Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN

A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
========================
UP DATE……


View: https://x.com/suppressednws/status/1861515475827486848?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanaukumbi.

Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN

A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
Haiiishiiiii hiii story za abunuasiii mpaka tusafishee gazaaa

Niko kwa masawe wakala
 
Wanaukumbi.

Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN

A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
Ahahahahaha!!!
 
kazi iendeleee
 

Attachments

  • Screenshot_20241125-131254_Gallery.jpg
    Screenshot_20241125-131254_Gallery.jpg
    377.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241125-131250_Gallery.jpg
    Screenshot_20241125-131250_Gallery.jpg
    451.2 KB · Views: 5
Wanaukumbi.

Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN

A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
Naijuaaaaa hiii weeeee wajisahauu waonee hezbollah watazaa. Mapacha
 
Jana tu hio mziki ilipigwa na hzb maji wakaitwa mma


🟡 Hezbollah's War Media:

Islamic Resistance Operations

"The Battle of the First Cry"

Sunday, November 24, 2024
69 days since the start of the aggression

Total Operations:
51

Targeted Locations:

Within Lebanese territory: 19
Within the occupied Palestinian territories: 34

Target Depth:

Up to 150 km

Types of Targets:

Military vehicles: 6
Military bases: 9
Aircraft and drones: 1
Military sites and barracks: 5
Cities and settlements: 14
Civilian gatherings: 18

Weapons Used:

Guided missiles: 7
Precision rockets: 4
Short-range surface-to-surface rockets: 1
Long-range surface-to-surface rockets: 38
Air defense systems: 4

🚩 @ResistanceTrench
 
Lengo la Magaidi ya Hezbola kuingia kwenye Vita ilikuwa ni kusaidia Hamas je "Lengo"lao limefanikiwa?! Au wameambulia kiliingiza Taifa la Lebanon kwenye Vita na uharibifu?
Cha msingi mazayuni yaelewe kua Gaza haiko peke yake ukipiga jiandae na mtungo. Na ndio mzani uliowekwa saivi akiingia gaza na wahuni wengine wanamuingilia nyuma huo ndio utaratibu mpya
 
Ni kitu gani Hezbola imefaidika katika kuingia kwenye Vita na Israel? Majibu tafadhali.
Baba mchungaji ujui asala alizopata zayuni kutoka kwa hezbullah miji imepigwa viwanda vimepigwa camp za jesh kibao zimepigwa vituo vyakijasus watu wamepitanavo vifaru kadhaa roo kadhaa viwete kadhaa watu wameamishwa ktk miji wanalala stand uko telaviv wanaudumiwa kama wakimbizi wa ndani na mengine atuoneshwi ya silini.
 
Wanaukumbi.

Yerusalemu
CNN
-
Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Lebanon Hezbollah "uko karibu sana," chanzo cha kikanda kiliiambia CNN siku ya Jumapili, hata kama ongezeko la mashambulizi ya Israel lilishuhudia vifo vya Lebanon tangu katikati ya Septemba kupita hatua mbaya.
===============
Jerusalem
CNN

A ceasefire deal between Israel and the Lebanese militant group Hezbollah is “very close,” a regional source told CNN on Sunday, even as an uptick in Israeli attacks saw the death toll in Lebanon since mid-September pass a grim milestone
👇🏽
Source: CNN Ceasefire deal between Israel and Hezbollah is ‘very close,’ regional source says, as Lebanon death toll climbs | CNN
Ingekuwa source angalao imeiambia aljazeer ningeelewa hao cnn watakuwa pengine wakweli siku mzeeTrumpet akirejea ulingoni kwa sasa na wenzao bbc ,dw hata voa waligeuka chawa wa wapuuzi fulani duniani.
 
Asala kubwa kama sio asala tudanganye kwanini wanataka vita visimame pande ile ya Hezbullah sio Gaza wanawapenda sana. Msimamo wa Hezbullah vita visimame Gaza na kuondoa uchafu wao pale watu warudi kwenye maisha yao
 
Yahudi jesusi la Kibosho hata alijui linataka kusema nini Netanyahu kaomba mpoo huko kwa Hezbollah lenyewe linajua Gaza😀
Mi naangalia Al jazeera hapa nani kaomba poo unamjua Ben weweee

Ulishabikia hao mbwa wa gaza akala vichwa kila kiongozi anaeteuliwa

Wee ushaona nchi inapiga nchi mbili wiki nzima

I napiga gaza wakati huohuo 🇱🇧

Endeleaa kusubiri suluhishooo angalia vyuma vya leo Al jazeera wamekula ngapi
 
Netanyahu katema bungo huko baada ya kichapo.
Kwa kweli baadhi ya waislamu ni tatizo. Dini inatajwa kama ni dini ya amani ila watu waliowengi kwenye dini hawapendi amani. Baada ya kumshukuru Mungu amani ipatikane duniani mnasema Netanyau katema bungo. Wewe ulitakaje? Wangekuwa wanaokufa huko wanao ungeona sawa?
 
Mi naangalia Al jazeera hapa nani kaomba poo unamjua Ben weweee

Ulishabikia hao mbwa wa gaza akala vichwa kila kiongozi anaeteuliwa

Wee ushaona nchi inapiga nchi mbili wiki nzima

I napiga gaza wakati huohuo 🇱🇧

Endeleaa kusubiri suluhishooo angalia vyuma vya leo Al jazeera wamekula ngapi
Wewe punguani kweli mimi nimekuletea habari kutoka kwa mabasha zako CNN.

Yaaani mabwana zako wanapigana na Hamas wanamgabo wapo 24.0000 tu wanasaidiwa na Marekani na Ulaya mwaka na zaidi unajisifia🤣

Mapunguani wapo wengi sana mateka wapo wapi?

Mabasha zako wamebakia kuuwa watoto na kubomoa majengo.
 
Baba mchungaji ujui asala alizopata zayuni kutoka kwa hezbullah miji imepigwa viwanda vimepigwa camp za jesh kibao zimepigwa vituo vyakijasus watu wamepitanavo vifaru kadhaa roo kadhaa viwete kadhaa watu wameamishwa ktk miji wanalala stand uko telaviv wanaudumiwa kama wakimbizi wa ndani na mengine atuoneshwi ya silini.
Na hasara alizozipata Hezbola mbona huzitaji?!
 
Back
Top Bottom