Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Anti Flatulence zipo . mpatie ana tatizo la Gesi. Pia Azingatie kula na kunywa maji. Ja asile na kulala muda huo huo.

Tumeric na Ginger zitamsaidia labda kama unataka wadau wakuambie/wakuthibitishie kuwa anataka umle ndogo.
 
Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.

Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!

Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!

Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
lazima uwe mstahimuluvu sana kwenye ndoa,
zile shida na raha za ndoa ni pamoja na hizo sasa, lazima ukubali kuishi nazo.

infact,
hiyo hali haina madhara makubwa kiafya bali inachangamsha ndoa tu chumbani,

hizo ngurumo labda ndio kidogo zina athari kwasababu ni noise pollution gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.

Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!

Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!

Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Hakuna madhara mkuu ila ni kikohozi na mafua tu ya hapa na pale...
 
Dah kwenye ndoa kuna visa saana wengine hawapendi kijambo wengine wanashindana kujamba wengine wananusiana hadi mashuzi yaani ni tafrani.
Mkuu kujamba ni ishara ya unene soon mkeo anakuwa chibonge
 
Watu wengi wajinga humu, wamekimbilia kwenye upande hasi tu. Hamuwezi kufikiri kama kuna tatizo linalotakiwa ushauri wa kitaalamu akapewa mhusika. Fikiria kila baada ya dakika tano unapiga shuti.

Ndugu mpeleke hospital, utapatiwa ushauri mahsusi, pia kawa ulivyo shauriwa na wadau angalia vya kula, fanya detox, deworm, anywe maji mengi na kupunguza vinywaji vyenye asidi kama soda, juice za viwandani.
 
Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.

Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!

Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!

Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Mashuzi ya kawaida toka kwa binadamu husababishwa na kiwango kikubwa cha protein iliyo zidi mwilini, (excess protein), protein husababishwa na kula nyama na chakula jamii ya kunde hutoka mwili kwanjia ushuzi

Cha kushangaza ni pale mkeo anajamba akisinzia ama kulala hapo tupate mawazo ya madaktari
 
Back
Top Bottom