Mkataba wa sportpesa na Yanga unaruhusu haya?

Mkataba wa sportpesa na Yanga unaruhusu haya?

Maswali yako haya yoooote yanajibiwa na jibu moja toka kwenye swali hili:

Kwanini Yanga waliomba ridhaa ya Sportspesa juu ya kuweka logo nyingine kwenye jezi katika mashindano ya kimataifa hatua ya makundi?
Umefunga uzi bro
 
Endeleeni kuwa wabishi, mtarudi kucheza vifua wazi.

Kwa maswali yako hayo utakuwa mgeni kwenye masuala ya mpira. Hatukudhani mmeathirika hivi kisaikolojia kwa kutokuwa kwenye makundi toka enzi Nyerere akiwa hai.

Kama hamtaki kutangaza utalii, wekeni matangazo ya kuwaambia watu wavae barakoa maana bado mko nyuma sana.
Mkataba hauna kipengele Cha mdhamiini kuuweza kutufungisha ndoa na mume mwingine (kama tanapa) bila ridhaa yetu. Pili, gharama za timu kushiriki mashindano ya CAF hazikujadiliwa kwenye mkataba, tatu Yanga bado inaendelea kuitangaza sportpesa kwenye website, Instagram, Yanga App, jezi za Yanga princess, mabasi ya Yanga na jezi zinazovaliwa na wanachama na mashabiki, nne, Hailer sio kampuni ya michezo ya kubahatisha hivyo hakuna mgongano wa kibiashara, Tano, caf ndiye waliiamuru Yanga isivae logo ya sportpesa, sita, gharama za kushiriki mashindano ya CAF ni kubwa mno.

Kelele hizi zinachangia katika kuihujumu Yanga kwenye mashindano ya CAF, hayana maana yoyote kwa timu Wala kwa mpira. Udhamini ni kama koti TU likikubana unaweza kulivua.
 
Visit Tanzania Ina uhusiano gani na sportpesa? Hatujali kama sportpesa wangesema huweke picha ya mshindi wa sportpesa jackpot, lakini sio kitu kingine. Kesho watakwambia tuweke picha ya mo au pkipiki ya boxer, tutakubali?
Caf kuanzia makundi wana mdhamini wao ambae ni kampuni ya betting ambayo ni 1×bet sasa ukivaa sportpesa unachanganya madawa maana yule ni mshindani wa 1x bet, sp inatoa bonas kama yanga wakifanya vzr kwenye mashindano haya sasa mtu anaekupa bonas, mshahara, usafiri chakula nk nk leo unaendaje kuvaa mdhamini mwingine.
Ndio, sp wanawapangia yanga nani awe mbadala wao kwenye hatua hii ya makundi kwa kuwa fedha zitaendelea kutolewa na sp kwani visit tz hawatoi hata buku, sp wana umiliki wa kifua cha yanga hadi 25,
Shida walikataa kuvaa visit tz kwamba wataonekana wameiga simba,
Kumbuka jezi za haier ziko mtaani na zimeuzwa na pembeni kuna nembo ya yanga basi tayari soko la sp lishaaribika...
Feisal anaambiwa aheshimu mkataba wakati club yenyewe haieshimu mikataba ya wenzao
 
Yaani Ngoma mnaipiga Wenyewe mauno mcheze wenyewe
Sisi Inatuhusu nini
Yaani Mpira wa Bongo umejaa Ushabiki kuliko Uhalisia Kils mmojs Anatetea Yake Hatakama Hayupo sawa na Anajua hilo
 
Yale manyonyo ya yanga ni haki ya sportpesa

Waliingia mkataba mwaka jana kuitangaza tanzania kama sikosei lakini hawa kufanikiwa kutoboa...

Mwaka huu wamekuja na kihoja chao
 
Caf kuanzia makundi wana mdhamini wao ambae ni kampuni ya betting ambayo ni 1×bet sasa ukivaa sportpesa unachanganya madawa maana yule ni mshindani wa 1x bet, sp inatoa bonas kama yanga wakifanya vzr kwenye mashindano haya sasa mtu anaekupa bonas, mshahara, usafiri chakula nk nk leo unaendaje kuvaa mdhamini mwingine.
Ndio, sp wanawapangia yanga nani awe mbadala wao kwenye hatua hii ya makundi kwa kuwa fedha zitaendelea kutolewa na sp kwani visit tz hawatoi hata buku, sp wana umiliki wa kifua cha yanga hadi 25,
Shida walikataa kuvaa visit tz kwamba wataonekana wameiga simba,
Kumbuka jezi za haier ziko mtaani na zimeuzwa na pembeni kuna nembo ya yanga basi tayari soko la sp lishaaribika...
Feisal anaambiwa aheshimu mkataba wakati club yenyewe haieshimu mikataba ya wenzao
Yanga bado inaitangaza sp kipindi hiki. Sp angeeleweka kama Yanga ndio iliyokataa kuvaa SP kwenye caf tonaments. Pili ingekuwa na hoja kama Hailer ingekuwa kampuni ya kubet, ingeeleweka kama sp ingebeba gharama za timu kusafiri na kuhudumia timu kwenye mashindano ya CAF. Hiyo bonus na pesa za CAF zote zinakuja mwisho wa mashindano (to late to help the team). Sp ingeeleweka pia kama ingeamuru jezi zibaki wazi kifuani badala ya kulazimisha wavae visit tz. Siku nyingine watakulazimisha uvae jezi yenye picha ya kondom ya kike kama kampeni ya kuzuia magonjwa.
 
Mwenye haki ni sportpesa kijana Yanga wamepuyanga wamerudia yale yale waliomlalamikia Feisal Salum.
Hakuna uhusiano kati ya kilichofanyika na alichofanya Fei Toto. Unademka tu. Yanga haijaachana na sp, ligi inaendelea na hata kesho kutwa Kuna mechi za ligi na FA Yanga itaendelea na mdhamiini wake mkuu kifuani. Hii ni special operation ya mechi tatu TU yenye Lengo la kufanikisha. Hili ni fundisho kwa sp na yanga wakati wa kuhuisha mkataba wao. Mkataba lazima useme itakuwaje kama timu ikiingia hatua ya makundi kuhusu gharama na uvaaji wa jezi.
 
Rudisheni B 12 za sportpesa..muandike mnachotaka..
Yaani watu watoe pesa kulipia tangazo kwa misimu mitatu alafu..kihuni muwape watu wengine haki hiyo katikati ya mkataba..
Vipi watu wakiacha kuvaa jezi zenye sportpesa wakaanza kuvaa jezi hizi mpya kwenye mechi za ligi kuu (wanayanga wanasema Ni nzuri kuliko za ligi kuu)
Uoni yanga mnafifisha malengo ya sportpesa kuonekana..
 
Nukuu kifungu na utuambie kifua cha Simba nani ana hatumiliki yake
Kifua cha Simba ni mali halali ya M-Bet, Kifua cha Yanga pamoja na vifua visaidizi (cha Namungo na cha Singida Big Stars) ni mali halali ya Sportpesa.
 
Hakuna uhusiano kati ya kilichofanyika na alichofanya Fei Toto. Unademka tu. Yanga haijaachana na sp, ligi inaendelea na hata kesho kutwa Kuna mechi za ligi na FA Yanga itaendelea na mdhamiini wake mkuu kifuani. Hii ni special operation ya mechi tatu TU yenye Lengo la kufanikisha. Hili ni fundisho kwa sp na yanga wakati wa kuhuisha mkataba wao. Mkataba lazima useme itakuwaje kama timu ikiingia hatua ya makundi kuhusu gharama na uvaaji wa jezi.
Mkuu kavulata mimi nakuheshimu sana mtani wangu, ila katika andiko lako unaonesha wasiwasi wako juu ya vipengele vya mkataba wenu na Sportpesa.

Hasa kwenye kipengele cha nini kitafanyika kwenye eneo lao la kuweka tangazo endapo kanuni za mashindano hazitaruhusu wao kukaa hapo.

Unataka kusema mlisaini mkataba bila kuweka kipengele hiki sawa sawia ?

Je, katika mazingira hayo, sisi "watesi wenu" tukiutumia mwanya huu kusema kwamba mlisaini mkataba bila kuuelewa (wote) tutakua tunawaonea ?
 
Niwie radhi ndugu mtoa mada kama utakwazika lakini kwa namna ulivyoandika hoja zako....na namna unavyojibu ni dhahiri kuwa huna ufahamu na masuala ya mikataba kama hii........

Pengine unasukumwa na hisia za upenzi Kwa klabu yako pendwa........

Kwa mujibu wa mkataba wa Yanga na sportpesa ni kuwa wao ndio wenye haki ya kukaa kifuani mwa jezi za Yanga mpaka pale mkataba wao utakapomalizika........

Ikitokezea kuwa kuwa kuna namna ambayo sportpesa hawawezi kukaa kwenye kifua Cha Yanga kama mdhamini kutokana na kanuni za mashindano husika basi Yanga watalazimika kuomba ridhaa ya sportpesa ili kuweka mbadala wake na sio vinginevyo........

Ndio maana inavyosemekana klabu ilikwenda kuomba ridhaa ya sportpesa juu ya hilo..........

Lakini kwa namna mambo yanavyokwenda ni kwamba Yanga hawakufikia muafaka na Yanga wameamua vinginevyo...........

Mpaka sasa inawezekana sportpesa wamepata hasara kwa kuwa jezi zimeshauzwa na zinavaliwa kinyume na madhumuni ya mdhamini mkuu..........lakini nadhani watatafuta namna ya kuyaongea na kuyamaliza........
 
Maswali yako haya yoooote yanajibiwa na jibu moja toka kwenye swali hili:

Kwanini Yanga waliomba ridhaa ya Sportspesa juu ya kuweka logo nyingine kwenye jezi katika mashindano ya kimataifa hatua ya makundi?
Safi, hii inaitwa kukabia juu.
Halafu wabongo tunakesha kuangalia mipira ya Ulaya but hatujifunzi. Lile eneo Sp wamelinunua kama Sportfy walivyonunua la Barca, ndiyo maana Barca washawahi kuvaa neno Shakira na OVO (label ya Drake) siku mbili tofauti kwa maelekezo ya Spotify sababu wao ndy owner wa kifua cha Barca. Sasa uto wamekubali kuolewa then wanataka kulala na chupi.
 
Yanga bado inaitangaza sp kipindi hiki. Sp angeeleweka kama Yanga ndio iliyokataa kuvaa SP kwenye caf tonaments. Pili ingekuwa na hoja kama Hailer ingekuwa kampuni ya kubet, ingeeleweka kama sp ingebeba gharama za timu kusafiri na kuhudumia timu kwenye mashindano ya CAF. Hiyo bonus na pesa za CAF zote zinakuja mwisho wa mashindano (to late to help the team). Sp ingeeleweka pia kama ingeamuru jezi zibaki wazi kifuani badala ya kulazimisha wavae visit tz. Siku nyingine watakulazimisha uvae jezi yenye picha ya kondom ya kike kama kampeni ya kuzuia magonjwa.
Mwamba ambapo huelewi ni wapi lkn, sp wapo kifuani mwa yanga hadi 2025 iwe ni masika au kiangazi hivyo yanga wakitaka kuweka chochote kifuani lazima wawaombe sp ila sp wanaweza kuwaelekeza yanga nn cha kuvaa full stop na hayo maelekezo ni kwa mujibu wa mkataba
 
Hakuna uhusiano kati ya kilichofanyika na alichofanya Fei Toto. Unademka tu. Yanga haijaachana na sp, ligi inaendelea na hata kesho kutwa Kuna mechi za ligi na FA Yanga itaendelea na mdhamiini wake mkuu kifuani. Hii ni special operation ya mechi tatu TU yenye Lengo la kufanikisha. Hili ni fundisho kwa sp na yanga wakati wa kuhuisha mkataba wao. Mkataba lazima useme itakuwaje kama timu ikiingia hatua ya makundi kuhusu gharama na uvaaji wa jezi.
Ona huyu, mkataba ni mpaka 2025 mzee kwenye mashindano yoyote yale ambayo yanga watashiriki hukuona nbc, mapinduzi, fa na round ya awali ya caf ambazo yote yanga wametangaza sp kifuani lkn sasa tunapoingia makundi hapo ndio kimbembe kwamba hakuna timu yoyote kuvaa betting company isipokuwa kama tangu mwanzo unaitangaza 1xbet maana wao ndio wanadhamini mashindano haya kuanzia makundi kwa maana hiyo basi kama mnatangaza sp au m bet inabidi mrudi kwa mdhamini wenu awaamulie nn cha kuvaa pengine akiamua mvae plain nayo ni sawa tu, ila sasa sp mara nyingi hupendekeza visit tz ndio ionekane mbele
 
Sawa, lakini anaruhusiwa kuichagulia Yanga nini Cha kuandika kifuani? Kwanini asiishie kusema kifua kiwe wazi ili asione chochote pale. Yaani huko ni sawa na kumchagulia mkeo mume wa kulala nae chumbani wakati ukiwa safarini. Je, mume anayo mamlaka hayo kwa mkewe?


Kaka naona unajipa shida bure mkataba ameingia yanga na sportpesa viongoz wa yanga na sportpesa wanajua nini kimo kwenye mkataba saaa tukianza kupiga ramli na kujisemea nan ana haki gani tutakuwa
Tumepuyanga

Ukisikiliza pande mbili utaona sportpesa amepinga mdhamin mpya kukaa kifuan na yanga walidai waliomba na jamaa wakaridhia na sasa hv yanga wanasema wako mezan na sportpesa kuliongelea hilo swala

Hatujasikia yanga wakikana kuwa sportpesa hawana haki ya kuwachagulia yanga ila tumesikia yanga wanasema jamaa walikubali
Yanga walipaswa kuweka clause ya kuwapa uhuru wa kuchagua mdhamin kwenyw mashindano ya CAF

Sasa wewe ukianza kutengeneza sheria zako itajipa shida bure mkuu

By the way tukirudi swala la
Mume na mke kama kulikuwa na makubaliano kuwa akisafiri mume mke alale sebulen mke asipolala amevunja makubaliano.. haijalishi ni sawa ama sio sawa kikubwq makubaliano yapo kisheria
 
Nachekaga af naacha nijionee,
Haer lzma tumvae mtake msitake.
 
Back
Top Bottom