Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

Mke aiba namba za siri za mumewe na kujitumia pesa kila mwezi na kujinunulia vocha kila siku. Nimemwambia amwache usiku huu huu

We Ni fala kabisa. Hiyo elfu hamsini kwa mwezi ndio utusumbue wanaume. Tafuteni ela wajinga nyie. Huwenda anahinga na kunywea laki 4 kwa mwezi Alafu alalamikq mke kuchukuq elfu 40.
Mi sijadili ukubwa wa hela bali ubaya na madhara na tafsiri ya tendo husika punga wewe, acha kukurupuka!
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Umemshauri vizuri mkuu
 
Ngoja "ukue" uyaone vizuri na kwa ukaribu.Ungesimuliwa yote yanayotokea kwenye vyumba vyetu vyenye kuta nne zisizoongea nadhani ungeshikwa wazimu kwa kujishangaza.Muda bado unao.
Sawa, kama tafsiri ya ukubwa ni kuwa bwege basi endeleeni kuwa wakubwa!
 
Sawa, kama tafsiri ya ukubwa ni kuwa bwege basi endeleeni kuwa wakubwa!
Kuna kanuni nyingine za kijinga na kuchefua sana:-
-unanyamazia upumbavu ili maisha yasonge,
-unakaa mbali na unaowapenda ili kutetea uhai wao,
-unakubali dhihaka na fadhaa ili uwapendao waishi/wale,
-unakubali kutolewa uhai wako ili tu kuokoa uhai wa wenzako nk.
 
Ajamuacha 7bu ya ela hizo chche
Anataka kumuacha 7bu ni mwizi
Ndio MWIZI
ishi na mtu mwenye TABIA zozote zitavumilika awe mke ndugu rafiki nk zitavumilika
Lakini Mwizi afai
Mke Mwizi ni mbinafsi
Rafiki Mwizi ni mnafiki

Huwezi kuishi na mke MWIZI na MBINAFSI
Omba upewe

Mm namuunga MKONO ila ampuuzishe aende kwao
Akijirekebishe amrudishe na awaambie ndugu wa huyo mke kuwa mkewe ni MWIZI
Akisha mwacha aje akuoe awe anakudinya Sasa. Yaan mwanaumme mzima na mapu.... Mbu yako unatoa ushauri wa kitoto hivyo
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Yaani vocha tu ndio uvunje ndoa? acheni ujinga watoto,

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Uaminifu huanza kwenye mambo madogo ,
Mwanamke akishindwa kuepuka kuiba senti hata zikiwa nyingi haachi kuiba.
 
Huyo me nadhani bado ni mvulana, wengine tukitoa ten kununua chapati za watu 3 hatuulizi chenji iko wapi.
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!


Hii inaonyesha ni jinsi gani hilo jamaa bahili, amuonye na hizo hela ampe cash kila mwezi. Vihela vidogo hivyo.
 
Baada ya kuinasa amekuwa akijirushia 5,000-10,000 mara mbili kila mwezi na muda wa maongezi wa tshs 1,000-2,000 kila siku.

Mume anataka amuache sasa hivi na mimba yake akilalamika kuwa ni mwizi na asiye na shukrani kwani amekuwa akimtunzia ndugu zake na mtoto aliyemkuta kwa miaka mingi tu huku huduma akizitoa.

Lakini pia anadai kuna cases nyingi tu za ye kupoteza hela kila mara bila kuelewa, ingawa alidhani ni yeye mwenyewe tu anazipoteza lkn kwa hali hii anahitimisha kuwa itakuwa ni huyo mke aliyekuwa anamchezea michezo hiyo.

Kwakuwa siku za mwizi ni arobaini amegundua hilo juzi tu baada ya kutumiwa hela ya mtu huku salio likiwa hilo tu, sasa kila akijaribu kutoa anaambiwa salio halitoshi. Alipowapigiwa huduma kwa wateja wakawa wanamwambia mbona umetoa hela mwenyewe. Sasa alipochukua taarifa za miamala ndipo alipokutana na hayo. Mke alikuwa anafuta jumbe zote anazofanya miamala mume asione.

Mimi nimemwambia amwache, tena leo usiku huu huu kwani sio mtu wa kawaida huyo dada.......huwezi kujua ameshamdanganya mangapi na amepanga mangapi dhidi yake! Vipi wadau nimeshauri vibaya?!!!!!
Mimi napita tu
 
Kwa hiyo unaweza kumvumilia mke kicheche (malaya), muongo, ana roho mbaya au mshirikina (mchawi) lakini mwizi tu ndio huwezi kumvumilia?

Mi bana tabia yoyote katika hizo hapo juu napiga chini tu, potelea pote. Naweza samehe labda mchafu au hajui kupika. Najua impact yake sio kubwa na twaweza kurekebishana.
Mke wako hawez kuwa mwizi kwa kutumia au kutoa pesa yako, ile ni halali yake na usiporuhusu huo uhalali basi jua atazitafuta kwingine na usirudi hapa kulalama, ila we kama bado ni mchanga kwenye ndoa hayo hauwezi kuyajua.
 
Mke wako hawez kuwa mwizi kwa kutumia au kutoa pesa yako, ile ni halali yake na usiporuhusu huo uhalali basi jua atazitafuta kwingine na usirudi hapa kulalama, ila we kama bado ni mchanga kwenye ndoa hayo hauwezi kuyajua.
Na ukimuendekeza hivyo siku ukiishiwa akakosa pa kuchukua (kuiba) ataenda kugongwa nje
 
Back
Top Bottom