Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Mkataba wa Lugumi wapelekwa kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama!

Hili la Lugumu limeshihirisha pasi na shaka inachezewa vizuri tu kama mdori
 
Alafu huyu Adadi Rajabu si ndie alikuwa DCI wa Jeshi la Polisi?
Ni kweli kabisa alikuwa DCI ila ukiuliza kwanini kamati husika imepigwa chenga uta ambiwa ni bunge lile lile,ila mh! sijui naona kama iko namna,tusubiri hapa tuta yasikia.
 
hivi kungekuwa na CCM pekee, Magazeti ya Chama na serikali pekee, hakuna cha Mitandao ya kijamii wala uhuru wa kujieleza ungesikia lolote la Ridhwan?
Unajua kuwa Utawala wa Mwalimu wakati unaondoka kuna Wajanja waliichoma na kuunguza Jengo na documents zote muhimu Bank kuu 1984? Utawala wa Mwalimu ni kweli ulijaa uadilifu ila sio haukuwa nae Wizi na Wezi!
Mkuu mtu aliyeiba maisha yake hayajifichi katika jamii Abadan, tofauti mtaziona tuu
 
Huyu Balozi Adadi Rajabu alikuwa DCI wa Jeshi la Polisi,hizi mashine za Finger Print zina uhusiano mkubwa sana na ofisi ya DCI sababu ya aina ya makosa ya jinai ambayo vielelezo vyake hutokana na mashine hizo.Haiwezi kuwa ajabu kuwa ununuaji wa mashine hii uliishirikisha pia ofisi ya huyo bwana,hivyo ni mgao wa 10% basi ulipita kote

Huu mkataba una mengi sana huu,huu ni mtihani kwa JPM na harakati zake.Hakuna ubishi kuwa kwa kupelekwa kwenye kamati ya Adadi "kashfa" hii inaenda kufa kifo cha mende
 
hivi kungekuwa na CCM pekee, Magazeti ya Chama na serikali pekee, hakuna cha Mitandao ya kijamii wala uhuru wa kujieleza ungesikia lolote la Ridhwan?
Unajua kuwa Utawala wa Mwalimu wakati unaondoka kuna Wajanja waliichoma na kuunguza Jengo na documents zote muhimu Bank kuu 1984? Utawala wa Mwalimu ni kweli ulijaa uadilifu ila sio haukuwa nae Wizi na Wezi!
Nikweli kabisa mkuu nakubaliana nawe,ila kwa uhuru wa vyombo vya habari tulio nao kwa sasa tungeweza kuzipata habari za watoto wake,ni hilo tu mkuu
 
Hii kali aliyeomba mkataba amenyimwa asiyeomba huo mkataba amepelekewa. Kwa muda wa wiki nzima Bwana Hilary Aeshy alikuwa anahangaika walau autie machoni huo mkataba lakini wapi!
Kesi ya nyani hawezi kupelekewa chui hata siku moja italeta tabu.
 
Yangu macho tu. Kama kweli Magu weww ni mzalendo, ingilia na hili tuone.
 
Ooooh....Yesu Kristo wa Nazareth...kwa nn tu usishuke kwa dakika angalau tano kuja kutuokoa watanzania na hii laana ya dunia inayotuandama kila kukicha...shuka bwana shuka....maskini watanzania tunataabishwa na kikundi cha watu wachache nchini mwetu...shuka bwana tuanakuomba shuka...
 
Hamruhusiwi kuuliza wala kushauri. Kazi mliyonayo watanzania kwa sasa ni kushangilia tu. Magufuli yeye ndo anajua nn afanye na nn asifanye. Piga makofi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Damn
..
 
sakata hili likizimwa kiaina ndipo tutaamini kuwa JPM anagwaya JMK, hasa anapoona mshale unaelekezwa magogoni ya awamu ya nne. kumbe kuna majipu yanahitaji chain-saw kuyapasua!
 
Kwani huyo Adadi hajitaki. Aangalie Magu yu kimya anaangalia tu mpira uendavyo.Hapo dakika ya 90 ndio utajua kuwa hana urafiki wakudumu.
 
Back
Top Bottom