BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hahaha coca ni kungwi wa ndoaWeeeeh mpaka coca una muunganisha huku ,πππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha coca ni kungwi wa ndoaWeeeeh mpaka coca una muunganisha huku ,πππππππππ
ππππ Coca ana topics zake humu...Hahaha coca ni kungwi wa ndoa
Kawa adimu sanΓ coca wangu jamaniii, lakini hapa lazima aje kutoa neno juu ya hili hogo lililojeruhiwaππππ Coca ana topics zake humu...
Sio kila mda anakuja ππππ
Wewe unampiga mwenzako wakti mwingine bila kosa kabisa au sababu ya Msingi....huku unaenda kulala naye chumba hicho hicho na usingizi fofofo??Mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Kebogwe iliyopo Wilaya ya Tarime, ameunguzwa na mke wake na maji ya moto sehemu mbalimbali za mwili hasa sehemu za siri kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa kimapenzi
Shuhuda wa tukio wanadai siku ya Jumatano jioni mwalimu alimkuta mke wake duka fulani na kuanza kumpiga mke wake mpaka nyumbani kwake.
Baada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana
NB: Wanandoa epukana na ukatili
Kiufupi kiwanda cha uzalishaji kimechomwa moto, mtambo wote vagalanti.Wewe unampiga mwenzako wakti mwingine bila kosa kabisa au sababu ya Msingi....huku unaenda kulala naye chumba hicho hicho na usingizi fofofo??
Ikifika mahali unalazimika Kumpiga Mke wako ndio akusikie na kukuheshimu basi bora uachane naye tu.
Sasa Mwl yapo ndio basi tena.
Moto mkali sana umeunguza mashine zote Pufumbu na Microphone
hahaha,umewaza nin mkuu....Kusikia kwa kenge...
π€£π€£π€£ hatari sanaMoto mkali sana umeunguza mashine zote Pufumbu na Microphone
dronedrake Intelligent businessman Mbaga Jr ππππππππHuu nao aisije ona dronedrake .na proton pump aiseee mbona kitawaka hapa πππππππππ
π€£π€£π€£π€£π€£ duuu Poor Brain imekua poor penis the functionless one. It can't drill pussy nyau again ooh! F**k
Kabisa......hovyo sana huyo tichaNilitaka kumlaumu mwanamke kumbe huyo mwalimu ndiye hana akili.
Dah mie ndio nimetetemeka! Dah hizi sehemu ziko very sensitiveBaada ya ugomvi kuisha mwalimu aliingia kitandani kulala huku amevua nguo na huku mke wake akibaki jikoni akichemsha maji
Baada ya maji kuchemka ipasavyo, mke wake aliweka kwenye ndoo na kwenda chumbani na kummwagia mume wake aliyeungua vibaya sana na kutoroka kusikojulikana