Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena

PALE PALE
nikapiga Simu fuso likaja dukani likapaki nje, nikatoka nje nikaenda kwnyw kijiwe Cha Draft na kahawa nikaomba nipate vijana 15 Kuna kazi ya haraka nusu saa tu kila mtu ntampa elfu 5. Vijana wakaja 10 na kusimama nje dukani.

Mbele ya wife nikawambia,
"Mmemuona uyu shemej yenu hapa, kasema anaomba tugawane hii Mali mnayoiona ndani ya duka.
Hii ndio kazi nilowaitia Hapa,Kwaiyo nnachowaomba sasa, kazi yenu sio mgawanishe hizi Mali nusu nusu.
Bali Nawaomba msombe kila kitu humu ndani mpakie humu kwenye hii fuso Kisha mtanipelekea ukweni pale magomeni sio mbali, MKE wangu na wazazi wake wakafungue duka lao wauze." Vijana Wakabaki na mshangao.

Wengine wakaanza kumshangaa wife imekuaje katoa kauli zile,Nini kimetokea, Tamaa ya namna gani ile, Hapa mnadhalilishana tu na kuwapa Watu faida. wife akaanza kujitetea kua chanzo kimeanzia mbali. Nikasema mimi sijali tulikoanzia.

Najali kauli yake na naifanyia kazi hivi Sasa,na Nampa anachokitaka.
Baadhi ya vijana 3 wakasema wanajitoa hawawez kushiriki, wakabaki vijana 7. Nikawaambia nyie fanyeni kazi ntawalipa peas yenu.

Wakadai kazi ni kubwa sn. Nikawambia ntawaongezea pesa, nnachoomba duka lote hili lisafishwe toeni kila kitu na mfagie kabisa. Wakasema POA na kuanza kutoa vitu kdg kdg kupakia kwny fuso.

Ghafla wife akaanza fujo ili kuwazuia vijana wasitoe vitu dukani, umati ukajaa pale na wenye maduka ya jiran nao wakasogea baada ya kusikia Hilo zogo. Umati Wote ule pale nikawaambia kua
"Mnamuona Uyu shemej yenu Hapa, ana tamaa sana ya Mali huyu mwanamke, tumegombana kasema Anataka tugawane mali, kwaiyo zoezi linaloendelea Hapa msishangae, Mimi Nampa Mali zote Hapa hapa, ntaanza upya mwnyw, na vijana wakitoka Hapa wanaenda kusomba na kule nyumbani tunakoishi Hadi kijiko sitaki kukiona ndani, wampe akaanze maisha yake mapya mwenyewe. Tunakoelekea ataniua"

Baadhi ya Watu wakaanza kumshangaa wife, baadhi wakawambia kakosea aombe radhi, baadhi wakanilaumu kua hata kugawana hakuko hivyo nimpe talaka kisheria twende mahakamani tukagawane.Nikawaambia,
"Sina Muda wa kupotezea kutenga vikao na kwenda mahakamani, Kama Ni talaka naweza kuandika hata Hapa Hapa nipeni karatasi niandike.
Ila mimi kwenda mahakamani kupotezea Muda ili kugawana mali hapana. Tunamalizana Hapa Hapa leo leo kila mtu akaanze maisha yake mapya kivyake. Huyu mwanamke namuachia kila kitu. Hata akitaka boksa zangu namuachia ntatembea mapumb wazi kengele zinagongana. NAANZA UPYA KABISA KUANZIA LEO"

Hakukawia Sana, vijana wakaijaza fuso mzigo. Nikawaambia pesa yenu ntawalipa msiwe na wasi, nawapa kazi ya pili. Nikamwomba yule dreva fuso aniitie CANTER ije Hapa kama kuna mtu wa haraka haraka anamjua. Akasema POA anampigia. Kisha Nikamwambia kijana wa dukani kua iongoze hiyo fuso iliyojaa mzigo mpk ukweni magomeni anapajua na ahakikishe huo mzigo wote unaingizwa ukweni na unamwagwa wote pale kiwanjani kwao hiyo fuso inarudi tupu. Kijana akasema sawa kanielewa. Fuso ikaondoka.

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji2962][emoji3166][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] hii nimeipenda sana! Form 4 ulifaulu kwa akili zako au chabo zilikuokoa[emoji1787][emoji1787]
 
MZOZO UKAENDELEA,
Watu wakinisihi tuyamalize pembeni Hapa mjini tunawafaidisha Watu, nikawambia Sina MDA wa kupoteza kwenda mahakamani. Na Hilo pagale analodai tugawane Kama Kuna mtu anapesa Hapa aseme naliuza cash pesa yote mpeni huyu Mwanamke akaanze maisha yake. Kama hamna Basi niitieni dalali liuzwe leo leo silazi damu Mimi. Watu wakamsihi wife ashuke pale aombe radhi anadhalilika yeye. Wife akaanza kujishusha nimsamehe Lile neno lilimponyoka TU bahati mbaya. Nikasema maamuzi yangu Ni hayo hayo. Sirudi nyuma. Kazi iendelee.

Hatujakaa Sana,
CANTER tupu ikaingia, nikawaambia vijana wapande twende nyumbani nako tukapakie kila kitu vitu vya ndani navyo vipelekwe Magomeni. Vijana wakasema utatuongezea hela, nkwambia hamna shida ntawaongezea. Vijana wakapanda, CANTER ikang'oa tukaelekea nyumbani. Tulipofika hatukua na muda wa kupoteza vijana wakaingia ndani haraka na kuanza kusomba vitu kuingiza kwny Gari.

Ghafla wife na baadhi ya wafanyabiashara wenzangu wakafika pale nyumbani kunisihi niache vile nilikuWa nakifanya, namdhalilisha wife.

Wife akawa analia na kuwazuia vijana wasitoe vitu kwenye Gari. Vijana wanaingiza, kwenye Gari wife anatoa anarudisha ndani. Vijana wanamsukuma pembeni kuwa wao wako kazini asiwaingilie.

Mzozo ukawa mzozo majirani mtaani pale wakajaa, nikawaambia pale,
"Wote Mmemuona huyu shemej yenu, tumegombana tu anasema tugawane mali. Sasa Mimi Sina MDA mchafu wa kwenda kukaa mahakamani kupotezea ili kugawana mali,Nampa kila kitu Hadi kijiko nisikione ndani kwangu, Leo rasmi naanza upya. Kule dukan, fuso tayar lishapakia mzigo wote wa Dukani linaelekea kwao magomeni Kwenda Kufungua duka ukweni.Na Hapa Hii canter mnayoiona itasomba mzigo wote wa vitu vya ndani na kuelekea kwao kule kule magomeni. Kwaiyo Nataka Akafungua duka lake magomeni na akaanze yake maisha mapya magomeni. Sina Muda mchafu wa kugawana Mali na mwanamke Mimi" wote wakabaki na mshangao.

Hatukukawia Sana mwenyekiti wa mtaa akafika na kunisihi tukayaongee ofisini ya mtaa, nikamwambia mzee nakuheshimu Sana Ila tutayaongea tayari nishampatia huyu mwanamke anachokitaka. Hapa niache tu nimalizie hili zoezi langu afu ntakuja uko ofsini tuyaongee.

Mwenyekiti akaanza kuniletea habar za kuniitia polisi nakaidi agizo lake. Basi nae mwenyekiti Tukajibizana mbovu sana, ugomvi karibu uibuke nimchape ngumi maana alianza kuminyooshe vidole. Baadhi ya Watu wakaamulia na kumtoa mwenyekiti eneo Lile akaondoka.

Wife akazidi kububujikwa na machozi anaomba yaishe, kelele zile Ikawa Kama nmeufunga mtaa sasa maana zilikuwa kelele kibao Sana pale. Sijakaa sawa nikaona ile fuso yenye mzigo wa duka inarudi na kusimama pale nyumbani. Kwenye fuso anatoka kijana wa dukani na baba mkwe. Sijakaa sawa taxi nyeupe nayo inafika iko na wale shangazi zake na wife wale walionitukana sana kipindi kile.

Baba mkwe kanifata na kuniomba radhi yaishe, chonde chonde nitulize jazba. Nikamwambia mzee kuwa unawaona hawa walokuja na taxi, walionitukana Sana nilivyokuja ukweni kusuluhishwa. Wakanitusi sifai na kusema niwarudishie binti yenu,Sina msimamo,mzee wa kusemelea nna kiherehere , najipendekeza kwenye ukoo wenu, binti yenu mzuri sana na matusi mengine lukuki.

Sasa mzee wangu nmeamua kutimiza haja yenu, nmemuacha rasmi binti yako na kila kitu hapa nampa Kama unavyoona ili akaishi kwa amani. Tena nampa mbele ya umati huu mtaa mzima unashuhudia Ili mbeleni uko Asije Sema nimemtelekeza, mimi ni katili Sana Kama shangaz zake walivodai.

Umati wote ule ukawageukia wale shangazi zake na mzee wao waliulizia ilikuaje. Ikabidi kuwasimulia matus yote na kejeli zote nilizotukanwa ukweli siku ile nilipofata suluhu.

Umati ule ukawa unawashangaa na kuwanyooshea vidole wale wakwe zangu, inakuaje mkwe wao anakuja wayazungumze kistaarabu mnamtukana matusi, kinachotokea Hapa mkwe wenu msimlaumu, mmeyataka weyewe na mmejidhalilisha Kama familia.

Baba mkwe akasema chonde chonde yeye hakuepo siku ya matusi, nisimjumlishe tuyaongee. Nikamwambia mzee Mimi hatuwezi kuongea chochote kama nawaona Hawa hapa walonitusi matusi ya nguoni mbele yangu. Ikabidi waambiwe warudi kwenye Taxi yao na kuondoka eneo Lile. Maana Hali ya hewa ishachafuka.

Wife akabaki analia machozi Hadi kamasi, kapiga magoti mbele ya umati kumuomba baba ake msamaha kakosea yaishe. Baba ake kwambia hajamkosea yeye kanisekosea Mimi.
Kaja anatambaa anaomba msamaha yaishe nnachofanya namdhalilisha yeye na familia yake pale. Amekiri makosa yake yote tuanze upya. Nikasema HAPANA Hapa mpk kieleweke.
[emoji2959][emoji2959][emoji2957] kwa mimi mpaka hatua hio sirudi nyuma natamani ningekuwepo kushuhudia huu mkasa[emoji1787][emoji1787]
 
MZOZO UKAENDELEA,
Watu wakinisihi tuyamalize pembeni Hapa mjini tunawafaidisha Watu, nikawambia Sina MDA wa kupoteza kwenda mahakamani. Na Hilo pagale analodai tugawane Kama Kuna mtu anapesa Hapa aseme naliuza cash pesa yote mpeni huyu Mwanamke akaanze maisha yake. Kama hamna Basi niitieni dalali liuzwe leo leo silazi damu Mimi. Watu wakamsihi wife ashuke pale aombe radhi anadhalilika yeye. Wife akaanza kujishusha nimsamehe Lile neno lilimponyoka TU bahati mbaya. Nikasema maamuzi yangu Ni hayo hayo. Sirudi nyuma. Kazi iendelee.

Hatujakaa Sana,
CANTER tupu ikaingia, nikawaambia vijana wapande twende nyumbani nako tukapakie kila kitu vitu vya ndani navyo vipelekwe Magomeni. Vijana wakasema utatuongezea hela, nkwambia hamna shida ntawaongezea. Vijana wakapanda, CANTER ikang'oa tukaelekea nyumbani. Tulipofika hatukua na muda wa kupoteza vijana wakaingia ndani haraka na kuanza kusomba vitu kuingiza kwny Gari.

Ghafla wife na baadhi ya wafanyabiashara wenzangu wakafika pale nyumbani kunisihi niache vile nilikuWa nakifanya, namdhalilisha wife.

Wife akawa analia na kuwazuia vijana wasitoe vitu kwenye Gari. Vijana wanaingiza, kwenye Gari wife anatoa anarudisha ndani. Vijana wanamsukuma pembeni kuwa wao wako kazini asiwaingilie.

Mzozo ukawa mzozo majirani mtaani pale wakajaa, nikawaambia pale,
"Wote Mmemuona huyu shemej yenu, tumegombana tu anasema tugawane mali. Sasa Mimi Sina MDA mchafu wa kwenda kukaa mahakamani kupotezea ili kugawana mali,Nampa kila kitu Hadi kijiko nisikione ndani kwangu, Leo rasmi naanza upya. Kule dukan, fuso tayar lishapakia mzigo wote wa Dukani linaelekea kwao magomeni Kwenda Kufungua duka ukweni.Na Hapa Hii canter mnayoiona itasomba mzigo wote wa vitu vya ndani na kuelekea kwao kule kule magomeni. Kwaiyo Nataka Akafungua duka lake magomeni na akaanze yake maisha mapya magomeni. Sina Muda mchafu wa kugawana Mali na mwanamke Mimi" wote wakabaki na mshangao.

Hatukukawia Sana mwenyekiti wa mtaa akafika na kunisihi tukayaongee ofisini ya mtaa, nikamwambia mzee nakuheshimu Sana Ila tutayaongea tayari nishampatia huyu mwanamke anachokitaka. Hapa niache tu nimalizie hili zoezi langu afu ntakuja uko ofsini tuyaongee.

Mwenyekiti akaanza kuniletea habar za kuniitia polisi nakaidi agizo lake. Basi nae mwenyekiti Tukajibizana mbovu sana, ugomvi karibu uibuke nimchape ngumi maana alianza kuminyooshe vidole. Baadhi ya Watu wakaamulia na kumtoa mwenyekiti eneo Lile akaondoka.

Wife akazidi kububujikwa na machozi anaomba yaishe, kelele zile Ikawa Kama nmeufunga mtaa sasa maana zilikuwa kelele kibao Sana pale. Sijakaa sawa nikaona ile fuso yenye mzigo wa duka inarudi na kusimama pale nyumbani. Kwenye fuso anatoka kijana wa dukani na baba mkwe. Sijakaa sawa taxi nyeupe nayo inafika iko na wale shangazi zake na wife wale walionitukana sana kipindi kile.

Baba mkwe kanifata na kuniomba radhi yaishe, chonde chonde nitulize jazba. Nikamwambia mzee kuwa unawaona hawa walokuja na taxi, walionitukana Sana nilivyokuja ukweni kusuluhishwa. Wakanitusi sifai na kusema niwarudishie binti yenu,Sina msimamo,mzee wa kusemelea nna kiherehere , najipendekeza kwenye ukoo wenu, binti yenu mzuri sana na matusi mengine lukuki.

Sasa mzee wangu nmeamua kutimiza haja yenu, nmemuacha rasmi binti yako na kila kitu hapa nampa Kama unavyoona ili akaishi kwa amani. Tena nampa mbele ya umati huu mtaa mzima unashuhudia Ili mbeleni uko Asije Sema nimemtelekeza, mimi ni katili Sana Kama shangaz zake walivodai.

Umati wote ule ukawageukia wale shangazi zake na mzee wao waliulizia ilikuaje. Ikabidi kuwasimulia matus yote na kejeli zote nilizotukanwa ukweli siku ile nilipofata suluhu.

Umati ule ukawa unawashangaa na kuwanyooshea vidole wale wakwe zangu, inakuaje mkwe wao anakuja wayazungumze kistaarabu mnamtukana matusi, kinachotokea Hapa mkwe wenu msimlaumu, mmeyataka weyewe na mmejidhalilisha Kama familia.

Baba mkwe akasema chonde chonde yeye hakuepo siku ya matusi, nisimjumlishe tuyaongee. Nikamwambia mzee Mimi hatuwezi kuongea chochote kama nawaona Hawa hapa walonitusi matusi ya nguoni mbele yangu. Ikabidi waambiwe warudi kwenye Taxi yao na kuondoka eneo Lile. Maana Hali ya hewa ishachafuka.

Wife akabaki analia machozi Hadi kamasi, kapiga magoti mbele ya umati kumuomba baba ake msamaha kakosea yaishe. Baba ake kwambia hajamkosea yeye kanisekosea Mimi.
Kaja anatambaa anaomba msamaha yaishe nnachofanya namdhalilisha yeye na familia yake pale. Amekiri makosa yake yote tuanze upya. Nikasema HAPANA Hapa mpk kieleweke.
Bora wewe ulikuwa unaweza kujibizana nao na kuwaeleza, kuna introvert hatua hatuna maongezi kabisa kauli ni moja na biashara inaishia hapo
 
HATUJAKAA SAWA
Kwnyw ule umati nikamuona jamaa mmoja Ni dalali namjua anapajua saiti kwangu, Nikamwambia nenda haraka sn katafute mteja Kwny ile nyumba yangu naijenga haijaisha, Nataka iuzwe leo leo pesa yote Mpatie huyu MKE wangu leoleo. Watu wakasema unachokifanya sio kizur.
Unamdhakioisha mkeo.

Nikawaambia huyu sio MKE wangu, ni muuaji ajae. Kwanza majirani mkisikia nmekufa ghafla fanyeni uchunguzi haraka, nmeuawa, nikimrudia huyu mwanamke atakuja kuniua ana tamaa sana na Mali. Bora niokoe maisha yangu kwanza, nimpe kila kitu aondoke, mimi bado kijana na Nguvu bado ninazo, ntatafuta tu vingine.

Hatukukaa Sana vijana wakawa wamemaliza kuijaza ile canter vitu vya ndani na wanarudishia turubai ili waondoke pale kuelekea Magomeni. Wife akaenda kumuinamia dereva anaomba Sana asitoe gari, amekosea saa, tena amekosea mno.

Nikamwambia dreva ngo'a gari usimsikilize huyo. Dreva kaiweka silencer kila akitaka kutoa wife anasimama mbele ya gari anasema Basi Leo Kama Gari hii inaondoka Hapa, basi nigonge na tairi nife kabisa. Sina maana kuishi. Basi dreva akawa anasita kuitoa gari.

Hatujakaa sawa,
Naona gari ya mzee wangu inaingia,
Mzee kashuka, kanifata na kunivuta mkono mpaka kwny Gari yake. Akanambia niingie kwenye Gari yake.
Nmeingia akaniuliza,
"Mimi Ni baba yako?" Nikasema "ndio"
Basi nakuomba usitoke humu ndani ya Gari mpaka ntakaporudi. Mzee akatoka na kwenda nje nikaona anazungumza na dreva wa Gari zote mbili canter na fuso.

Mzee akaenda kuzungumza na baba mkwe. Kisha akarudi ndani ya gari na kuwasha gari tukaondoka pale kuelekea Kimara nyumbani kwa mzee. Nikaona zile Gari mbili fuso na canter nazo kwa nyuma zinafata pamoja na gari nyngn mbili private na taxi Moja.

Tumefika nyumbani mzee kaingiza Gari yake ndani na kuamuru zile fuso na canter nazo ziingie ndani. Zile Gari nyingine zikataka kuingia, mzee akasema zibaki uko uko. Mzee akanifungulia na kunambia niende chumbani nikalale. Nikamwambia Wale vijana wa mizigo hawajalipwa bado.

Mzee akatoa pesa kawalipa vijana wa fuso na canter akawaambia watalipwa kesho, gari zao zitalala pale na ziko salama tuonane kesho asubuhi warudi na vijana wapakue mzigo wote Kisha watalipwa na usumbufu, wakasema POA wakaondoka.

Mzee kaenda nje kawaambia,
Kila mtu atawanyike aende nyumbani kwake anafunga geti lake hataki kuona mtu mazingira yake na kweli mzee akafunga geti Kisha kurudi kunishika mkono kunipeleka chumbani na kuniamuru nilale kwanza nipumzike. Kama kuna Chochote cha kuongea, basi tutaongea kesho, ikabid nitii amri ya mzee na kulala kutuliza kichwa pale pale nyumbani.

Kesho yake asubuhi nmeamka niko nakunywa chai, asubuhi nikaona dirishani kumbe baba mkwe kaja kuongea na mzee, wamekaa kwenye viti nje wanaongea Sana. Kisha nikaona baba mkwe anaondoka. Mzee nae Karudi ndani.

Nikamuuliza mzee alikuwa anasemaje huyo, akasema nipumzike kwanza Kama nmemaliza kunywa chai nirudi chumban kwangu kulala, sipaswi kutoka nje Wala kwenda popote pale bila ruhusa yake. Nikasema sawa mzee.

Kesho yake jioni,
Mzee kaiiita Kunisikiliza, nikamsimulia kila kitu. Mzee kasema kwa kilichotokea wameazimia na baba mkwe kuwa kila mtoto akapumzike nyumbani kwao. Mimi ntatulia Hapa kwetu na wife atarudi kwao. Kama kweli ndoa IPO basi itarudi Kama inafungishwa upya maana mpasuko uliokwishakuepo Kati ya familia hizi mbili Ni Bora kila upande ukakae kivyake ukajitafakari kwa kilichotokea.

Kweli ikawa nmerudi nyumban rasmi,
Baada ya wiki nikarudi normal na mzee akanisihi nikakae full-time kule duka kubwa, ofisi ijirudi kwanza ilipe madeni yake yote, ikitengamaa ndo niendelee na mirad Yake. Kwasasa nimuachie atapambana nayo mwenyewe. Kweli nikaanza kukaa duka kubwa mwnyw full time.

Gafla wife akaanza usumbuf anaomba sn radhi kwa yaliyopita.
Kila mtu wangu wa karibu anaemfahamu, anamfata anamwambia aniombee msamaha.
Anatuma Watu lukuki wanibembeleze.
La halaullah! Hawa viumbe wamevalishwa tu mwili wa binadamu ila kiasili sifikirii kama ni binadamu! Na shida yao kubwa hua ni washauri, kama huyu alifuata ushauri wa shangazi zake na hapo ndipo walipo vamia mtumbwi
 
IKAFIKA KIPINDI
Akawa anakuja dukan anakaa chini na mtoto mgongoni kibarazani analia anaomba msamaha sn nimsamehe sn kwa yote aliyonikosea. Anaahidi atajirekebisha Ni shetani alimpitia.simjibu chochote akichoka kuomba msamaha anaondoka zake.

Kuna siku kashinda dukan asbh mpk saa 11 jioni na mtoto mgongoni anabembeleza. Mpk nafunga anabembeleza anabubujikwa na machozi, nilivofunga nikaenda nyumbani. Usiku kaja, kakuta geti halijafungwa kasukuma kaingia ndani na kwenda dirishan kwangu chumban analia anabembeleza nimsamehe. Nikamkaushia.

Kaenda Hadi dirisha la bi.mkubwa analia kakosa anaomba asamehewe.
Bi mkubwa nae akakausha Ila alivoondoka nikashangaa na asivompenda huruma ikamuingia nae akawa ananisihi nimsamehe turudiane. Nikamwambia bi.mkubwa achana nae uyo,hafai.

Tumeenda ukimya juu ya ukimya,
Wife akadili na mzee, kumbe akawa Anaenda kuomba msamaha ofsin kwa mzee. Mzee alipoona imekua kero akaniita na kunambia uyu mwanamke kila Mara anakwenda ofsn kwake kumuomba msamaha na anadai shangaz zake ndo waliomponza anajutia kilichotokea. Naonaje suala la kumsamehe. Nikasema mzee Mimi simtaki tena. Mzee akasema sawa Kama nmeamua hivyo. Ikaisha.

Baada ya miez 3 tangu Lile vurugu. naendelea na shughuli zangu nishaanza msahau wife, mzee akanambia jumapili tutakua na kikao Cha familia saa 10 mchana usichelewe kurudi uwepo. Nikasema sawa. Nikajua yatakua mambo ya familia yetu tu. Kweli Nmefika nyumbani mapema.

Gafla Niko chumban bi mkubwa kaja nigongea kua MDA tayar nije seblen.
Ile Natoka nafika seblen,nawaona wale shangazi zake wameketi, ikanibidi kurudi zangu chumbani na kukaa kitandani nikajiinamia kwa uchungu. Ikawa Kama wamenitonesha upya kile kidonda .

Mzee kaja kaniinua na kunambia twende seblen kila kitu kitakua sawa.
Kweli nmeinuka kinyonge nmeenda seblen nmekaa na mzee kochi Moja kubwa la Watu watatu.

Gafla shangaz Yao mmoja aliekua na mdomo akaja niangukia chonde chonde nimsamehe kwa yaliyopita.
Mzee akaniangalia usoni, nikaona mzee kama anatuma ujumbe kua anajiskia viby jins mmama yule mtu mzima anavolia. Wale wengine wakawa wanasema samahani yaishe yaishe. Babamkwe nae akasema imefkia mahali wife mpk anataka kujiua nyumbani kwao, alishameza hadi vidonge Mara mbili kajifungia chumbani anataka kujiua yye na mtoto. Wakavunja mlango kumnusuru.

Kama familia wanaomba radhi, wametukosea Sana, wanaomba radhi Sana. Anawasiwasi wanakoelekea atampoteza binti Yake na mjukuu wake, binti yake anazurula kila siku mjini na mtoto mgongoni anasema anaaga kaja kuomba msamaha na hasamehewi na kichwa chake kishachanganyikiwa sahv kilivyo tusije kushangaa kagongwa na Gari yeye na mtoto wote wamefariki. Mzee kaniangalia usoni.

Sijakaa sawa, kumbe wife alijificha jikoni nae kaja analia Hadi kamasi macho yamevimba na mtoto wake mgongoni kaniinamia anaomba msamaha. Mzee kaniangalia Tena usoni Tena na kunipa ishara ya nimsamehe. Nikatikisa kichwa kukubali.

Mzee kamuinua wife na kumkalisha kushoto kwake, Mimi kulia kwake.
Akasema kua Hawa wote Ni wanangu. Nyie wote nendeni kila kitu kitakua sawa. Basi wageni wale wakatawanyika.

Tukabaki familia yetu, wife na mtt. nikawa ndani ya siku 2 simuongeleshi.
Bi mkubwa akanisihi yaishe niongee na mzazi mwenzangu, mzee nae akanisihi yaishe bhana. Basi siku ya 3 wife kaja chumbn kwangu kavaa kimitego analia anaomba msamaha.
Kwasababu moyoni nishamsamhe na nilivommiss siku nyng sijapiga show.
Basi ugomvi wetu ukaishia pale.

Baada ya wiki pale home,
Mzee akatutaftia nyumba nyingine kubwa zaidi na kutupangishia kua tukakae uko pale kwa wapangaji tuhame. Alivotupeleka kule tunakutana na vile vitu vyetu tulivosomba na canter vipo vimerundikwa TU sebleni. Wife akaanza kuvipanga upya na maisha yakarejea Kama zamani.

TANGU HAPO miaka mingi imepita na WIFE HAJAWAI TENA KUTAMKA KAULI ILE YA TUGAWANE MALI.

Na pia,
Tangu ugomvi huo alirudi kua mama wa nyumbani Hadi leo hii nnapoleta Uzi huu hajawai kuuza duka langu.

Pia,
Nilikata mguu kabisa na magomeni kule kwa mashangazi waswahili wale.
Japo wanadai ugomvi ulishaisha ila nmekua karibu na ndugu wa wife kule upande wa mama ake na upande wa baba ake. Maelewano mazur Nmebaki na baba mkwe wangu TU.
Hao wengine salamu TU,kila mtu kivyake.

Nihitimishe kwamba
kile kipind kilipita na kilikua Cha mafunzo sn kwetu kutukomaza na Siwez kumhukumu sn wife maana umri wake ulkua bado mdogo sn, afu mazingira ya uswahili alikokulia kwa mashangazi wale yalimharibu.
Nashkuru upande wa mama ake walinisaidia sn kumshape wife akatukia vizur Sana.[emoji1431]

Kwasasa
MKE wangu kiumri na kitabia amekua sana. Naweza kusema Ni MKE bora kabisa maishani, naeweza kukaa mbele ya Wanaume wenzangu waliooa nami nakajivunia kua Nmeoa mke bora kabisa na pure wife material[emoji4]

Na huwa nawaza Sijui ningekaza ningempoteza kipind kile sijui ingekuaje maisha yangu, maana kila nnakogusa Ni chenga tupu. mamaJ inclusive.

KINGINE,
Najivunia Sana baba mkwe wangu nilie nae,
Ni mkwe asiyependa mambo ya kipuuzi kabisa na huwa alinisaidia Sana kumshape wife miaka 5 ya changamoto ya ndoa yangu.[emoji1431]

SIKU NIKITULIA NTASHUSHA TENA KISA KILICHONIFANYA NIJIFUNIE HUYU BABA MKWE WANGU KATIKA KUMNYOOSHA WIFE WANGU[emoji4]

ASANTENI WAKUU[emoji1431]
#######mwisho######

NB:
Kuna la kujifunza Hapa wakuu
Uzi huu nmeuleta baada ya kuguswa na Uzi wa mdau mmoja mwenye kisa Kama changu, ugomvi wa kibiashara na mkewe, Kisha mkewe akadai wagawane Mali.

NAWASILISHA[emoji1431]
Safi sana! Tafuta ugomvi mwingine mkuu!![emoji2959][emoji2959][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
HATUJAKAA SAWA
Kwnyw ule umati nikamuona jamaa mmoja Ni dalali namjua anapajua saiti kwangu, Nikamwambia nenda haraka sn katafute mteja Kwny ile nyumba yangu naijenga haijaisha, Nataka iuzwe leo leo pesa yote Mpatie huyu MKE wangu leoleo. Watu wakasema unachokifanya sio kizur.
Unamdhakioisha mkeo.

Nikawaambia huyu sio MKE wangu, ni muuaji ajae. Kwanza majirani mkisikia nmekufa ghafla fanyeni uchunguzi haraka, nmeuawa, nikimrudia huyu mwanamke atakuja kuniua ana tamaa sana na Mali. Bora niokoe maisha yangu kwanza, nimpe kila kitu aondoke, mimi bado kijana na Nguvu bado ninazo, ntatafuta tu vingine.

Hatukukaa Sana vijana wakawa wamemaliza kuijaza ile canter vitu vya ndani na wanarudishia turubai ili waondoke pale kuelekea Magomeni. Wife akaenda kumuinamia dereva anaomba Sana asitoe gari, amekosea saa, tena amekosea mno.

Nikamwambia dreva ngo'a gari usimsikilize huyo. Dreva kaiweka silencer kila akitaka kutoa wife anasimama mbele ya gari anasema Basi Leo Kama Gari hii inaondoka Hapa, basi nigonge na tairi nife kabisa. Sina maana kuishi. Basi dreva akawa anasita kuitoa gari.

Hatujakaa sawa,
Naona gari ya mzee wangu inaingia,
Mzee kashuka, kanifata na kunivuta mkono mpaka kwny Gari yake. Akanambia niingie kwenye Gari yake.
Nmeingia akaniuliza,
"Mimi Ni baba yako?" Nikasema "ndio"
Basi nakuomba usitoke humu ndani ya Gari mpaka ntakaporudi. Mzee akatoka na kwenda nje nikaona anazungumza na dreva wa Gari zote mbili canter na fuso.

Mzee akaenda kuzungumza na baba mkwe. Kisha akarudi ndani ya gari na kuwasha gari tukaondoka pale kuelekea Kimara nyumbani kwa mzee. Nikaona zile Gari mbili fuso na canter nazo kwa nyuma zinafata pamoja na gari nyngn mbili private na taxi Moja.

Tumefika nyumbani mzee kaingiza Gari yake ndani na kuamuru zile fuso na canter nazo ziingie ndani. Zile Gari nyingine zikataka kuingia, mzee akasema zibaki uko uko. Mzee akanifungulia na kunambia niende chumbani nikalale. Nikamwambia Wale vijana wa mizigo hawajalipwa bado.

Mzee akatoa pesa kawalipa vijana wa fuso na canter akawaambia watalipwa kesho, gari zao zitalala pale na ziko salama tuonane kesho asubuhi warudi na vijana wapakue mzigo wote Kisha watalipwa na usumbufu, wakasema POA wakaondoka.

Mzee kaenda nje kawaambia,
Kila mtu atawanyike aende nyumbani kwake anafunga geti lake hataki kuona mtu mazingira yake na kweli mzee akafunga geti Kisha kurudi kunishika mkono kunipeleka chumbani na kuniamuru nilale kwanza nipumzike. Kama kuna Chochote cha kuongea, basi tutaongea kesho, ikabid nitii amri ya mzee na kulala kutuliza kichwa pale pale nyumbani.

Kesho yake asubuhi nmeamka niko nakunywa chai, asubuhi nikaona dirishani kumbe baba mkwe kaja kuongea na mzee, wamekaa kwenye viti nje wanaongea Sana. Kisha nikaona baba mkwe anaondoka. Mzee nae Karudi ndani.

Nikamuuliza mzee alikuwa anasemaje huyo, akasema nipumzike kwanza Kama nmemaliza kunywa chai nirudi chumban kwangu kulala, sipaswi kutoka nje Wala kwenda popote pale bila ruhusa yake. Nikasema sawa mzee.

Kesho yake jioni,
Mzee kaiiita Kunisikiliza, nikamsimulia kila kitu. Mzee kasema kwa kilichotokea wameazimia na baba mkwe kuwa kila mtoto akapumzike nyumbani kwao. Mimi ntatulia Hapa kwetu na wife atarudi kwao. Kama kweli ndoa IPO basi itarudi Kama inafungishwa upya maana mpasuko uliokwishakuepo Kati ya familia hizi mbili Ni mkubwa sana, Ni Bora kila upande ukakae kivyake ukajitafakari kwa upya kwa kilichotokea.

Kweli ikawa nmerudi nyumban rasmi,
Baada ya wiki nikarudi normal na mzee akanisihi nikakae full-time kule duka kubwa, ofisi ijirudi kwanza ilipe madeni yake yote, ikitengamaa ndo niendelee na mirad Yake. Kwasasa nimuachie atapambana nayo mwenyewe. Kweli nikaanza kukaa duka kubwa mwnyw full time.

Gafla wife akaanza usumbuf anaomba sn radhi kwa yaliyopita.
Kila mtu wangu wa karibu anaemfahamu, anamfata anamwambia aniombee msamaha.
Anatuma Watu lukuki wanibembeleze.
Duka kubwa vitu mlirudisha saa ngap?
 
Nimesisimka na hii story hakika wewe ni jasiri.
Mawazo yako na misimamo yako ni sawa na yangu tu.
 
You have a big heart brother. Haya mambo bora kuyasikia kama stori kutoka kwa wadau, hapa nimeamini emotional intelligence ya watu wengi bado ni ndogo
Uko Sahii Sana mkuu
Umeongea kitu kuntu Sana,
Hili suala linapaswa lipatiwe mjadala mpana sana
 
Nimesisimka na hii story hakika wewe ni jasili.
Mawaza yako na misimamo yako ni sawa na yangu tu.
Mkuu,
Kwa kipind kile sijui nilikua naongozwa akili ipi,
nlikasirika sana kichwa kikawa kinazunguka kwa Kasi sana, Moja haikai mbili haikai

Ilinibidi kuonyesha msimamo maana nilihisi mtu nilieoa hakua na mapenz na Mimi, aliolewa na Target zake tayar na dunia nzima imjue
 
La halaullah! Hawa viumbe wamevalishwa tu mwili wa binadamu ila kiasili sifikirii kama ni binadamu! Na shida yao kubwa hua ni washauri, kama huyu alifuata ushauri wa shangazi zake na hapo ndipo walipo vamia mtumbwi
Kingine nikigundua shangaz zake wasingeweza kumkanya maana alikua anawawezesha Sana kiuchumi.

Kwaiyo kumkosoa na kumkemea sponsor ilkua ngumu.

Nikipeleka kesi, Ni blah blah wanapiga stories zao na kumsikiliza yeye afu hamna kinachobadilika
 
Bora wewe ulikuwa unaweza kujibizana nao na kuwaeleza, kuna introvert hatua hatuna maongezi kabisa kauli ni moja na biashara inaishia hapo
Mi kumezea Jambo Siwez,
Nilimzingua live bila kupepesa macho
 
Hongera sana ,umekksea jambo moja tu hao mashanga,i ungepiga woote
 
Back
Top Bottom