Dei Gratia Rex
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 423
- 696
Ndo ivo mkuu, kuna maneno ukiyatamka atasema umemwambia vibaya.Watu mnamawazo ya kikatuni katuni š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ivo mkuu, kuna maneno ukiyatamka atasema umemwambia vibaya.Watu mnamawazo ya kikatuni katuni š¤£
Mbona na ww unaachia ushuzi sema tu hajasema? Ni kawaida kuachia ushuzi usingizini ndio maana waswahili wanasema usilale mchana mbele za watu hahahah.Naombeni ushauri wadau, si kwa lengo la kumdharirisha mke Bali kusema ukweli ya kinachojiri.
Aisee mke anayaachia mashuzi, kha!!!
Yaani kazi inaanza dakika hiyo hiyo anayofumba macho na inaisha tu pale anapofumbua, yaani asubuhi anapoamka!
Ajabu ni kuwa Kuna wakati unaweza kudhani anayatoa makusudi maana unahisi kabisa anajikama. Utasikia 'pfuuuuuuuuu.....' halafu kama mtu anayezivuta pumzi apate nguvu na balance tena utasikia anamalizia kwa mkupuo, 'pfuu!'. Na Hali ipo hivyo muda wote. Inanishangaza sana. Salama yangu ipo kwenye kulala tu ndo nakuwa sisikii lolote ingawa sipati picha ni kiwango gani Cha hewa chafu nabugia.......maana dah!
Naomba kujua madhara ya kiafya ninayoweza kuyapata katika Hali kama hii wadau. Muwe na asubuhi njema!
Unapenda kujambiwa rafikiTubadirishane wake mkuu uyu wakwangu hajambi kabisa hana mizuka kama iyooo sis wandewa ndo ugonjwa wetu huo.......
Hasaa hhaaa huu mssemo utaftie haki miliki= kumdhalilisha.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hata mm najamba sanaa kwa kweli na napenda niwe najamba kila mara hahaMuache mtoto ajambe
Kuna watu wanapenda kujambiwa sio up'ddSasa wewe umeleta U P didy kwenye Uzi wa mtu aliye siriaz.
Nani kakudanganya wasio na marinda ndio wanajamba ovyoo, kujamba ni kawaida rafiki uwe na marinda au hunaMkague na marinda pia
Wewe ni ke au me?Hata mm najamba sanaa kwa kweli na napenda niwe najamba kila mara haha
Wewe ni me au ke?Nani kakudanganya wasio na marinda ndio wanajamba ovyoo, kujamba ni kawaida rafiki uwe na marinda au huna
Wewe ni me au ke?Kuna watu wanapenda kujambiwa sio up'dd
Sio kweli tena wanaozibuliwa hawajambi ovyoKuna wahuni wanazibua mtara,waya wa clutch umekatika
KemeWewe ni me au ke?
KemeWewe ni me au ke?
BICHWA KOMWE - Sungura Tope au sio wanakuangishia mtaroni tuKeme
Wanaofumuliwa marinda hawajambi ovyo maana hewa inakuwa imeshatolewa, so usikariri shule za vijiweniMkeo chakula cha Wahuni na wanampiga sana nyuma, pole in advance hapo nenda ukampime malinda atakua na bawasiri isiyotibika
Wewe inaonekana ni mzoefu wa kukalia bolo, haya tuambie hio hewa imetolewa vipi muda gani?Wanaofumuliwa marinda hawajambi ovyo maana hewa inakuwa imeshatolewa, so usikariri shule za vijiweni
Siri za kambi, ww elewa tu kujamba ni sifa ya kiumbe haiWewe inaonekana ni mzoefu wa kukalia bolo, haya tuambie hio hewa imetolewa vipi muda gani?
Mara ya mwisho kupitishiwa mtaroni ilikua lini?Keme