kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Visit Tanzania ni tangazo ambalo linapaswa kufanywa na idara ya utalii na tanapa ili kuvutia wageni kuja Tanzania kuona vivutio vyetu. Matangazo kama haya huwaga na bajeti yake tena kubwa TU kwenye sekta husika.
Je, mkataba unamruhusu sportpesa kuichagulia Yanga nini Cha kuweka kwenye jezi yake zaidi ya maandishi yake ya sportpesa inapotokea tukio kama hili?
Je, udhamini wa sportpesa umezingatia gharama za timu kushiriki mashindano ya caf?
Je, sportpesa inapata hasara gani kama Yanga wakivaa jezi yenye maandishi ya Hailer kwenye michuano ya CAF tu? na Je, kuvaa visit Tanzania kutafidiaje hasara hasara hiyo (kama ipo)?
Je, mkataba una kifungu kinachoruhusu au kukataza sportpesa kubuni nini Yanga ivae kama ikitokea hali kama hii ya CAF kukataa jezi za timu zenye wadhamini wasiowataka?
Hii ni mara ya kwanza kutokea kwenye Soka letu lazima tuijadili kwa kina na usahihi ili iwe reference kwa kesi kama hizi huko mbeleni.
Je, mkataba unamruhusu sportpesa kuichagulia Yanga nini Cha kuweka kwenye jezi yake zaidi ya maandishi yake ya sportpesa inapotokea tukio kama hili?
Je, udhamini wa sportpesa umezingatia gharama za timu kushiriki mashindano ya caf?
Je, sportpesa inapata hasara gani kama Yanga wakivaa jezi yenye maandishi ya Hailer kwenye michuano ya CAF tu? na Je, kuvaa visit Tanzania kutafidiaje hasara hasara hiyo (kama ipo)?
Je, mkataba una kifungu kinachoruhusu au kukataza sportpesa kubuni nini Yanga ivae kama ikitokea hali kama hii ya CAF kukataa jezi za timu zenye wadhamini wasiowataka?
Hii ni mara ya kwanza kutokea kwenye Soka letu lazima tuijadili kwa kina na usahihi ili iwe reference kwa kesi kama hizi huko mbeleni.