Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Unaashangaa tarimba, kuna siku wote na Simba waliambiwa waandike 150*05Upo sahihi pale hata akisema waandike "Tarimba" ni sawa tu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaashangaa tarimba, kuna siku wote na Simba waliambiwa waandike 150*05Upo sahihi pale hata akisema waandike "Tarimba" ni sawa tu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Bango lipo wazi kampuni ya Pespsi waliwaomba waweke tangazo lao. kazi ya mwenye bago ilikuwa kujibu wekeni au msiweke, lakini sio kuwachagulia bidhaa ya kuweka pale. Tatizo kubwa la sp ni kuwaambia wekeni visit tanzania bila hata ya mazungumzo na wadau wa utalii wenyewe kuona kama wanakubali au la, je yanga ina sifa ya kutangaza utalii au laa. Mfano, Simba walikamatwa wakifanya mambo ya kichawi uwanjani (unsporting) kule South Africa, je wanayo sifa na hadhi ya kuvaa visit Tanzania kuwa mabalozi wa utalii? Kuwa balozi wa utalii kuna sifa na vigezo vyake ambavyo ni lazima viwekwe na kufanyiwa tathimini na wadau wenyewe wa utalii. Sio kila mtu anastahili kuvaa visit Tanzania. Hata Rwanda walichagua Arsenal kuvaa visit Rwanda, kwanini hawakuweka kwa crystal Palace?Maswali yako haya yoooote yanajibiwa na jibu moja toka kwenye swali hili:
Kwanini Yanga waliomba ridhaa ya Sportspesa juu ya kuweka logo nyingine kwenye jezi katika mashindano ya kimataifa hatua ya makundi?
Jamaa kuna vitu vingi huvielewi kwenye mambo ya mikataba, nami nikuulize wakati yanga na sp wanaingia mikataba walijua yanga itafika makundi ili kwamba kama ikifika makundi basi kwa kipindi hicho mishahara isilipwe, no bonas no nauli za kwenda tunis nk nk au mwezi huu sp isiwalipe mishahara wachezaji kwa kuwa timu iko kwenye mashindano ya caf?Bonus haizingatii gharama za kushiriki mashindano. Timu inahitaji kukaa siku 6 kule Tunis kabla ya mechi kama mbinu ya vita, sp inachangia sh. ngapi kwenye gharama ya namna hii? Wapenzi na mashabiki wanaweza kuichukia sp milele kama itaonekana kama vile inataka kuihujumu Yanga kwa kushirikiana na Simba kuwatoa mchezoni.
Kwahiyo Sp ndo analipa mishahara pale Yanga?Jamaa kuna vitu vingi huvielewi kwenye mambo ya mikataba, nami nikuulize wakati yanga na sp wanaingia mikataba walijua yanga itafika makundi ili kwamba kama ikifika makundi basi kwa kipindi hicho mishahara isilipwe, no bonas no nauli za kwenda tunis nk nk au mwezi huu sp isiwalipe mishahara wachezaji kwa kuwa timu iko kwenye mashindano ya caf?
Inaonekana kama vile sp hawakufikiria kama Yanga inaweza kushiriki makundi. Ndio maana ya hiki unachokiona Leo, mkataba uko kimya kuhusu nini lifanyike kama kama kama, ndiyo maana sp inatoa maagizo ya upande mmoja kuhusu nn kiandikwe pale kwenye Jez. Kuwa balozi wa utalii Kuna mipango yake, vigezo vyake na bajeti yake, sio matamko TU ya kujikomba, Nani kakwambia kuwa Yanga imeacha kuitangaza sp wakati wa mashindano ya CAF? Kuna vitengo vingi vyenye uhusiano na Yanga bado vinapiga mzingo wa kuitangaza sp, wadau wa Yanga bado wanaendelea ku bet na sportpesa. Hata hivyo ni nani kakwambia sp ndiyo inalipa mishahara na safari Yanga?Jamaa kuna vitu vingi huvielewi kwenye mambo ya mikataba, nami nikuulize wakati yanga na sp wanaingia mikataba walijua yanga itafika makundi ili kwamba kama ikifika makundi basi kwa kipindi hicho mishahara isilipwe, no bonas no nauli za kwenda tunis nk nk au mwezi huu sp isiwalipe mishahara wachezaji kwa kuwa timu iko kwenye mashindano ya caf?
We unafukiri ni GSM😀😀Kwahiyo Sp ndo analipa mishahara pale Yanga?
Analipa sh ngapi kwa mwezi?We unafukiri ni GSM😀😀
Yanga wamesha chukua hela za Haier na jezi wameuza bilioni Fulani hivi watafanya Nini?Mwenye haki ni sportpesa kijana Yanga wamepuyanga wamerudia yale yale waliomlalamikia Feisal Salum.
Jumlisha mishahara yote ya wachezaji usiisahau milioni 4 ya fei toto plus bonas timu ukifanya vzr, utapata jumla kwa mweziAnalipa sh ngapi kwa mwezi?
Eti eeh, tukutane next chapterYanga wamesha chukua hela za Haier na jezi wameuza bilioni Fulani hivi watafanya Nini?
Mkataba wa Sportpesa unakuwa valid tu Kama nchi au waandaaji wa michuano wamekubali nukta
Sasa SI waende wanakotaka.Kuna wale watu hubishana bila kusikiliza hoja za upande wa pili. Kwa hiyo anakuwa haelewi hata maelezo unayompa. Ndio mashabiki wa Yanga
Hakuna mjinga anayeweza kutoa mwanya wa watu kutumia bajeti kwa maslahi yao... Visit Tz sio mdhamin wa yanga na sportpesa hawezi kuilazimisha yanga kuvaa nembo hiyo...Endeleeni kuwa wabishi, mtarudi kucheza vifua wazi.
Kwa maswali yako hayo utakuwa mgeni kwenye masuala ya mpira. Hatukudhani mmeathirika hivi kisaikolojia kwa kutokuwa kwenye makundi toka enzi Nyerere akiwa hai.
Kama hamtaki kutangaza utalii, wekeni matangazo ya kuwaambia watu wavae barakoa maana bado mko nyuma sana.
Kwa nini kisingeendelea kubaki wazi kama "visit Tanzania" haikukubalika!?Kwakuwa kifua kitakuwa wazi kwasababu za CAF. Sportpesa hawana mamlaka ya kuwaamuru Yanga wavae visit Tanzania. Tanapa ndio wanaoweza kuomba Yanga wavae visit Tanzania.