Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona Hezbola wanataka Amani wakati huko Gaza Dozi zinaendelea?!Cha msingi mazayuni yaelewe kua Gaza haiko peke yake ukipiga jiandae na mtungo. Na ndio mzani uliowekwa saivi akiingia gaza na wahuni wengine wanamuingilia nyuma huo ndio utaratibu mpya
Kwaiyo hammas wameshinda?Netanyahu katema bungo huko baada ya kichapo.
Wewe punguani kweli mimi nimekuletea habari kutoka kwa mabasha zako CNN.
Yaaani mabwana zako wanapigana na Hamas wanamgabo wapo 24.0000 tu wanasaidiwa na Marekani na Ulaya mwaka na zaidi unajisifia🤣
Mapunguani wapo wengi sana mateka wapo wapi?
Mabasha zako wamebakia kuuwa watoto na kubomoa majengo.
Kwaninii vita visimame Lebanon na sio Gaza, kwani lengo la Hezbollah kuingia vitani lilikuwa ni nini?Asala kubwa kama sio asala tudanganye kwanini wanataka vita visimame pande ile ya Hezbullah sio Gaza wanawapenda sana. Msimamo wa Hezbullah vita visimame Gaza na kuondoa uchafu wao pale watu warudi kwenye maisha yao
Hizbullah wameshinda hii vita balaa.Unaambiwa wanajeshi laki moja wa Israel.wameshauwawa.Netanyahu katema bungo huko baada ya kichapo.
Mkuu mm nakusupport wewe shoga la barabara ya 18Yahudi la Uyole limekasirika😅
Arguing with you it's a not my goal.Hahahaha wewe wazazi wako ndiyo wamekupa elimu daaah hata kuandika hufahamu unachanganya herufu kubwa na ndogo😅
JF kuna vituko hawa ndiyo wasomi wa JF wanaojitapa.
Haya mambo unayoyazungumzia yamekuzidi uwezo unayajua masharti ya Hezbollah?Soma uelewe unakurupuka kujibu Hamas ni Hezbollah?
Hezbollah hataki amani mtasubiri sana, wao wamewahonga serikali ya Lebanon ili ifanye cease fire ya mchongo. Ili waendelee na upuuzi wao gaza Iran hawezi kukubali ujinga huoSasa mbona Hezbola wanataka Amani wakati huko Gaza Dozi zinaendelea?!
Ni kitu gani kimebadilika?!
Kwahiyo na mleta uzi pia kahongwa na Wazayuni?!😆😁😆Hezbollah hataki amani mtasubiri sana, wao wamewahonga serikali ya Lebanon ili ifanye cease fire ya mchongo. Ili waendelee na upuuzi wao gaza Iran hawezi kukubali ujinga huo
Unatumia fikra zako weke ushahidi wa Hezbollah wameomba ukiweka najitoa JF na usipoweka nakuweka kwenye list ya mashoga waongo wa JF.Anayeomba ceaze fire ni Hizbullah na Natanyahu kagoma anatembeza kichapo.
Habari nyingine mbaya kwako ni kuwa ICC inatafuta shimo la kutokea regarding Arrest warrant ya Netanyahu.Ujerumani keshabadili upepo.
Kichapo Lebanon kiko palepale