Mke anatoa mashuzi usiku kucha; Kuna madhara ninayoweza kuyapata?

Kuna mtu mmoja mwenye hekima aliwahi kusema
" kamwe usisinzie mbele za watu , maana ukisinzia na viungo navyo vinasinzia"
 
Ahsante sana mkuu. Ni kweli humu watu wanakurupuka sana kulaumu
 
Hiyo ni fursa, tajirika kwa kutega na kunasa hewa ukaa, wengi hivi sasa wanatajirika kwa kuingia kwenye biashara hiyo, ninaamini kuna siku atakulaumu kwa kutokusanya hewa ukaa hiyo aliyokuwa akiizalisha.
 
Tatizo unamlisha maharage sana; awe anakula supu ya sato mzima kila siku hiyo hali itapotea
 
Kuna mzee mmoja alinambia, "Ogopa sana mwanamke ambae hajawahi kukujambia mbele yako." Kama hakujambii wewe basi ujue kuna mtu anajambiwa. So she is right, Ujue kakuamini sana.
 
Nipe namba zake nimkanye mkuu,

Kwa kweli kuna shida mahali
 
Mkeo akijamba unakuja kusimulia kwenye Jamii forums? Kwanini huwa mnaoa wakati bado hamjabalehe lakini? Unaoa ili iweje?
Usipanic mkuu, soma kwa kutulia uelewe mada. Nimefichua details za mke huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…