grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Nae anaomba zako mkuuMkuu naomba no za mkeo please!
PoaHili nalo neno
OkKuna wahuni wanazibua mtara,waya wa clutch umekatika
Sawa mkuuTulivokwambia kataa ndoa ulituona wajinga vumilia mijambo mzee baba na mpaka kifo kiwa tenganishe
Nilikimbie tatizo tena wakati nahitaji kulitatua?Hamia chumba kingine
We utakuwa na tatizo sawa na la mke wanguSi tulikubaliana wanaume wenye akili tu ndio waoe!! Sasa ilikuwaje furushi likajipenyeza!!!
911Nae anaomba zako mkuu
Ahsante sana mkuu. Ni kweli humu watu wanakurupuka sana kulaumuWatu wengi wajinga humu, wamekimbilia kwenye upande hasi tu. Hamuwezi kufikiri kama kuna tatizo linalotakiwa ushauri wa kitaalamu akapewa mhusika. Fikiria kila baada ya dakika tano unapiga shuti.
Ndugu mpeleke hospital, utapatiwa ushauri mahsusi, pia kawa ulivyo shauriwa na wadau angalia vya kula, fanya detox, deworm, anywe maji mengi na kupunguza vinywaji vyenye asidi kama soda, juice za viwandani.
Mi sipo kama wewe mkuuPunguza kumla 0714
Hiyo ni fursa, tajirika kwa kutega na kunasa hewa ukaa, wengi hivi sasa wanatajirika kwa kuingia kwenye biashara hiyo, ninaamini kuna siku atakulaumu kwa kutokusanya hewa ukaa hiyo aliyokuwa akiizalisha.Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Umenichekesha sana mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Siwezi kulala na mtu anayejamba vinginevyo niwe nampenda sana.
Mtu unayempenda akijamba unahisi raha, sasa ole wako wewe kichogo usiye na mvuto unijambie ntakupiga na mwiko wa ukoko.
Uso kama uji wa maboga.
Cc: Mbaga Jr Lamomy mshamba_hachekwi Kapeace raraa reree mimiamadiwenani Poor Brain mzabzab dronedrake Extrovert
Naam?!!!!!Sio mashuzi ni upepo upo kwenye k itaisha kaa kwa kutulia
Nae anahitaji zako mkuuNipe namba zake nimkanye mkuu,
Kwa kweli kuna shida mahali
Usipanic mkuu, soma kwa kutulia uelewe mada. Nimefichua details za mke huyo?Mkeo akijamba unakuja kusimulia kwenye Jamii forums? Kwanini huwa mnaoa wakati bado hamjabalehe lakini? Unaoa ili iweje?
Nitumie inbox nimkanye mkuuNae anahitaji zako mkuu