Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo nenoMkague na marinda pia
lazima uwe mstahimuluvu sana kwenye ndoa,Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!

Hakuna madhara mkuu ila ni kikohozi na mafua tu ya hapa na pale...Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Kwahiyo unaongea lipi haswa? Chai au sio chai?!! Hujaeleweka msimamo wako ni upi.Uzuri hii ni chai
Na kama sio chai basi huna akili mkuu samahani lakini
Nyie kabla ya kuoana (kama una mke) mlianzisha mada mbalimbali mambo ya ushuzi yakiwemo?!! Mimi wangu aliangalia uimara wa upelekaji wa moto. Mkuu, Kuna madhara ya kuvuta hewa yenye ushuzi?!!We jamaa kwa akili hizi ilikuwaje ukaoa...na huyo Mke aliyekukubali bila shaka Dishi lake halipo vizuri.
Mashuzi ya kawaida toka kwa binadamu husababishwa na kiwango kikubwa cha protein iliyo zidi mwilini, (excess protein), protein husababishwa na kula nyama na chakula jamii ya kunde hutoka mwili kwanjia ushuziNaombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Siyo malalamiko hayo mkuu, ni katika kutafuta elimu Dunia lakini nimelazimika kurejea kwenye chanzo.Bw. Mdogo acha uvulana, ungekua mwanaume usingelalamikia huu ujinga. Na watu aina yako ndio mnafanya isemekane sikuhiz kuna wanaume wachache.
Karibu JF.