Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

tukio lako ni kama la bro. wangu mwanzoni nilishangaa ila badae nimekuja kuelewa

kwa ufupi bro na mke wake waliachana baada ya mke kumtuhumu bro kutoka nje.
mke akarudi kwao bro akagoma kumfata baada ya miezi 4 mke wake kaja na kenta 2 kubeba kila kitu

kilicho nishangaza ni bro kutoa hela ya kubeba mizigo yote na kukubali vyote kuchukuliwa

kwa hasira alienda vunja kibubu na kununua vitu vipya ndani ya siku 2, majirani wakampigia mkewe kumuuliza kama karudi maana wanaona vitu vinaingia

mke karudi kushuhudia na kuomba msamaha hadi leo n mwaka wa 5 hawako pamoja.

bro aligoma kumsamehe
Aisee wanawake ni viumbe complicated Sana inahitaji akili Sana kuishi nao
 
Natamani kujua kipindi cha mavarangati yale yote kaka mtu alikuwa wapi na alikuwa na hali gani[emoji1787][emoji1787]
Mara ya mwisho Kaka wife tukionana kwny kile kikao walichonitukana.

Kipindi chote Cha varangati kusomba vitu, wife kuomba msamaha,mkwe na mashangazi kuomba mashamaha sikumuona kabisa jamaa.
 
Mara ya mwisho Kaka wife tukionana kwny kile kikao walichonitukana.

Kipindi chote Cha varangati kusomba vitu, wife kuomba msamaha,mkwe na mashangazi kuomba mashamaha sikumuona kabisa jamaa.
kwa sasa mnawasiliana? huwa anafika kwako? biashara yake ikoje sasa
 
Wanawake waliopo kwenye ndoa huwa wanawaza kugawana Mali nusu kwa nusu.
Yaani wanadhani utateteleka .
Nina ndugu yake mkewe alipoanza Fuji fujo kahama yeye kaacha
Semi 2
Gari za kutembelea 2
Daladala 5
Nyumba 2
Na mzigo wa kuuza anamtumia aendelee kuuza maana Wana watoto.
Ila amekata kabisa kwenda Wala kukutana na huyo mwanamke.
Imebidi mwanamke ajisalimishe tu na kuwa karibu zaidi na ndugu wa mume.
 
Toka lini nyie mkampenda mwanaume nyie mnapenda mali tu

Ambao tumeshawashitukia tunasema kataa ndoa ni utapeli
Ha ha ha...
binafs siamini kama ndoa Ni utapeli
Inategemea umemuoa yupi na wanaomzunguka Ni watu gani.

Back in those days,
Nami ningekua na msemo Kama wako

Ila kwasasa binafs naenjoy Sana mkuu[emoji4]
 
Wanawake waliopo kwenye ndoa huwa wanawaza kugawana Mali nusu kwa nusu.
Yaani wanadhani utateteleka .
Nina ndugu yake mkewe alipoanza Fuji fujo kahama yeye kaacha
Semi 2
Gari za kutembelea 2
Daladala 5
Nyumba 2
Na mzigo wa kuuza anamtumia aendelee kuuza maana Wana watoto.
Ila amekata kabisa kwenda Wala kukutana na huyo mwanamke.
Imebidi mwanamke ajisalimishe tu na kuwa karibu zaidi na ndugu wa mume.
Hapo usikute usikute Kuna wapambe nuksi walimdaganya ataweza kusurvive bila mume
 
Ila wanawake ni kama wamezaliwa na ujinga wa asili hivi

Ni nadra sana kumkuta mwanamke anawaza hata miaka 2 mbele.

Miaka 3 nyuma,wife kuna kipindi wakati naanza maisha nilisema nimshirikishe mke wangu kwenye mipango

Basi nikawa napiga deal mixer kazi kwa mwezi Nampa 700k mara M.1 sometimes 650k..

Hapo achana na budget ya emergency ambayo Kila mwezi nilikuwa naweka 250k.

Sasa siku nayopewa termination of contract najua kabisa emergency funds Nina km 5.8M huku kwingine najua nina kama 14M.

Nikajisemea hapa sitaki tena Ajira nitaendelea na mishe zangu, Sasa namwambia wife mkataba wangu umeisha hautaongezwa zilete zile hela tufanye mahesabu tujue tunaanza wapi..

Nashangaa mtu anatoa machozi, mimi moja kwa moja nikajua mke wangu kaumia kusikia Sina Kazi nikaanza kubembeleza mbona akiba tunayo na kazi zipo nyingi sana kwenye fani yangu!!Ni vile tu mi sina mpango wa kuajiriwa baada ya mda nikamwambia lete hela tufanye mahesabu akaenda kuchukua kama 650k kaweka kitandani,mi nikamwambia lete zote akasema ndo hizo zimebaki....

Kumbuka mi najua nina 20M. Kasoro hivi aisee hasira zilinipanda ghafla pumzi ikawa inakaba km nataka kupata presha hivi aiseeee pembeni kulikuwa na kastuli flani hivi napendaga kuwekea simu usiku nikiwa nalala, kuna roho iliniingia ya kikatili nilitamani nishike kistuli nimbamize nacho Cha kichwa bahati nzuri niligeuka kumuangalia sura yake na mke wangu ana sura ya kipole sanaaa na kamwili kake kalivyo kadogo plus mimi nishawahi kufanya mazoezi makali ya boxing nikisema nipige liver shot moja naweza hata kuua...

Nikatoka nikaenda kukaa sebuleni kwanza nawaza si ningemuumiza sana!!hivi presha ndo inashika vile!nilijiogopa sana kwakweli.Sijawahi kumpiga toka tumeanza mahusiano ila nikapata picha kwanini wanaume wanapigaga wake zao tena bora mwenye mkono wa kupiga makofi maana atakuwa anapiga kdg kdg,mimi niliwazA kumuumiza yaani ukimuona unasema eee huyu mwanaume kweli katili..nilijiogopa sana kwakweli.

Siku 3 sijui nifanye nini kusema popote naona aibu siwezi mwambia mama yangu siwezi kusema kwao siwezi mwambia rafiki yangu yaani nimekaa nalo moyoni natoka naenda kushinda Bar nikifika tu mlango wa nyumbani hasira zinawaka moto ,kazi sina akiba yangu ya mambo yangu ilikuwa ni 3.5M plus 650k tu Hela yote ndo wife kawapa ndugu zake wafungue biashara, nyingine kajenga choo Cha baba yake nyingine kanunua mavitu Yao ya kike.

Niliumia sana sanaaaaaa kilichokuwa kinaniuma ni mwanamke ambaye nimeoa aje anisaidie maisha ndo anakuja nishusha,mwanamke ninayemshirikisha kila kitu ndo anakuja kuwa adui yangu,nimemaliza mkataba na ndo hapo hapo napokea taarifa km hiyo.Sina mtu wa kumshirikisha kitu maana wakumshirikisha ndo huyo kazingua.

Mda wote nawaza ukatili tu sasa kimtu chenyewe hataukipiga kofi vzr kinazima.Nssf nilikuwa na 27M.pssf nilikuwa na 11M.Nikasema nianze kule kwanza.

Changamoto nilikuwa nayo kipindi kile ni nawezaje kukaa nae chini kupanga nae maisha mwanamke wa namna hii na je maisha nitapanga na nani? Nawezaje kumfungulia Biashara mwanamke wa namna hii??Nani nitaongea nae stress zangu za maisha?Nani atanifariji pale Mambo yakuwa yakienda mrama?Nani anayenionea huruma kama sio mke wangu?Kifupi alinitisha sana sababu niliamini nipo salama halafu nikagundua nahitaji kuwa makini maana sio kweli kwamba nipo salama.

Huyu mwanamke sijawahi kuprove kunisaliti na ana heshima kiasi chake nadhani hapo ndo alipoponea,mi nilikuwa willing kuvunja ndoa ila hivyo vitu viwili ndo deal breaker kwangu basi nikapata mafao nikaweka sehemu kazaa nikawa naingiza 3M. Per month Maisha yakarudi sawa.

Sijawahi kumwambia ila Nikampa adhabu kuu mbili sitakaa nikufungulie biashara,sitakaa na wewe kujadili maendeleo ya familia,tupige story tucheke tule tulale ila my next move itakuwa siri yangu siku zote...

Kiukweli hili jambo lilinifanye nisiwazingatie kabisa wanawake, Mungu aliposema tuishi nao kwa akili alijua kabisa hawa watu hajawapa akili ya utambuzi,Sasa km mwanaume nae huna akili basi familia inakosa mwenye akili...
Hawa viumbe dah ata kuwalinganisha na watoto tunakosea sana watoto heshima
 
Habar wakuu,

Kwanza niseme TU kisa hiki ni Cha miaka mingi ya nyuma sn ilopita ya ndoa yangu na MKE wangu MAMA G.
Kiukweli miongoni mwa ndoa zilizopita misukosuko mingi miaka 5 ya kwanza ya kwangu naweza kusema ilikua mojawapo.

Misukosuko hii nashkuru iliweza kutujenga imara mpk Sasa naweza kusema sijutii kuoa na naweza kusema nmebahatika kupata MKE Bora kabisa maishani, yaliyopita Si ndwele. Tugange yaliyopo na yajayo.

Anyway,
Nawaletea kisa Cha misukosuko ya ndoa yangu ambapo MKE wangu baada ya ugomvi mkubwa alidai talaka na kutaka tufuate sheria ili tugawane Mali, sema nilichomfanyia nilimnyoosha alijuta na hatosahau maishani mwake na mpk leo Hata tugombane vipi.

Kauli ya "TUGAWANE MALI" ilikoma na hawezi Tena kurudia kuitamka Tena.

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu umetisha sana , nimejifunza mengi , kongole kwako mzee

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Ila wanawake ni kama wamezaliwa na ujinga wa asili hivi

Ni nadra sana kumkuta mwanamke anawaza hata miaka 2 mbele.

Miaka 3 nyuma,wife kuna kipindi wakati naanza maisha nilisema nimshirikishe mke wangu kwenye mipango

Basi nikawa napiga deal mixer kazi kwa mwezi Nampa 700k mara M.1 sometimes 650k..

Hapo achana na budget ya emergency ambayo Kila mwezi nilikuwa naweka 250k.

Sasa siku nayopewa termination of contract najua kabisa emergency funds Nina km 5.8M huku kwingine najua nina kama 14M.

Nikajisemea hapa sitaki tena Ajira nitaendelea na mishe zangu, Sasa namwambia wife mkataba wangu umeisha hautaongezwa zilete zile hela tufanye mahesabu tujue tunaanza wapi..

Nashangaa mtu anatoa machozi, mimi moja kwa moja nikajua mke wangu kaumia kusikia Sina Kazi nikaanza kubembeleza mbona akiba tunayo na kazi zipo nyingi sana kwenye fani yangu!!Ni vile tu mi sina mpango wa kuajiriwa baada ya mda nikamwambia lete hela tufanye mahesabu akaenda kuchukua kama 650k kaweka kitandani,mi nikamwambia lete zote akasema ndo hizo zimebaki....

Kumbuka mi najua nina 20M. Kasoro hivi aisee hasira zilinipanda ghafla pumzi ikawa inakaba km nataka kupata presha hivi aiseeee pembeni kulikuwa na kastuli flani hivi napendaga kuwekea simu usiku nikiwa nalala, kuna roho iliniingia ya kikatili nilitamani nishike kistuli nimbamize nacho Cha kichwa bahati nzuri niligeuka kumuangalia sura yake na mke wangu ana sura ya kipole sanaaa na kamwili kake kalivyo kadogo plus mimi nishawahi kufanya mazoezi makali ya boxing nikisema nipige liver shot moja naweza hata kuua...

Nikatoka nikaenda kukaa sebuleni kwanza nawaza si ningemuumiza sana!!hivi presha ndo inashika vile!nilijiogopa sana kwakweli.Sijawahi kumpiga toka tumeanza mahusiano ila nikapata picha kwanini wanaume wanapigaga wake zao tena bora mwenye mkono wa kupiga makofi maana atakuwa anapiga kdg kdg,mimi niliwazA kumuumiza yaani ukimuona unasema eee huyu mwanaume kweli katili..nilijiogopa sana kwakweli.

Siku 3 sijui nifanye nini kusema popote naona aibu siwezi mwambia mama yangu siwezi kusema kwao siwezi mwambia rafiki yangu yaani nimekaa nalo moyoni natoka naenda kushinda Bar nikifika tu mlango wa nyumbani hasira zinawaka moto ,kazi sina akiba yangu ya mambo yangu ilikuwa ni 3.5M plus 650k tu Hela yote ndo wife kawapa ndugu zake wafungue biashara, nyingine kajenga choo Cha baba yake nyingine kanunua mavitu Yao ya kike.

Niliumia sana sanaaaaaa kilichokuwa kinaniuma ni mwanamke ambaye nimeoa aje anisaidie maisha ndo anakuja nishusha,mwanamke ninayemshirikisha kila kitu ndo anakuja kuwa adui yangu,nimemaliza mkataba na ndo hapo hapo napokea taarifa km hiyo.Sina mtu wa kumshirikisha kitu maana wakumshirikisha ndo huyo kazingua.

Mda wote nawaza ukatili tu sasa kimtu chenyewe hataukipiga kofi vzr kinazima.Nssf nilikuwa na 27M.pssf nilikuwa na 11M.Nikasema nianze kule kwanza.

Changamoto nilikuwa nayo kipindi kile ni nawezaje kukaa nae chini kupanga nae maisha mwanamke wa namna hii na je maisha nitapanga na nani? Nawezaje kumfungulia Biashara mwanamke wa namna hii??Nani nitaongea nae stress zangu za maisha?Nani atanifariji pale Mambo yakuwa yakienda mrama?Nani anayenionea huruma kama sio mke wangu?Kifupi alinitisha sana sababu niliamini nipo salama halafu nikagundua nahitaji kuwa makini maana sio kweli kwamba nipo salama.

Huyu mwanamke sijawahi kuprove kunisaliti na ana heshima kiasi chake nadhani hapo ndo alipoponea,mi nilikuwa willing kuvunja ndoa ila hivyo vitu viwili ndo deal breaker kwangu basi nikapata mafao nikaweka sehemu kazaa nikawa naingiza 3M. Per month Maisha yakarudi sawa.

Sijawahi kumwambia ila Nikampa adhabu kuu mbili sitakaa nikufungulie biashara,sitakaa na wewe kujadili maendeleo ya familia,tupige story tucheke tule tulale ila my next move itakuwa siri yangu siku zote...

Kiukweli hili jambo lilinifanye nisiwazingatie kabisa wanawake, Mungu aliposema tuishi nao kwa akili alijua kabisa hawa watu hajawapa akili ya utambuzi,Sasa km mwanaume nae huna akili basi familia inakosa mwenye akili...
Aiseee wacha tuendelee kujifunza
 
Kitu kingine, ogopa Sana kuzoeleka na ndugu wa mke.
Wanatakiwa wasikusome kabisa. Watakuletea dharau ukileta mazoea nao
Yale mambo unapigiwa simu na mama anakuomba hela hayafai.
Mpe mkeo hela.
Yeye kama anawanyima ndugu zake awanyime yeye mwenyewe.
Ndugu zake wapitishie shida zao kwake
 
Hapo usikute usikute Kuna wapambe nuksi walimdaganya ataweza kusurvive bila mume
Mwanaume anayejitambua kwa nafasi yake ni mwanaume tu.
Atapata tu hisia za kutokuwepo kwake.
Kikubwa tufanye majukumu yetu ya baba na mume wa familia.
Huu uanaume wa siku hizi wa kidemocrasia ndio unaleta shida kwenye ndoa nyingi.
Ndoa sio sehemu ya watu kujifunzia mijadala.
Dingi akifunga amefunga.
Na unakuwa msikilizaji tu
Ukitoka unatoka na conclusion
 
Back
Top Bottom