Visit Tanzania ni tangazo ambalo linapaswa kufanywa na idara ya utalii na tanapa kuvutia wageni kuja Tanzania kuona vivutio vyetu. Matangazo kama huwa haya Yana bajeti yake tena kubwa TU.
Je, mkataba unamruhusu sportpesa kuichagulia Yanga nini Cha kuweka kwenye jezi yake zaidi ya maandishi yake ya sportpesa?
Je, udhamini wa sportpesa umezingatia gharama za timu kushiriki mashindano ya cat?
Je, sportpesa inapata hasara gani kama Yanga wakivaa jezi yenye maandishi ya Hailer kwenye michuano ya CAF tu?
Je, mkataba una kifungu kinachoruhusu au kukataza sportpesa kubuni nini Yanga ivae kama ikitokea hali kama hii ya CAF kukataa jezi za timu zenye wadhamini wasiowataka?
Hii ni mara ya kwanza kutokea kwenye Soka letu lazima tuijadili kwa kina na usahihi ili iwe reference kwa kesi kama hizi huko mbeleni.
Nilijua unaweka huo Mkataba, kumbe ni blah blah tu[emoji2097]