Caf kuanzia makundi wana mdhamini wao ambae ni kampuni ya betting ambayo ni 1×bet sasa ukivaa sportpesa unachanganya madawa maana yule ni mshindani wa 1x bet, sp inatoa bonas kama yanga wakifanya vzr kwenye mashindano haya sasa mtu anaekupa bonas, mshahara, usafiri chakula nk nk leo unaendaje kuvaa mdhamini mwingine.
Ndio, sp wanawapangia yanga nani awe mbadala wao kwenye hatua hii ya makundi kwa kuwa fedha zitaendelea kutolewa na sp kwani visit tz hawatoi hata buku, sp wana umiliki wa kifua cha yanga hadi 25,
Shida walikataa kuvaa visit tz kwamba wataonekana wameiga simba,
Kumbuka jezi za haier ziko mtaani na zimeuzwa na pembeni kuna nembo ya yanga basi tayari soko la sp lishaaribika...
Feisal anaambiwa aheshimu mkataba wakati club yenyewe haieshimu mikataba ya wenzao