bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hapo wamelipiziana hakuna ukatili hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soon Njombe watajibu hawataki kubaki nyuma.Kanda maalum wanajizolea point tu,,,nyanda za juu kusini bado wanatafuta comeback
Sidhani kwani unalala imesimamaKiufupi kiwanda cha uzalishaji kimechomwa moto, mtambo wote vagalanti.
Yaani mtu na akili zako unamdunda binti wa watu halafu ukimaliza unafanya hivyo! Hana akili kabisa jamaa.Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo
Wote wamekoseaNilitaka kumlaumu mwanamke kumbe huyo mwalimu ndiye hana akili.
Mwanaume hana akili,unawezaje kuanza kumpiga mwanamke kisa umemkuta dukani na unaendelea kumpiga hadi nyumbani! Kama yeye anajifanya ana wivu sana ndio kapata dawa yake.Wote wamekosea
Hamjieshimu nyie kabisa an 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Inatosha saa ant...Kawa adimu sanà coca wangu jamaniii, lakini hapa lazima aje kutoa neno juu ya hili hogo lililojeruhiwa
Watu wa Mara wanaonaga kupiga ni sifa
axial flow pump