Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila we ni mwamba aiseeUsemalo Kweli kabisa,
Wife alikua yupo yupo TU mtaani
Mashangazi zake nao ndo walikua nuksi sana
Kwa hili naona amejifunza sana..ila bado inabidi usimuamini kwa asilimia zote endelea kumkumbusha asije akajisahauYah! Sahii kabisa,
Nyie wanawake mnawaamini Watu kirahisi Sana.
Can u imagine mateso yote aliyokua anapitia wife, Kaka ake aliekua anampelekea pesa na mizigo Hakuna alichomsaidia.
Baadae wife ananambia kule kwao,
Shangaz zake walianza kumsimanga sn kua kavunja ndoa yake kwa ujinga wake mwnyw, hawakumtuma wao akaombe kugawana Mali akiwa dukan
Wkt anasema wao ndo walimpa Lile wazo kua tukiachana, lazma tutagawana. Usaliti ule Ulimsababishia asione Tena umuhimu wa kua duniani akataka kujiua Mara 2 maana nyumban wanamsema sn na uku kwangu ndo nmegoma kabisa kumsamehe.
Mwisho wa siku Yamemkuta kila mtu kamsaliti.
Usemalo Kweli kabisa,
Wife alikua yupo yupo TU mtaani
Mashangazi zake nao ndo walikua nuksi sana
Kuna kipind aliomba nimrudishe nikakata,Kwa hili naona amejifunza sana..ila bado inabidi usimuamini kwa asilimia zote endelea kumkumbusha asije akajisahau
Hata Kama ningekua na kasoro zangu,Kwenye mashangazi ndo panachekeshaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
..binti yetu mzuri bado mchanga![emoji1787] ila we jamaa hao wamama mpk wanaanza izo shombo mbele yako jitafakari huwenda una unakasoro zako lkn hapa tumeskia upande mmoja wa story.
Usikanyage tena ukweni/ kwa mashangazi kwanza wao wapo nyumbaniHata Kama ningekua na kasoro zangu,
Hawakutakiwa kunisimanga na nmekwenda kwa ajili ya usuluhishi.
Binafs nikishaona msuluhisi keshaanza kua na upande najua kabisa hapa Sina msuluhisi, nmevamia mtumbwi wa vibwego.
Baada ya kumpuuza akajiona mjinga[emoji1787]Jamaa yangu alikuta mwanamke kasomba kila kitu ndani kasepa. Nilichomwambia wewe funga masikio na macho yaani fanya kama hakuna kilichotokea. Kweli baada ya week mbili mwanamke mwenyewe kamtafuta. Na tunda akamega tena. Cha ajabu hata jamaa mwenyewe akawa hana tena mudi na vitu. Yaani hata kuhoji hakuwa na mpango.
Nakumbuka nilimwambia tu kuanza kumtafuta na kuhangaika nae ni kama kumpa ushindi vitu vinatafutwa yaaani si ishu kabisa.
Sana, mtu anakimbia na mavitu ambayo mtoto wa kiume ukiwa na hela kuyanunua ni siku moja tu.Baada ya kumpuuza akajiona mjinga[emoji1787]