Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oa mke wa pili anaejua kupikaMke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana. Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Pre season tena.Mke asiye jua kupika hapana kwa kweli, ina maana mkuu uliingia kichwa kichwa bila "pre season"
Shule zinafungua jumatatu unakumbuka ulipoweka daftari?Fukuza kabisa acha kujifikilia mara mbili mbili.
Mimi leo kuna vitu nilikuwa najaribu kuoka nimetoa mkaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Matatizo ya kuangalia chura na shape pamoja na rangi ndo hayo.Pole watu mna maswahibu mengi sio siri
Miaka mitatuTuanzie hapa kwanza:- ndoa ina muda gani ? Ili tujue tunakushauri vipi usije fanya maamuzi magumu zaidi kashetani kakutimua wanawake kabaya sana unaweza timua hata wanawake 10 na kila mwanamke anachangamoto zake ikumbukwe iyo
Kama kwenye chakula hicho hataki kuelekezwa sipati picha kwenye kile chakula kingine, ndo mambo ya ndoa hayo. Mtafutie kitabu cha mapishi au video za mapishi huenda akarekebishika.Mke wangu ananipikia chakula kilichoungua kila siku. Nimejaribu kumfundisha lakini amekuwa mkaidi kufuata maelekezo yangu. Hataki kufundishwa wala kuelekezwa chochote. Kama mnavyofahamu vyakula ni gharama sana. Imekuwa kama nateketeza pesa zangu kwa kumwaga vyakula vilivyoungua kila siku. Amekuwa akikoroga wali hata mara 10 na ninapomwelekeza anakuwa jeuri. Moto wa gesi anawasha kama anataka kuchoma sufuria na sio kupika chakula, Sasa nataka ushauri nimrudishe kwao ama lah.
Usiku wa leo muoe tena,muoe kweli kweli kesho ataanza kukusikiliza na wala hatounguza msosi
Nalog off Z
Na mimi utanifundisha eeh?Aisee!Kwa hiyo hajui kupika?Siyo mbaya.Polepole mfundishane.Usiwaambie tena wana JF!
Miaka mitatu yote hajui kupika duh,,,ile miezi sita ya mwanzo ulipaswa umkomalie ajue umfundishe au umpeleke shule ya upishi, kutokujua kitu siyo kosa ila kutotaka kujifunza ili ajue ni changamoto sasa wakija wazazi wenu au ndugu kuwatembelea mzee baba ndo unaingia jikoni au,,,,poleeMiaka mitatu
😂😂😂😂Sintosahau siku ile umenipikia supu ya kabeji!Ila penzi lako tu ndiyo linanifanya niwe zoba ile ngumu babe!Na mimi utanifundisha eeh?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] supu ya kabeji na vitumbua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sintosahau siku ile umenipikia supu ya kabeji!Ila penzi lako tu ndiyo linanifanya niwe zoba ile ngumu babe!