Walinichekesha kuna sehemu kutokea mipaka ya Lebanon ukienda upande wa mashariki kufika mto Letani ni karibu sana l, lakini sio kwa uperation ya vita. Israel walienda kupiga picture kuonyesha eti askari zake wako Letani, time wanarudi wakukutana na wazee wa mjii wakawashughulikia ipasavyo 😁
Israel wanacho fanya ni show off ya Bollywood, sa kama kweli wamefika mto Letani ambao ni 10 km kutoka border si wainge pakalia kwa nguvu ni more safe kwao kuliko kusign mkataba, hizo zote ni propoganda ili kuwaonyesha watu wao jeshi lina nguvu, kumbe siagi 🤣