Lkn sisi atujui zaid wenye kupigana na Israel mwanzo walisema vita yetu itasisima ikiwa gaza vita nimeisha niwao ndio walisema sio sisi tukumbuke vita ni mbinu pengine kuna kitu wameona kwasasa akuna sababu ya vita kuendelea Lebanoni mm naona zipo sababu,, ona sababu izi Hezbullah wamejiandaa zaid kupigana vita ya ardhini,, sasa Adui kaona chini akuwezi kaamua atumie Anga kupiga majengo na watu wake sawa nayy anaweza kupiga miji ya Israel lkn hii vita ya kijinga akuna mshindi wa Anga zaid asala pande zote. Wameoona Lebanon itaalibiwa je akuna njia nyengine ipo adui katoa jesh la ardhin kusin ya Lebanon maana yake nguvu italepekwa GAZA. Ivyo Hezbullah wanataka kwenda Gaza kupigana ktk uwanja kila kitu kishapigwa pale Gaza manake Hezibullah wanaweza kuvaa jaket za Hamas wakapelleka moto kama huu wa sasa kule Telaviv wkt adui apo Gaza anapakupiga akuna majengo yate kashapiga zaid atauwa watoto wamama je umbali kutoka Lebanon adi Gaza aiwezikani kuwa na njia ya chini jibu inawezekana kwatu walioamua watu wenye uchungu wamepoteza Mama zao Baba zao Dadazao wataweza kuchimba iyo njia na dalili zipo ipo njia 1 silaa yasin 105 kuna wkt ilikuwa kimya lkn sasa zimeanza upya kutamalaki na picha tunaona 2 yule mkuu w jesh la Israel alikoswa koswa mala2 moja ilikuwa Hezbullah yapili kombola lilitoka Gaza uyo mkuu w jesh angebaki apo alipokuwa kwa dkk2 tu angekuwa marehemu sasa Hamaa kwasasa wanayo tech ya kujua mkuu w jesh yupo wp apana mm naam ile kazi yq Hezbullah mana tunaona shabaaa zao kwaiyo Hezbullah wanaamia Gaza kuwafukuza mashoga wanaouwa watoto,, kama walivofanya kule kusini kwa Lebanon.