Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Huyu jamaa yako mwambie atafute pesa kuchukuliwa buku kila siku ndio anataka kumuacha?
Na wewe ni mchonganishi unashauri vipi wapenzi waachane?
Hata jambazi alianza kuiba kwao kipande cha nyama.

Tatizo sio "cause" tatizo ni "the effect"

#YNWA
 

Changamoto sio kiasi, changamoto ni "Tabia"
Leo kaiba buku "Kesho ataiba nini?"

#YNWA
 
Wote Mnaotetea Wizi humu ni WAJINGA # 1

Kutotoa Matumizi kwa mke(kama ni kweli) Ni Ujinga #2

Kuiba ni ujinga # 3

Kushauri Watu waachane ni Ujinga # 4

Kwa ufupi humu 90% ni maandishi ya Kijinga, ambayo ukiyatetea Basi wewe Pia ni mjinga.
Rubish.
 
Sababu ya msingi ya kuacha mke ni uzinzi. Haya mengine yanarekebishika.
Ushauri wako ni batili
 
Iwepo nidhamu ya kuomba na sio kujichukulia bila ya ridhaa ya mwenye hela zake.

Wizi ni pale unapochukua kitu ambacho si chako bila ridhaa ya mwenye nacho.

Mwenye hela zake?!?

Ridhaa ya mwenye nacho?!?

Fortunately huyo mke ndio mwenye kumiliki vyote hapo, Mume na pesa za mume.
 
Umlnaposema ni mwizi je alikua anampa vitu hivyo mwanamke anahitaji huduma muhimu zote na zile za ziada kama vocha kuweka kucha kuvaa vizuri kutumia mtandao na vyote hivo vinahitaji pesa kama alikua hampinza kutosha basi acha mwanamke ajichukulie ni zake pia.
 
Kwahyo umegeuka mshauri tena wa kushauri kuachana kwenye mapenzi ya watu. Haya mfano wameachana ww ndio utakua mke wa jamaa yako au maana mwanaume kuwa mshauri wa kijinga hizo ni dalili za upinde acha hizo tabia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…