wa IPTL uliingiwa kati ya nchi yetu na IPTL ya Malaysia mwaka 1994 ambapo rais alikuwa Mwinyi.
Rais Mwinyi ni Mzanzibar.
cc johnthebaptist
Uchumi umekuwa sana na ni kutokana na sera zake ndiyo akina Mkapa na JK wameweza kuifikisha Tanzania kwenye top 10 biggest economies in Africa. Sera ya kutoruhusu raslimali zetu zitumike kabla watu wetu hawaja elimika na sera ya ardhi kuwa mali ya serikali ni nguzo muhimu za uchumi wa sasa.Changamoto kubwa ni umoja huo kutotumika kuendeleza watu wake kiuchumi baadaye.
Huu umoja na mshikamano ulitakiwa uwe chachu (catalyst) kwa maendeleo ya kiuchumi na kamwe usitumike kuendeleza uduni wa fikra.
Wako wapi hao ndugu zake wa Mkuranga? Hizo ni chai tu ili kuhalalisha kuwa ni mtu wa Bara. Hakuna mtu wa bara anaweza kuwa rais ZanzibarUna umri gani!?.. Hussein mwinyi mwenyewe alikua mbunge wa mkuranga,akahamishiwa zenji kwa sababu 'maalum'.. akasema nilikua mbunge ubabani Sasa nagombea umamani,Tena mzeee mwinyi kiasili ni mnyamwezi,mwenyewe kaeleza alihamia zenji akiwa na umri gani
We mgonjwa,ngoja nikuacheWako wapi hao ndugu zake wa Mkuranga? Hizo ni chai tu ili kuhalalisha kuwa ni mtu wa Bara. Hakuna mtu wa bara anaweza kuwa rais Zanzibar
Nitajie ndugu mmoja wa kikwete aliye msoga...ikiwa umewasahau,nitajie ndugu wa Samia,hivi kiongozi akiingia madarakani huwa inawekwa orodha ya ndugu zake ili taifa liwajue!?..unafikiri sawasawa wewe!?Nitajie ndugu mmoja wa Mwinyi aliyeko Mkuranga
Mzee Hamza alikuwa hawezi hata kuandika jina lake vizuri, ndio waliivuruga nchi kwa ujinga waliokuwa nao.Jinsi nnavyoona Tanzania tunavyokwenda, zinakaangwa mbuyu wachwe wenye meno wazitafune.
Nchi inaingizwa kwenye vita ya kidini na watu wanashangilia.