Mkataba wa sportpesa na Yanga unaruhusu haya?


Nilijua unaweka huo Mkataba, kumbe ni blah blah tu[emoji2097]
 
Visit Tanzania Ina uhusiano gani na sportpesa? Hatujali kama sportpesa wangesema huweke picha ya mshindi wa sportpesa jackpot, lakini sio kitu kingine. Kesho watakwambia tuweke picha ya mo au pkipiki ya boxer, tutakubali?

Sportpesa ndio wanaamua ilo liwekwe hapo. Wao ndio wata collide na visit Tanzania kutengeneza resolution.
 
Kweli Mkuu Kavulata lazima tupate kitu kinaitwa Precedent kwenye sheria.
 
Sports pesa wanachekesha, yaani ni sawa umpangishe mtu kwenye nyumba yako halafu umchagulie mtu wa kuishi nae hata kama ni jambazi
 
Sportpesa ndiye mwenye Hatimiliki na kifua cha Yanga ( mdhamini mkuu).
Si yanga tena, umiliki wake ulikata pale alipo chukua Bil 12.
Haki yake Ina mipaka.pale anapozuiwa na waandaaji wa mashindano.hakuna kipengele kinachomzuia Yanga kumuweka mdhamini mwingine.asiye mshindani wa Sportpesa pesa.
 
NARUDIA YANGA HAWANA KOSA KATIKA TUKIO HILI.
 
Una kichwa kigumu sana.
 
Yanga wanaandika wanachotaka kwenye kifua Cha jezi zao kwa mechi 3 TU za mechi za makundi baaaaasi!! Usiwe zuzu. Caf ndio iliyoiondoa sp kwenye vifua vya Yanga, wapeleke kesi caf. Lakini sp hawana ubavu wa kuiamuru Yanga iandike visit Tanzania kwenye Jez zao. Au sp iimevuta pesa kutoka tanapa? Wacha Royal tour na jitihada nyingine za bodi ya utalii vilete wageni Tanzania.
 
Yanga waliuelewa mkataba lakini Ni loop hole kwa Yanga kukosekana kipengele hi cho kweñye mkataba. Ndio maana Yanga wananufaika kwa mapungufu hayo
 
Kama hiyo jez ingeandikwa visit Tanzania sp wangeizuiaje hasra iliyoletwa na Hailer kwenye jez?
 
Mkataba wa Barca na sportfy una kipengele hicho, lakini huu wa sp hauna kifungu hicho. Mambo hayawezi kuwa automatic au kwa assumptions.
 
Wale mikia fc wamefeli kuvuruga Yanga kupitia Mzanzibari sasa wameibukia kwenye matukio naamini hili nalo litapita, Yanga itabaki imara nyuma mwiko
 
wangese nyie iyo visit tz ya kazi gani timu yenyewe ni kiwakilish tosha kama mnataka visit kawekeni man city huko ulaya mbwa nyie
 
Bonus haizingatii gharama za kushiriki mashindano. Timu inahitaji kukaa siku 6 kule Tunis kabla ya mechi kama mbinu ya vita, sp inachangia sh. ngapi kwenye gharama ya namna hii? Wapenzi na mashabiki wanaweza kuichukia sp milele kama itaonekana kama vile inataka kuihujumu Yanga kwa kushirikiana na Simba kuwatoa mchezoni.
 
Upo sahihi pale hata akisema waandike "Tarimba" ni sawa tu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tumieni akili kuwaza. Walioikkataa sp ni CAF sio Yanga. Na bahati mbaya hawataki mtu, biashara au kitu chochote chenye uhusiano na betting (kamali) kwenye Jez ya Yanga wakati wa mashindano yake. Bahati mbaya sana mkataba wa sp hauna nguvu kisheria ya kuiamuru Yanga ivae nini mbadala wa sp na bidhaa zake zote. Sportpesa inawezakuishia kusema msiweke chochote kifuani lakini sio kuiamrisha Yanga ivae visit Tanzania, mo, babra, tarimba, Bashite au kitu chochote kisheria. Hivyohivyo, sp Haina jukumu la kimkataba la kuisaidia Yanga kumudu gharama za kushiriki mashindano ya CAF, inatoa bonus (bahashish) TU kwa kufika makundi au robo, nusu au final.

Sportpesa iwaonbe radhi Yanga kwa kuwapotezea focus Yao kuelekea mashindano yaliyoko mbele yake kuhangaika kujibu hoja yake dhaifu,
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…