Ivo yaan π€Kesi kama hiyo mi siipeleki kokote, naimaliza mwenyewe!
Ndoa sio kifungo kwangu, labda kama niwe sina ubongo.
Kenge kabisa!
π€£π€£π€£π€£Eti ndoa idumu!!
Inadumu vipi na imeshaanguka!?
Hii sio case mwanaume huwa hakosi cha kufanya. Akishindwa sana adownload tinderHabarini wajukuu wema na wabaya.. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa..
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa.. Hakuwasikiliza.. Sasa yamemfika.. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo.. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango.. Mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio.. Mwanamke anadai hajiskii.. Sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida..??
Ametumia nguvu kubwa sana kuua nzi, Mimi kosa la kuninyima tendo ni kwamba sitoomba tena bali nitakutafutia wasaidizi ila kosa la kunipiga kofi mimi mumeo nitakuteka.Ampandishe cheo!
Wanaume mnakuwaje dhaifu hivi? Unanyimwa upo tu?
Mi kaka angu alizabwa kibao na mkewe, jioni akaoa bi mdogo na ni wakristo ππ
unatombewa.... akili za facebook hiziHabarini wajukuu wema na wabaya.. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa..
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa.. Hakuwasikiliza.. Sasa yamemfika.. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo.. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango.. Mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio.. Mwanamke anadai hajiskii.. Sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida..??
uyo boya mimi ningekua narudi asubuhi napambania kombe kwa wengine,maisha yenyewe matamu hivi mtu aniletee stress namstress yeye fastaHabarini wajukuu wema na wabaya.. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa..
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa.. Hakuwasikiliza.. Sasa yamemfika.. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila kushiriki tendo hilo.. Na jamaa anapohitaji anaweza kuomba hata wiki ndio apewe tena kwa masimango.. Mara huwezi mara umezeeka nk..
Amejaribu kuzungumza na mkewe bila mafanikio.. Mwanamke anadai hajiskii.. Sasa ananiomba ushauri afanyeje ili ndoa yake idumu na apate tendo la ndoa kama kawaida..??
Ampandishe cheo!
Wanaume mnakuwaje dhaifu hivi? Unanyimwa upo tu?
Mi kaka angu alizabwa kibao na mkewe, jioni akaoa bi mdogo na ni wakristo ππ
We utafanyaje?Hapo sasa π