bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Tutaona mengi raundi hii ila hawa jamaa wamesaini mkataba mapema sana sijui hata umepitiwa saa ngapi umesaini mkataba Alhamisi Ijumaa unavaa Nembo za Mdhamini kwanini wafanye haraka hivyo?Mkuu mbona nilisikia ni tetesi..imeshakuwa rasmi?
Inahitaji busara sana kuwazua hili jambo.