Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

Mkui hio mbinu ya kusingizia ajali au kulazwa hospitali nayo inaweza kufanya kazi trust me

Sijakataa, ila kwa umri wangu na mambo yangu itakua kucheza chini ya kiwango, imekaa kitoto sana. Umejiuliza utakavyokua unawapanga hao jamaa mshirikiane nao kutengeneza huo usanii wanakuchukuliaje?

Na unauhakika hawatawaambia wengine hiyo siri? Ikivuja ikamfikia mkeo si utakua unazidi kuharibu?

Acha hiyo mbinu iwafae wengine lakini binafsi siwezi kabisa hata kuifikiria.
 
Baada ya kukufumania tumekubaliana yafuatayo
1)Usikiri kosa lako kabisaa
2)piga show Kali na romantic
3)Mnunulie hata zawadi labda kanga viatu au dera
Hapa mwanamke atasahau kila kitu hata jina lake mwenyewe😜😜😜
 
Baada ya kukufumania tumekubaliana yafuatayo
1)Usikiri kosa lako kabisaa
2)piga show Kali na romantic
3)Mnunulie hata zawadi labda kanga viatu au dera
Hapa mwanamke atasahau kila kitu hata jina lake mwenyewe😜😜😜
We jidanganye tu wanawake akili zao wanazijuaga wenyewe tu, unaweza hisi umetatua tatizo kumbe umewekwa kikaangoni anasubiria mda ufike akupige tukio na ww
 
Mimi nimependa jinsi ulivyotolewa kwenye kikao mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…