Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Mkataba wa kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah unakaribia kukamilika

Hapa sio Issue ya Hezbola tena hapa kwenye Issue ya Sheba Farms ni kati ya Serikali ya NCHI ya LEBANON na Serikali ya NCHI ya ISRAEL Hezbola atabakia tu Chama cha Kisiasa cha Kishia na hii Ceasefire ni ya muda wa siku 60 Hezbola akishupaza shingo tena KIPIGO kinaendelea😂🤣
We hivi umeiona hayo mahojiano ya Aimos Hochstein huyo US Envoy, isikilize interview yake na Al Jazeera kweli wamefanya translate kwa kiarabu, lakini unamsikia anacho ongea hakuna cha 60 days ni vita vya kusimamisha moja kwa moja hio 60 days ni kama kuna askari wa israel walio baki kwenye sehemu walizo ingia 2 to 3Km waondoke

We unajua sheria ya Lebanon inasema ni Jeshi na Al Muqawama mpa ardhi ya Lebanon ikombolewe na hapo ndipo mapuppets wa US walipo failed. Hawawezi kuivunja Hezbullah

Lebanon’s security formula of ‘the army, the people and the resistance’ gives Hezbollah legitimacy within the state without the accountability required of a state institution.

 
Zitaje wewe.
😁😆
Naim Qassem.jpg

Hezbola wenyewe wamekimbiana😄😁
 
Jana tu hio mziki ilipigwa na hzb maji wakaitwa mma


🟡 Hezbollah's War Media:

Islamic Resistance Operations

"The Battle of the First Cry"

Sunday, November 24, 2024
69 days since the start of the aggression

Total Operations:
51

Targeted Locations:

Within Lebanese territory: 19
Within the occupied Palestinian territories: 34

Target Depth:

Up to 150 km

Types of Targets:

Military vehicles: 6
Military bases: 9
Aircraft and drones: 1
Military sites and barracks: 5
Cities and settlements: 14
Civilian gatherings: 18

Weapons Used:

Guided missiles: 7
Precision rockets: 4
Short-range surface-to-surface rockets: 1
Long-range surface-to-surface rockets: 38
Air defense systems: 4

🚩 @ResistanceTrench
We nae sio kwa nondo hizo haya hamasi karusha mawe fafanua
 
NETANYAHU mjanja ujue
Ni fala wa mwisho Hezbullah hakuna kibanda cha kutengeneza silaha kikiwacha, na North kapachafua vibaya sana watu wake hawakuhawahi kuishi nje, mpaa nyumba zimalizwe kujengwa ni lini
 
Asala kubwa kama sio asala tudanganye kwanini wanataka vita visimame pande ile ya Hezbullah sio Gaza wanawapenda sana. Msimamo wa Hezbullah vita visimame Gaza na kuondoa uchafu wao pale watu warudi kwenye maisha yao
Tatzo la kuanzia madrasa kusoma ona sasa unaandika kiarabu hueleweki Asala ndo takataka gani?waislamu ni wajinga sana
 
Subutu apige risasi moja labda zile za kurusha hewani 😄 🤣 Hao askari Hezbullah alikuwa anawachia waingie kwenye miji ya mpakani ni km 1 5 to 3km ili awe anapiga hivyo vifaru ndio wamebaki tena wataondoka labda mda wa week mbili tu wote
Kuna mapunguani humu yalikuwa yameshikiwa akili na gaidi Netanyahu yanashingilia tu.

Alisema ataifuta Hezbollah na Hamas na watawanyanganya silaha Hezbollah😅

Kiko wapi???
 
Back
Top Bottom