Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Kebogwe iliyopo Wilaya ya Tarime, ameunguzwa na mke wake na maji ya moto sehemu mbalimbali za mwili hasa sehemu za siri kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa kimapenzi
Shuhuda wa tukio wanadai siku ya Jumatano jioni mwalimu alimkuta mke wake duka fulani na kuanza kumpiga mke wake mpaka nyumbani kwake.
Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana
NB: Wanandoa epukana na ukatili
Shuhuda wa tukio wanadai siku ya Jumatano jioni mwalimu alimkuta mke wake duka fulani na kuanza kumpiga mke wake mpaka nyumbani kwake.
Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana
NB: Wanandoa epukana na ukatili