Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa alikuwa DCI ila ukiuliza kwanini kamati husika imepigwa chenga uta ambiwa ni bunge lile lile,ila mh! sijui naona kama iko namna,tusubiri hapa tuta yasikia.Alafu huyu Adadi Rajabu si ndie alikuwa DCI wa Jeshi la Polisi?
Mkuu mtu aliyeiba maisha yake hayajifichi katika jamii Abadan, tofauti mtaziona tuuhivi kungekuwa na CCM pekee, Magazeti ya Chama na serikali pekee, hakuna cha Mitandao ya kijamii wala uhuru wa kujieleza ungesikia lolote la Ridhwan?
Unajua kuwa Utawala wa Mwalimu wakati unaondoka kuna Wajanja waliichoma na kuunguza Jengo na documents zote muhimu Bank kuu 1984? Utawala wa Mwalimu ni kweli ulijaa uadilifu ila sio haukuwa nae Wizi na Wezi!
Nikweli kabisa mkuu nakubaliana nawe,ila kwa uhuru wa vyombo vya habari tulio nao kwa sasa tungeweza kuzipata habari za watoto wake,ni hilo tu mkuuhivi kungekuwa na CCM pekee, Magazeti ya Chama na serikali pekee, hakuna cha Mitandao ya kijamii wala uhuru wa kujieleza ungesikia lolote la Ridhwan?
Unajua kuwa Utawala wa Mwalimu wakati unaondoka kuna Wajanja waliichoma na kuunguza Jengo na documents zote muhimu Bank kuu 1984? Utawala wa Mwalimu ni kweli ulijaa uadilifu ila sio haukuwa nae Wizi na Wezi!
Kesi ya nyani hawezi kupelekewa chui hata siku moja italeta tabu.Hii kali aliyeomba mkataba amenyimwa asiyeomba huo mkataba amepelekewa. Kwa muda wa wiki nzima Bwana Hilary Aeshy alikuwa anahangaika walau autie machoni huo mkataba lakini wapi!
Haya ni maigizo ya aina yakeKesi ya nyani hawezi kupelekewa chui hata siku moja italeta tabu.
Na yana harufu mbaya.Haya ni maigizo ya aina yake
Hivi kwanini mnadhani watanganyika wote ni maBWEGE,,!!Tuwe na subira. Hapana chezea serikali ya Magufuli
Anatakiwa kujiondoa kwenye kamati kwa muda mpaka jambo hili liishe kwani anamasilahi nalo.Hoja yako ipo wapi sasa? Kwani ni makosa kwa DCI kuwa mbunge?
Hamruhusiwi kuuliza wala kushauri. Kazi mliyonayo watanzania kwa sasa ni kushangilia tu. Magufuli yeye ndo anajua nn afanye na nn asifanye. Piga makofi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Hivi kwanini mnadhani watanganyika wote ni maBWEGE,,!!
DamnHamruhusiwi kuuliza wala kushauri. Kazi mliyonayo watanzania kwa sasa ni kushangilia tu. Magufuli yeye ndo anajua nn afanye na nn asifanye. Piga makofi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]