Mke amuunguza mumewe sehemu za siri na maji ya moto kisa wivu wa kimapenzi

Mke amuunguza mumewe sehemu za siri na maji ya moto kisa wivu wa kimapenzi

Mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Kebogwe iliyopo Wilaya ya Tarime, ameunguzwa na mke wake na maji ya moto sehemu mbalimbali za mwili hasa sehemu za siri kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa kimapenzi

Shuhuda wa tukio wanadai siku ya Jumatano jioni mwalimu alimkuta mke wake duka fulani na kuanza kumpiga mke wake mpaka nyumbani kwake.

Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana

NB: Wanandoa epukana na ukatili
Wewe unampiga mwenzako wakti mwingine bila kosa kabisa au sababu ya Msingi....huku unaenda kulala naye chumba hicho hicho na usingizi fofofo??

Ikifika mahali unalazimika Kumpiga Mke wako ndio akusikie na kukuheshimu basi bora uachane naye tu.

Sasa Mwl yapo ndio basi tena.

Moto mkali sana umeunguza mashine zote Pufumbu na Microphone
 
Wewe unampiga mwenzako wakti mwingine bila kosa kabisa au sababu ya Msingi....huku unaenda kulala naye chumba hicho hicho na usingizi fofofo??

Ikifika mahali unalazimika Kumpiga Mke wako ndio akusikie na kukuheshimu basi bora uachane naye tu.

Sasa Mwl yapo ndio basi tena.

Moto mkali sana umeunguza mashine zote Pufumbu na Microphone
Kiufupi kiwanda cha uzalishaji kimechomwa moto, mtambo wote vagalanti.
 
Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana
Dah mie ndio nimetetemeka! Dah hizi sehemu ziko very sensitive
 
Kanda maalumu ya kipolisi Mara

Sishangai matukio kama hayo kutokea ni kawaida

Piga nikupige (utamaduni wao)
 
One man down!!,usalama wa wanandoa ni mdogo sana,KATAA NDOA heshima kwenu japo mimi tayar ni prisoner but hakuna kitu kinanyima uhuru kama ndoa,kidogo story za simba na yanga zinatupunguzia makali,otherwise ni ngumu kuishi na mtu hujui anawaza,kupanga nin juu yako
 
Hivi bei ya kufuli za chuma ni shilingi ngapi?

Vyema kuanza kulinda vifanyio vyetu sasa kabla havijaunguzwa moto 😜
 
Back
Top Bottom