DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
- Thread starter
- #161
Huwa napenda Sana kusoma comments zako, zimejawa na Maneno ya ukweli bill unafiki.Lakini pia braza DeepPond leo umejua kunishangaza. Leo nimekuona kwa namna ya tofauti sana. Hakika you are so true and real. Naamini ndoa yako ni ndoa flani kubwa sana na ina miaka mingi ahead.
Mmepita kwenye moto lakin mmetoka mnang'aa. Heko kwa baba zenu wote, hakika mmepata good parents wenye hekima na busara sana. Nimejifunza mengi sana kama mwanamke katika hiki kisa na natamani pale penye wrongs mimi nikawe right thou naweza nikawa nina yangu mabaya pia.
Nilichoona hapa na nadhan ndo kilichopo, wanawake weng tunapenda kuonekana victims, sisi ndo tunakosewa, sisi ndo tunatendewa ubaya, sisi ndo tunafanyiwa visa..lakin kumbe chimbuko kubwa la tatizo ni sisi.
Nimeona uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,husuda na ulafi wa mali. Haya yote ni matendo ya mwili ambayo yamepelekea uwepo wa Mungu atupaye hekima kuondoka. Utasoma zaid ktk Gal 5: 20-23.
Laiti kama kungekuwa na matunda ya Roho hapa..basi haya mambo yangepungua kama sio kutokuwepo. Upendo, Furaha, Amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi.. naamini hii shida ingekuwa solved mapema sana. Kuna mmoja alikosa uaminifu kumpelekea mwingine kupata hasira. No tunda la Roho, tendo la mwili likaingia na kupata nafasi kubwa. Ndo maana tunatakiwa tuisulubishe miili yetu sana pamoja na tamaa zake..kama tukiishi kwa Roho na tuenende kwa Roho. Life in Christ is better for me,and for you too.. nahisigi ningeshachizikaga kitambo au kuwa zaidi ya mama.G. We need God in our marriages and our families.
Huwa ufichi Wala kujivunga dada angu.
Mungu akupe maisha marefu Sana jf,hasa mmu. Nikisomaga comments zako huwa kuna namna flan mwili want lazima usisimke maana Maneno unayaondika yanagusa Moja kwa moja.
Pa kujitafakari, najikuta nmejitafakari
Pa kueimisha,najikuta nmeelimika.
Wee Ni mfano Bora wa wanawake wanaojitambua Sana hapa jf.
Kongole Sana mkuu Juandeglo