Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesahau wanaume tunapenda vipande vipande.Sema wanaume tuachane na ishu za michepuko then tuwekezw nguvu katika kutafuta uchumi mzuri.
Sijui nimtag mje kumkanya kabisa? LolNifah bado tunakuhitaji uvumilie utakachokutana nacho kwenye simu ya mumeo.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Afwe tu na ujinga wakeJamani wanaume mtatumaliza! Hadi wa vijijini?
Sijui huyo dada alikutana na nini huko masikini?
Halafu alisoma meseji zote hadi za WhatsApp!
Apumzike kwa amani!
Japo mimi sitojiua, siwezi kumwachia mchepuko mume.
Sana Mkuu.unaweza ukaona ni ujinga ila mapenzi yanauma jamani usiombe yakukute 🙌
Usiguse simu yake ila endelea kumpenda Adamu wakoSijui nimtag mje kumkanya kabisa? Lol
Maana ninavyompenda nitakufa hata nguvu ya kunywa sumu kama mwenzangu sitokuwa nayo!
Unafikiri ni rahisi. Mara nyingi wanaume tunapenda wake zetu ila kutokana na matatizo ya akinamama, ya kule kwa chinova, unakuta hupati supply nzuri ya K. Hivyo unatafuta shockabsorber. Nakuapia akikutoka ni hasara kubuuubwa maishani mwako. Hatimaye unaweza kufa kwa msongo wa mawazo.So sad..
Aliejiua kwa ajili yake ataoa mwanamke mwingine na yeye atasahaulika kwake kabisa.
Mungu atusaidie
Simu ya mwanaume ni zaidi ya Bomu la nyuklia🤣Jamani wanaume mtatumaliza! Hadi wa vijijini?
Sijui huyo dada alikutana na nini huko masikini?
Halafu alisoma meseji zote hadi za WhatsApp!
Apumzike kwa amani!
Japo mimi sitojiua, siwezi kumwachia mchepuko mume.
Hawa wapuuzi walitumiana hadi vikojolea na ndipo mzee baba wa nyundo akaanza kukifagilia kikojoleo cha mchepukoJamani wanaume mtatumaliza! Hadi wa vijijini?
Sijui huyo dada alikutana na nini huko masikini?
Halafu alisoma meseji zote hadi za WhatsApp!
Apumzike kwa amani!
Japo mimi sitojiua, siwezi kumwachia mchepuko mume.
Mimi wangu alitaka kujiua yeye🤣🤣🤣 Manake nilitulia, nilikuwa namfanyia kila kitu kama kawaida....nampikia, namfulia, akiomba utamu nampa.....akapagawa🤣🤣🤣🤣Ntakavyomdharau mwenyewe ataita kikao sipendi ujinga mimi.
Mungu wangu! Moyo umenipasuka nikivaa viatu vya mwenzangu! Kafariki kwa uchungu sana! DahHawa wapuuzi walitumiana hadi vikojolea na ndipo mzee baba wa nyundo akaanza kukifagilia kikojoleo cha mchepuko