Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Mke wako hawez kuwa mwizi kwa kutumia au kutoa pesa yako, ile ni halali yake na usiporuhusu huo uhalali basi jua atazitafuta kwingine na usirudi hapa kulalama, ila we kama bado ni mchanga kwenye ndoa hayo hauwezi kuyajua.
Sijui watu hawaelewi maana ya mke?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli, zipo familia umlipa mshahara mke wake kila mwezi pasipokuuliza yeye(mke) amepata nini kwenye biashara yake.
Hii kesi ukiisoma vizuri haihusu hicho unachoongea. Jifunze kutofautisha hela ambazo mume anampa mkewe mkewe na hela ambazo mke anavizia simu ya mume akijipindua tu inakula kwake.
 
Achana na ndoa Za watu wewe
 
Mimi Kuna siku jirani yangu alikuwa anapigana na mke wake, nikaenda kuamua aiseeh bahati mbaya nikagonga TV yao ikandondoka na kupasuka kioo.

Ugomvi wao ukaishia hapo, wakaungana kuanza kunidai TV yao tokea hapo Huwa siamua kesi za mme na mke
 
Mimi Kuna siku jirani yangu alikuwa anapigana na mke wake, nikaenda kuamua aiseeh bahati mbaya nikagonga TV yao ikandondoka na kupasuka kioo.

Ugomvi wao ukaishia hapo, wakaungana kuanza kunidai TV yao tokea hapo Huwa siamua kesi za mme na mke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Hii kesi ukiisoma vizuri haihusu hicho unachoongea. Jifunze kutofautisha hela ambazo mume anampa mkewe mkewe na hela ambazo mke anavizia simu ya mume akijipindua tu inakula kwake.
Mke hawezi kuwa mwizi kwa mme wake, anachochukua ni halali yake, sema huyo au wewe bado ni mvulana akikua ataelewa ninachoongea.Na anatakiwa asimuulize chochote.
 
Pumbavu, Jinga sana wewe.
Unaujua umri wangu we punguani?
Mkuu hawa jamaa sijui wanafikiria anticlockwise?!!!!
Yaani kabisa wanaretea wizi wa namna hii, rena jamaa anasema amekuwa akipoteza hela mara kwa mara bila kuelewa sawasawa? Huyo mke ni tabia yake na ni mwizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…