OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
- #21
Kwa nini mkuuTahadhari mbinu hiyo isifanywe baada, ya siku tatu za mwanzo vunga km wiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuuTahadhari mbinu hiyo isifanywe baada, ya siku tatu za mwanzo vunga km wiki
Mkui hio mbinu ya kusingizia ajali au kulazwa hospitali nayo inaweza kufanya kazi trust me
Shida ni kwamba hao wake zetu nao wanasoma humu hizo mbinu.Mkikaaa kwa kutulia na wake zenu bila kuchepuka hamtafumaniwa [emoji57]
Itakua rahisi kwa ck za mwanzo ukifanya ivo lazima ashituke tu kuwa una mtengenezea scriptKwa nini mkuu
We jidanganye tu wanawake akili zao wanazijuaga wenyewe tu, unaweza hisi umetatua tatizo kumbe umewekwa kikaangoni anasubiria mda ufike akupige tukio na wwBaada ya kukufumania tumekubaliana yafuatayo
1)Usikiri kosa lako kabisaa
2)piga show Kali na romantic
3)Mnunulie hata zawadi labda kanga viatu au dera
Hapa mwanamke atasahau kila kitu hata jina lake mwenyewe😜😜😜
Tuupereke chit chat huu uzi au sio 😃[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu vipi unaota au!!!!
Huyu kwenye avatar yako ni wewe?Mkikaaa kwa kutulia na wake zenu bila kuchepuka hamtafumaniwa [emoji57]
Mimi nimependa jinsi ulivyotolewa kwenye kikao mkuu!Unajua maumivu na hali wanakua nayo hawa viumbe wakikutana na hali kama hiyo mkuu?
Kwanza akishtukia unamfanyia usanii mwingine ndio unazidi kuharibu kabisaaa.
Nilihudhuria kile kikao kikuu kilichosisitiza ukikamatwa kataa katakata, usifanye kosa la kukubali. Nikauliza swali, hata kama kuna ushahidi wa kila aina usiopingika nikatae tu? Nilivyoendelea kuuliza nikatolewa kwenye mkutano chini ya ulinzi mkali.
Achilia mbali kutengeneza ajali ya magumashi, hata kama imetokea ya ukweli anaweza kufika hapo akakumalizia kabisa upotelee jehanam.
Na uwe na bahati apokee simu kama haja ku block.
Ndio maana kupunguza usumbufu, sasa hivi wanahifadhi viberiti na petroli, hawataki ujinga. Wanakupa mazoezi ya moto wa huko unakoenda.
Unapigwa home and away.
Hii ajenda tuiweke pembeni kwanza, tunaweza kujaza server za JF.
Ila mkiendelea kutupiga petrol akili zitarudi.
Huyu kwenye avatar yako ni wewe?
Mimi nimependa jinsi ulivyotolewa kwenye kikao mkuu!
Ukikutwa unakazia kabisa hivi utakataaje yani? Wajumbe walisemaje kuhusu hili,, au kufumaniwa kinadharia tu?Mie nikikamatwa na vidhibiti sioni haja ya kuupiga mwingi mkuu. Nakua mpole tu.
Nataka nitulie na wewe baadaye[emoji23][emoji23]tulia kwanza soma mbinu hizo