Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Haya mambo unayoyazungumzia yamekuzidi uwezo unayajua masharti ya Hezbollah?
Wewe punguani kweli.
🚨🇮🇱ISRAEL AGREES TO LEBANON CEASEFIRE ‘IN PRINCIPLE’

Netanyahu approved a ceasefire deal with Hezbollah "in principle," pending cabinet approval and resolution of key details, sources confirm.

The US-backed proposal includes a 60-day pause in fighting, but ongoing hostilities and unresolved terms could derail progress. Talks are reportedly advancing but remain fragile.

Source: CNN
 
Wewe punguani kweli.
🚨🇮🇱ISRAEL AGREES TO LEBANON CEASEFIRE ‘IN PRINCIPLE’

Netanyahu approved a ceasefire deal with Hezbollah "in principle," pending cabinet approval and resolution of key details, sources confirm.

The US-backed proposal includes a 60-day pause in fighting, but ongoing hostilities and unresolved terms could derail progress. Talks are reportedly advancing but remain fragile.

Source: CNN
Sasa huoni kama ni neema hiyo Kwa Israel Kwasabab washaichakaza Gaza na Sasa ni Mali Yao?
 
Sasa uharibifu huo uliofanyika Lebanon nani atalipa, hasara iliyosababishwa na magaidi wa Hezbollah nchini Lebanon ni kubwa sana.
 
Sasa uharibifu huo uliofanyika Lebanon nani atalipa, hasara iliyosababishwa na magaidi wa Hezbollah nchini Lebanon ni kubwa sana.
Hamueleweki hoja yenu ni nini waisrael wa JF....waziri mkuu wenu alisema wanaingia Lebanon kuipunguzia Hezbollah military capability Yao na pia watahakikisha raia walokimbia makazi yao kule northern Israel wanarudi na pia watahakikisha wanarudisha Hezbollah nyuma ya ule mto.....waziri mkuu wenu hajatimiza hata moja kati ya hayo....sanasana maroketi yalokuwa yanapigwa kule northern part yamehamia TEL Aviv kabisa🤠🤠🤠....hyu mtu ameshindwa Kila kitu....hapo anataka kukubali ceasefire plan iloletwa na kala zake wa kambo Ili Hezbollah wakiendelea kutwanga vitu waseme wao hawana shida ila Hilo kundi ndo Lina matatizo.....msimamo wa Hezbollah ni uleule....wakazi wa north hawatarudi as long as masikio makubwa Netapaka bdo mamluki wake wapo Gaza.....akitaka amani atoe mishoga yake pale Gaza...full stop
 
Kufyekelewa mbali viongozi wao
Mimi nadhani Hezbola wamelisabishia Taifa la Lebanon hasara kubwa sana pamoja na hiyo taasisi yao ya Kigaidi imepoteza Viongozi wao wengi.

Lebanon ilikuwa na matatizo mengi sana ya kijamii na kiuchumi kabla na kitendo cha Hezbola kuiingiza Lebanon kwenye Vita ni ujinga wa hali ya juu kabisa.
 
Hamueleweki hoja yenu ni nini waisrael wa JF....waziri mkuu wenu alisema wanaingia Lebanon kuipunguzia Hezbollah military capability Yao na pia watahakikisha raia walokimbia makazi yao kule northern Israel wanarudi na pia watahakikisha wanarudisha Hezbollah nyuma ya ule mto.....waziri mkuu wenu hajatimiza hata moja kati ya hayo....sanasana maroketi yalokuwa yanapigwa kule northern part yamehamia TEL Aviv kabisa🤠🤠🤠....hyu mtu ameshindwa Kila kitu....hapo anataka kukubali ceasefire plan iloletwa na kala zake wa kambo Ili Hezbollah wakiendelea kutwanga vitu waseme wao hawana shida ila Hilo kundi ndo Lina matatizo.....msimamo wa Hezbollah ni uleule....wakazi wa north hawatarudi as long as masikio makubwa Netapaka bdo mamluki wake wapo Gaza.....akitaka amani atoe mishoga yake pale Gaza...full stop
Huo ndo ukweli naona isreli amechoka na Vita vya muda mrefu batallian karibu zote zimeshamaliza mzunguko na jama wameshaachoka ..kwa sieren za kila siku
 
Huo ndo ukweli naona isreli amechoka na Vita vya muda mrefu batallian karibu zote zimeshamaliza mzunguko na jama wameshaachoka ..kwa sieren za kila siku
Wahuni ndio wanaamka sasa yeye anachoka saivi? Aache ujinga mwanajeshi hachoki tunamtaka bado aje tu hzb ndio kama wamekula cha Arusha jana walivuruga op 51 ***** mzayuni na chupi UN anataka sizi faya.
 
Lkn sisi atujui zaid wenye kupigana na Israel mwanzo walisema vita yetu itasisima ikiwa gaza vita nimeisha niwao ndio walisema sio sisi tukumbuke vita ni mbinu pengine kuna kitu wameona kwasasa akuna sababu ya vita kuendelea Lebanoni mm naona zipo sababu,, ona sababu izi Hezbullah wamejiandaa zaid kupigana vita ya ardhini,, sasa Adui kaona chini akuwezi kaamua atumie Anga kupiga majengo na watu wake sawa nayy anaweza kupiga miji ya Israel lkn hii vita ya kijinga akuna mshindi wa Anga zaid asala pande zote. Wameoona Lebanon itaalibiwa je akuna njia nyengine ipo adui katoa jesh la ardhin kusin ya Lebanon maana yake nguvu italepekwa GAZA. Ivyo Hezbullah wanataka kwenda Gaza kupigana ktk uwanja kila kitu kishapigwa pale Gaza manake Hezibullah wanaweza kuvaa jaket za Hamas wakapelleka moto kama huu wa sasa kule Telaviv wkt adui apo Gaza anapakupiga akuna majengo yate kashapiga zaid atauwa watoto wamama je umbali kutoka Lebanon adi Gaza aiwezikani kuwa na njia ya chini jibu inawezekana kwatu walioamua watu wenye uchungu wamepoteza Mama zao Baba zao Dadazao wataweza kuchimba iyo njia na dalili zipo ipo njia 1 silaa yasin 105 kuna wkt ilikuwa kimya lkn sasa zimeanza upya kutamalaki na picha tunaona 2 yule mkuu w jesh la Israel alikoswa koswa mala2 moja ilikuwa Hezbullah yapili kombola lilitoka Gaza uyo mkuu w jesh angebaki apo alipokuwa kwa dkk2 tu angekuwa marehemu sasa Hamaa kwasasa wanayo tech ya kujua mkuu w jesh yupo wp apana mm naam ile kazi yq Hezbullah mana tunaona shabaaa zao kwaiyo Hezbullah wanaamia Gaza kuwafukuza mashoga wanaouwa watoto,, kama walivofanya kule kusini kwa Lebanon.
 
Kwenye kufa kila mtu anapigania Maisha take... Hawa Lebanon walikuwa na story kuwa hawata acha kuishambulia Israel Hadi Israel iache kuishambulia Hamas..

***** 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Lkn sisi atujui zaid wenye kupigana na Israel mwanzo walisema vita yetu itasisima ikiwa gaza vita nimeisha niwao ndio walisema sio sisi tukumbuke vita ni mbinu pengine kuna kitu wameona kwasasa akuna sababu ya vita kuendelea Lebanoni mm naona zipo sababu,, ona sababu izi Hezbullah wamejiandaa zaid kupigana vita ya ardhini,, sasa Adui kaona chini akuwezi kaamua atumie Anga kupiga majengo na watu wake sawa nayy anaweza kupiga miji ya Israel lkn hii vita ya kijinga akuna mshindi wa Anga zaid asala pande zote. Wameoona Lebanon itaalibiwa je akuna njia nyengine ipo adui katoa jesh la ardhin kusin ya Lebanon maana yake nguvu italepekwa GAZA. Ivyo Hezbullah wanataka kwenda Gaza kupigana ktk uwanja kila kitu kishapigwa pale Gaza manake Hezibullah wanaweza kuvaa jaket za Hamas wakapelleka moto kama huu wa sasa kule Telaviv wkt adui apo Gaza anapakupiga akuna majengo yate kashapiga zaid atauwa watoto wamama je umbali kutoka Lebanon adi Gaza aiwezikani kuwa na njia ya chini jibu inawezekana kwatu walioamua watu wenye uchungu wamepoteza Mama zao Baba zao Dadazao wataweza kuchimba iyo njia na dalili zipo ipo njia 1 silaa yasin 105 kuna wkt ilikuwa kimya lkn sasa zimeanza upya kutamalaki na picha tunaona 2 yule mkuu w jesh la Israel alikoswa koswa mala2 moja ilikuwa Hezbullah yapili kombola lilitoka Gaza uyo mkuu w jesh angebaki apo alipokuwa kwa dkk2 tu angekuwa marehemu sasa Hamaa kwasasa wanayo tech ya kujua mkuu w jesh yupo wp apana mm naam ile kazi yq Hezbullah mana tunaona shabaaa zao kwaiyo Hezbullah wanaamia Gaza kuwafukuza mashoga wanaouwa watoto,, kama walivofanya kule kusini kwa Lebanon.
Kipigo walichokula Hezbollah ni kikubwa sana... Imagine CCM ndani ya mwezi kuanzia Rais, baraza lote la mawaziri liuwawe
 
Israel inaweza kutangaza kusitisha mapigano nchini Lebanon kufikia kesho na kujiondoa katika ardhi ya Lebanon

Mzozo wa hivi majuzi kati ya Hezbollah na Israel ulikuwa ukimalizika kwa mazungumzo badala ya nguvu za kijeshi Israel imejaribu.

Lengo kuu la Tel Aviv kwa uvamizi wa Lebanon lilikuwa ni kuwarejesha wakimbizi makwao kwa njia za kijeshi.

Wanajeshi walishindwa kuvunja Hezbollah na Waisraeli waliokimbia hawakurudi kaskazini
 
Back
Top Bottom