DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #61
HAUKUPITA MDA SANA,
Baada ya kuishi pale nyumban, misuguano ikaanza Kati ya wife na bi.mkubwa kila siku kesi wanazinguana mpk kurushiana Maneno makali. Migogoro ile ikawasiingilii inasuluhishwa kila mara na mzee. Mzee asipokuepo Basi najitahidi Kias chake kusuluhisha japo Kuna MDA naona kabisa bi.mkubwa ndo kazingua ila Sasa kumwambia live kua yeye ndo kakosea ikawa ni changamoto.
Ikawa napotezea ila bi.mkubwa akionesha ukali Sana na kupanic ili ionekane wife ndo kakosea,basi zigo lile naliangushia Kwa wife aonekane mkosaji yaishe. ila tukirud chumban wawili namfafanulia wife kwann nilifanya vile kwa bi.mkubwa ili kuweka mambo sawa, Basi ananielewa. YANAISHA.
Migogoro imeenda mpk mzee aliporudi nikamfafanulia magumu nnayopitia kuamua kesi zile za bi.mkubwa na wife, nashindwa nikae upande upi na kumuomba mzee Kama inawezekana nihame TU pale nyumbani tupunguze Hizi changamoto.
Kweli mzee kanielewa na kunambia kwny nyumba Yake kupangisha sehem flan ya wapangaji 6 apartment za chumba na sebule. Basi Kuna apartment moja mpangaji keshatoa taarifa atahama miez mitatu ijayo Kodi yake ikiisha kwaiyo nijiandae akitoka tu nitahamia uko na wife. Basi nikashkuru na kweli MDA ulipofika tukahama pale nyumban na kwenda kuishi mtaani kwenye iyo nyumba ya mzee.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Baada ya kuishi pale nyumban, misuguano ikaanza Kati ya wife na bi.mkubwa kila siku kesi wanazinguana mpk kurushiana Maneno makali. Migogoro ile ikawasiingilii inasuluhishwa kila mara na mzee. Mzee asipokuepo Basi najitahidi Kias chake kusuluhisha japo Kuna MDA naona kabisa bi.mkubwa ndo kazingua ila Sasa kumwambia live kua yeye ndo kakosea ikawa ni changamoto.
Ikawa napotezea ila bi.mkubwa akionesha ukali Sana na kupanic ili ionekane wife ndo kakosea,basi zigo lile naliangushia Kwa wife aonekane mkosaji yaishe. ila tukirud chumban wawili namfafanulia wife kwann nilifanya vile kwa bi.mkubwa ili kuweka mambo sawa, Basi ananielewa. YANAISHA.
Migogoro imeenda mpk mzee aliporudi nikamfafanulia magumu nnayopitia kuamua kesi zile za bi.mkubwa na wife, nashindwa nikae upande upi na kumuomba mzee Kama inawezekana nihame TU pale nyumbani tupunguze Hizi changamoto.
Kweli mzee kanielewa na kunambia kwny nyumba Yake kupangisha sehem flan ya wapangaji 6 apartment za chumba na sebule. Basi Kuna apartment moja mpangaji keshatoa taarifa atahama miez mitatu ijayo Kodi yake ikiisha kwaiyo nijiandae akitoka tu nitahamia uko na wife. Basi nikashkuru na kweli MDA ulipofika tukahama pale nyumban na kwenda kuishi mtaani kwenye iyo nyumba ya mzee.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]